Levels baby
JF-Expert Member
- Sep 26, 2019
- 831
- 770
kijana chunga sana hayo matusi yako mana yataku cost tena mapema sanaNimekwambia siwezi kubishana na kilaza ambaye hamjui hata waziri wa mambo ya ndani..kipi ambacho hakieleweki?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
kijana chunga sana hayo matusi yako mana yataku cost tena mapema sanaNimekwambia siwezi kubishana na kilaza ambaye hamjui hata waziri wa mambo ya ndani..kipi ambacho hakieleweki?
Nikiamua kukutafuta nakupata mapema sana mana naona umezidi matusi...endeleaNilikuonya usiniquote mpuuzi kama wewe siwezi kupoteza muda wangu kubishana na wewe..unachokitafuta utakipata tu endelea kujitia mwehu
we bwege kweli haya nitafute..au mimi ndio nikutafute?Nikiamua kukutafuta nakupata mapema sana mana naona umezidi matusi...endelea
Hahahaaa......hahahaaa..... hahahaaa....... hahahaaa...... bwashee usiyejulikana!!.......hahahaaa.....!!Kuchangia pamoja JF kusikufanye uhisi hadhi yako kuwa sawa na usio wajua
"Vipande viwili vya kompyuta" ndiyo vikoje?Sanaa ndani ya jumba la sanaaView attachment 1238021
Endelea unachitafuta utakipata kijanawe bwege kweli haya nitafute..au mimi ndio nikutafute?
Waziri alitakiwa amuulize DPP kwanini alimuongopea kamanda kuwa kaibiwa au?Nakukumbusha tena Waziri ni boss kwa kamanda kwahiyo taarifa rasmi inayohusu masuala ya mashtaka anatakiwa kuitoa rasmi ni waziri wa sheria...so protocol imezingatiwa
Thank you mrembo😘kila Mkoa una ofisi ya mashtaka, ila makao makuu ya Mashtaka taifa kwasasa yapo Dodoma
Amwajibishe DPP kwa kusema uongo?Kumbuka alieongea ni waziri wa mambo ya ndani..
Sasa hapa mjinga msikilizaji au mnenaji![emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Hivi ndivyo wanasiasa wanatuona
Wewe elewa hivyoWe ndio msigwa
Waziri wa Katiba na Sheria, Balozi Augustine Mahiga amesema kompyuta zilizoibiwa ni za ofisi ya mashtaka mkoa wa Dar na sio ofisi ya Mkurugenzi wa Mashtaka (DPP) nchini Tanzania, Biswalo Mganga #MwananchiUpdates
Mhe amefunguka."Vipande viwili vya kompyuta" ndiyo vikoje?