Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Akisema uongo kigogo au mpinzani na watu wasiompenda Raisi, anasema ukweli ila mtu anayeleta habari za ukweli basi inakuwa nnongwa.We ndio msigwa
Hahaha hizi taarifa mnazipataje?!Mimi najua hayupo Tz
Alikua anataka kumtumbua DPP akiwa kule kule ila akaona ngoja aende mwenyewe field, unaambiwa hakuna alielala ofisi yote ya DPP na wizara husika toka siku ile, mzee mwenyewe halaliYawezekana sababu nilisikia ameondoka akiwa kachukia sana.
😂😂😂😂 Kaenda wapi?Mimi najua hayupo Tz
Wewe baki unavyoamini kwamba kibetri kimezimahahaha mnyetishaji wako kakupa matango pori
Nikiripoti kutoka hospital kuu ya lugalo (JWTZ) hapa nje motuary mm ni ..... wa ikuluYawezekana sababu nilisikia ameondoka akiwa kachukia sana.
Dah mama samia anakaribia kula shavuNikiripoti kutoka hospital kuu ya lugalo (JWTZ) hapa nje motuary mm ni ..... wa ikulu
Mkuu utasababisha afukuzwe kazi!Umbea haulipi tena
Mkuu utasababisha afukuzwe kazi!
Hebu tueleze mzee nini kimekupata?. Maana naona umepanick kwa 100%. (Huku umewekewa mic karibu na mdomo). OngeaYaani nimeumia roho na mwili, mtoa mada anajua kabisa anasema uongo wa wazi kuhusu Mh. Rais kurudi Dar eti sbb ni computers za DPP kuibiwa, wakati huu ni uongo 100%.. Ndio nikasema umbea haulipi, na mtu mzima akiwa muongo hivi na mbea hivi lazima akiwa mzee atakuwa mchawi tu..
Yaani "fununu" tu za kuibiwa "vipande vya kompyuta" katika ofisi ya "DPP wa mkoa wa Dar es Salaam" kama ilivyokuja kutangazwa baadae na waziri wa sheria na katiba ndiyo zimfanye rais akatishe ziara?Kitendo cha kutokea fununu kwamba kuna wizi umetokea kwenye ofisi ya DPP inayoshugulikia urudishwaji wa mabilioni ya mafisadi waliopata msamaha wa Rais ndio sababu Kuu ya JPM kukatisha ziara yake mikoa ya kusini
Mnyetishaji wangu kanihakikishia mzee hakutaka kabisa kusikia kwa njia ya simu taarifa alizokua akipatiwa na wasaidizi wake juu ya kilichokua kikiendelea na kupelekea kusitisha kila kitu na kurudi Dar ambapo tayari alikua amehama ili kujua kinaga na ubaga wa ofisi ya DPP na wizi uliotendeka, baada ya mlolongo wa harakati ndio hatimae leo ufafanuzi umetolewa juu ya scandal hiyo
Mnyetishaji wangu ananiambia baada ya hili kuisha muda wowote kuanzia sasa JPM ataendelea na ziara yake mikoa ya kusini