Waziri Lukuvi atekeleza agizo la Rais Magufuli, aikabidhi Halmashauri ya Kigamboni ekari 715 za ardhi

Waziri Lukuvi atekeleza agizo la Rais Magufuli, aikabidhi Halmashauri ya Kigamboni ekari 715 za ardhi

... Rais wa JMTZ anayo mamlaka ya ku-revoke umiliki wa ardhi yoyote kutoka kwa yeyote kwa matumizi yoyote yatakayompendeza yeye bila kuhojiwa na yeyote popote wakati wowote ndani ya mipaka ya nchi. Hata kipande cha ardhi unachomiliki wewe (kama unacho) umekasimiwa tu umiliki wake kwa niaba ya Rais na ikimpendeza atakitwaa muda wowote without prior notice.

In short, Rais ndiye custodian wa ardhi yote ya Tanzania. Yaani linapokuja suala la umiliki wa ardhi yeye ndiye ALFA na OMEGA.
Mmmmmmmm labda ndo mana Ufipa wanachelewa kujenga ofisi labda wameona mbali!!!!
 
... Rais wa JMTZ anayo mamlaka ya ku-revoke umiliki wa ardhi yoyote kutoka kwa yeyote kwa matumizi yoyote yatakayompendeza yeye bila kuhojiwa na yeyote popote wakati wowote ndani ya mipaka ya nchi. Hata kipande cha ardhi unachomiliki wewe (kama unacho) umekasimiwa tu umiliki wake kwa niaba ya Rais na ikimpendeza atakitwaa muda wowote without prior notice.

In short, Rais ndiye custodian wa ardhi yote ya Tanzania. Yaani linapokuja suala la umiliki wa ardhi yeye ndiye ALFA na OMEGA.
Total injustice. Nyerere alifanya mambo yanayofanana na haya matokeo yake nchi ikajitumbukiza kwenye laana mpaka sasa imeshindwa kujitoa kwenye umaskini.
 
Asante kwa elimu hii mkuu
= Thanks for letting me know!
Usije ukauziwa pori ekari 100 ukapewa hati utanyang'anywa tu
Kijiji au halmashauri kuuza/kupima/kumilikisha mwisho ekari 50,zikizidi faili lazima liende kwa mwenye ardhi tuliompa atutunzie ardhi yetu
Kamishna wa ardhi ataonesha kwa nini anataka kugawa ardhi yote hiyo,je kuna maslahi yoyote yatapatikana kwa hilo kabaila likipewa neema hizo za Mungu,je wananchi watanufaika vipi,Rais akiridhika atatoa go ahead
Tanzania tuna sheria nzuri/ngumu sana za ardhi,ndio mana wakenya wameishiwa nguvu katika kupigania EAC

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Huu ni uporaji na wizi kama uporaji wa simu na mali unaofanywa na vibaka. Karma itatutafuna sisi mpaka vitukuu.
 
Aisee
Wahusika wameshastaafu,mpaka juzi Rais kateua kamishna mwingine,na umeona remarks zake wakati wa kumuapisha
Halafu hilo ni eneo moja tu,kuna mabomu huko ardhi unaweza kulia
Sofia Simba kamilikishwa pwani yote ya kusini mashariki kuanzia Gomvu kwenda kusini karibu kilometa 50 za beach,zote zake
Serikali inakosa mapato,kila anaetaka kuweka hoteli akiweka GPS akienda wizarani anaambiwa pana mtu!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wacha tuone, hatukawii kuuzwa mara ya pili...mradi wa mji mpya wa kigamboni...CCM Mungu anawaona ..!!
 
Back
Top Bottom