Waziri Mahiga: Kompyuta zilizoibwa ni za ofisi ya mashtaka mkoa wa Dar na sio ofisi ya DPP

Waziri Mahiga: Kompyuta zilizoibwa ni za ofisi ya mashtaka mkoa wa Dar na sio ofisi ya DPP

Mimi najua hayupo Tz
😂😂😂😂 Kaenda wapi?
Kigongo anasema Germany
Hivi kweli Magu aumwe aende kwa wazungu anaowananga hivi? Si watamuweka drip ya hydrochloric?

Kigogo ni akili ndogo sana
 
Ila kuwadanganys watanzania ni rahisi ndio maana CCM halitokaa itoke madarakani 😂😂😂😂
 
Watu wa Jamiiforums kwa kujimwambafy mwambafy tu huwaambii kitu.
 
Vipande viwili vya komputa ni sawasawa na komputa moja 😄😄😄
 
Mkuu utasababisha afukuzwe kazi!

Yaani nimeumia roho na mwili, mtoa mada anajua kabisa anasema uongo wa wazi kuhusu Mh. Rais kurudi Dar eti sbb ni computers za DPP kuibiwa, wakati huu ni uongo 100%.. Ndio nikasema umbea haulipi, na mtu mzima akiwa muongo hivi na mbea hivi lazima akiwa mzee atakuwa mchawi tu..
 
Mtafanya Bashe...ti, Happy, Mnyate, na wale waropokaji wengine wajinyonge.
 
Yaani nimeumia roho na mwili, mtoa mada anajua kabisa anasema uongo wa wazi kuhusu Mh. Rais kurudi Dar eti sbb ni computers za DPP kuibiwa, wakati huu ni uongo 100%.. Ndio nikasema umbea haulipi, na mtu mzima akiwa muongo hivi na mbea hivi lazima akiwa mzee atakuwa mchawi tu..
Hebu tueleze mzee nini kimekupata?. Maana naona umepanick kwa 100%. (Huku umewekewa mic karibu na mdomo). Ongea
 
Kitendo cha kutokea fununu kwamba kuna wizi umetokea kwenye ofisi ya DPP inayoshugulikia urudishwaji wa mabilioni ya mafisadi waliopata msamaha wa Rais ndio sababu Kuu ya JPM kukatisha ziara yake mikoa ya kusini

Mnyetishaji wangu kanihakikishia mzee hakutaka kabisa kusikia kwa njia ya simu taarifa alizokua akipatiwa na wasaidizi wake juu ya kilichokua kikiendelea na kupelekea kusitisha kila kitu na kurudi Dar ambapo tayari alikua amehama ili kujua kinaga na ubaga wa ofisi ya DPP na wizi uliotendeka, baada ya mlolongo wa harakati ndio hatimae leo ufafanuzi umetolewa juu ya scandal hiyo

Mnyetishaji wangu ananiambia baada ya hili kuisha muda wowote kuanzia sasa JPM ataendelea na ziara yake mikoa ya kusini
Yaani "fununu" tu za kuibiwa "vipande vya kompyuta" katika ofisi ya "DPP wa mkoa wa Dar es Salaam" kama ilivyokuja kutangazwa baadae na waziri wa sheria na katiba ndiyo zimfanye rais akatishe ziara?
 
Back
Top Bottom