Waziri Mahiga: Kompyuta zilizoibwa ni za ofisi ya mashtaka mkoa wa Dar na sio ofisi ya DPP

Waziri Mahiga: Kompyuta zilizoibwa ni za ofisi ya mashtaka mkoa wa Dar na sio ofisi ya DPP

Kwi
Yaani "fununu" tu za kuibiwa "vipande vya kompyuta" katika ofisi ya "DPP wa mkoa wa Dar es Salaam" kama ilivyokuja kutangazwa baadae na waziri wa sheria na katiba ndiyo zimfanye rais akatishe ziara?
Kwi kwi kwi hata kwangu mimi haiingii akilini
 
Waziri wa Katiba na Sheria, Balozi Augustine Mahiga amesema kompyuta zilizoibwa ni za ofisi ya mashtaka mkoa wa Dar na sio ofisi ya Mkurugenzi wa Mashtaka (DPP) nchini Tanzania na kwamba nyaraka za wahujumu uchumi zipo mahali salama.


"Ofisi ya Mkurugenzi Mkuu anayeshughulikia mashtaka ya serikali haikuguswa, nyaraka zote zipo, taarifa zote zipo, na kazi yake inaendelea" - Waziri Augustine Mahiga.

Chanzo: Mwananchi

My take: ifikie kipindi hawa watawala wasituchukulie poa wananchi.

kiza kinene
 
Hoja ni wizi umewezekanaje kufanyika ndani ya ofisi ya DPP! Hayo mengine ni propaganda za kisiasa ndani ya utendaji wa serikali.
 
Yaani nimeumia roho na mwili, mtoa mada anajua kabisa anasema uongo wa wazi kuhusu Mh. Rais kurudi Dar eti sbb ni computers za DPP kuibiwa, wakati huu ni uongo 100%.. Ndio nikasema umbea haulipi, na mtu mzima akiwa muongo hivi na mbea hivi lazima akiwa mzee atakuwa mchawi tu..
Wewe nipe sababu iliyopelekea kurudi Dar
 
Kitendo cha kutokea fununu kwamba kuna wizi umetokea kwenye ofisi ya DPP inayoshugulikia urudishwaji wa mabilioni ya mafisadi waliopata msamaha wa Rais ndio sababu Kuu ya JPM kukatisha ziara yake mikoa ya kusini

Mnyetishaji wangu kanihakikishia mzee hakutaka kabisa kusikia kwa njia ya simu taarifa alizokua akipatiwa na wasaidizi wake juu ya kilichokua kikiendelea na kupelekea kusitisha kila kitu na kurudi Dar ambapo tayari alikua amehama ili kujua kinaga na ubaga wa ofisi ya DPP na wizi uliotendeka, baada ya mlolongo wa harakati ndio hatimae leo ufafanuzi umetolewa juu ya scandal hiyo

Mnyetishaji wangu ananiambia baada ya hili kuisha muda wowote kuanzia sasa JPM ataendelea na ziara yake mikoa ya kusini
Alikua anaogopa tusijue zile trillions alizopiga
 
Nchi hii vituko haviishi pesa alizokuwa amekusanya DPP ni bilion 105 na computer kwahiyo pesa zetu ndio zimepotea? kwanini mpaka sasa hajakamatwa mtu kwa kufanya ilo tukio?

Au serikali mlijiibia? Ilikuwaje pesa zote hizo zikawekwa kwenye ofisi na sio kupelekwa bank? Rudisheni pesa za watu Magufuli waagize police wako waache kuangaika na upinzani watafute awa wezi wapatikane.
 
Kuna mwamba moja anakitambi cha kunywea kongoro

Alidakwa within 24hours,sijui anahali gani huko alipo
 
Hizi ulisikiliza maelezo ya waziri mahiga au kelele tu ,hivi nyie waasi wa Tanzania mlijipa jina la wapinzani huwa mnaakili timamu

State agent
 
Nchi hii vituko haviishi pesa alizokuwa amekusanya DPP ni bilion 105 na computer kwahiyo pesa zetu ndio zimepotea? kwanini mpaka sasa hajakamatwa mtu kwa kufanya ilo tukio?

Au serikali mlijiibia? Ilikuwaje pesa zote hizo zikawekwa kwenye ofisi na sio kupelekwa bank? Rudisheni pesa za watu Magufuli waagize police wako waache kuangaika na upinzani watafute awa wezi wapatikane.
Mungu ibariki Tanzania ukipenda mwenyewe
 
Nchi hii vituko haviishi pesa alizokuwa amekusanya DPP ni bilion 105 na computer kwahiyo pesa zetu ndio zimepotea? kwanini mpaka sasa hajakamatwa mtu kwa kufanya ilo tukio?

Au serikali mlijiibia? Ilikuwaje pesa zote hizo zikawekwa kwenye ofisi na sio kupelekwa bank? Rudisheni pesa za watu Magufuli waagize police wako waache kuangaika na upinzani watafute awa wezi wapatikane.
Kama unajua ziliko nenda saidia zipatikane.
 
Back
Top Bottom