Waziri Mahiga: Serikali ya Uturuki imetuambia wamiliki wa shule za Feza ni magaidi

"Uturuki imetuambia"
Fanyeni uchunguzi wenu
Vita vya kisiasa vya Erdogan na Gullen visituhusu
Matter ofa fact Erdogan alihaidi mengi sana kuhusu kuborosha uchumi wa Turkey
Kama tu Magufuli alivyotuhaidi watz
Lkn siku zikawa zinakwenda hali ikawa ndiyo mbaya zaidi
UCHUMI ulitaka umpindue Ardogan asisingizie shaba
 
Bahati mbaya Pengo haruhusiwi kujamiiana hivyo hana watoto !
 
Ye si rais malaika akae pale milele, inamana hata watanzania magaid kama wanadai hao hivyo, mana wanakaa nchini kivyovyote tunajua kichojir wasituchafue wauane wenyewe yetu yanatushinda itakuwa kufadhili magaid, dikteta mkubwa
 
Ukiristo ulianzishwa na Paulo katika mji wa Antiokya uliopo Uturuki, kasome Biblia Duduwasha. Wanafunzi wa kwanza waliitwa Wakiristo hapo Antiokya
 
Waturuki wenyewe wanasema FEZA ni magaidi alafu nyie wabongo mnaleta ubishi..... Povu jingi..... Subirini muone
Walikuwa wapi mda wote huo wasiseme waache siasa za maji taka
 
Waturuki wenyewe wanasema FEZA ni magaidi alafu nyie wabongo mnaleta ubishi..... Povu jingi..... Subirini muone
Hizo ni akili za kuambiwa,mkuu by the way taarifa inaendelea kufanyiwa kazi
 

kwan wanaosoma hapo wote wasilamu?? Tena hata wanaofauli sana wengi sio wasilam
 
Watanzania ni waongeaji sana. Huenda hili likawa moja ya sababu zinazochelewesha maendeleo yetu
 
Hapo kunatengenezwa uzushi kuzichafua hizo shule hakuna lingine,tunajua upande flani hauna haki hapa tanzania basi tuachieni hata hivyo vichache jamani.
kwani waturuki si ni wafuasi wa ile dini pendwa, dini ya Haki. Balozi wa Uturuki ndio anaomba shule ifungwe , sio Pope anayeomba hivyo, wala sio Pastor Emmanuel Munguatosha
 

Umeanza vizuri ila umemalizia kijinga sana hao wataalamu wapo wapi??
 

Inferiority inawasumbua sana
 
You Nailed it Bro, nimesoma University na wanafunzi waliosoma Feza, napenda niseme kweli jamaa wapo serious na kitabu na nidhamu ya hali ya juu. tusije tukaentertain mambo ya nje yavuruge mazuri yetu ya ndani.

hao walikua wametoka feza na ni watoto wa masikini, ila wa matajiri hawana usiriaz na shule kabisaaaa walifaulu kwa kua kazi yako ni kumeza tu
 
*****, hivi kwa hali hii unafelije.?

Ilipaswa hili shule liwe chuo kikuu cha dodoma ( Natania tu).

Ni nouma afrika mashariki na kati.

Dah mimi mkali sana asee na wengine tunafaulu katika mazingira magumu sana SANA hakika ukipata two hapo wewe kilaza SANA kwa shule hii
 
Mwenyekiti wa bodi amejibu tuhuma kirahisi sana hao wamiliki anaweza kuwataja akipelekwa mahakaman?? Ili hali inajulikana ni waturuki
 
hao walikua wametoka feza na ni watoto wa masikini, ila wa matajiri hawana usiriaz na shule kabisaaaa walifaulu kwa kua kazi yako ni kumeza tu
Watoto wa maskini wanafikaje feza boys/girls mkuu maana ada yao kwa mwaka ni kubwa kuliko ada ya mwanachuo anayesomea engineering kwa miaka yote mitatu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…