Mwanapropaganda
JF-Expert Member
- Aug 19, 2014
- 4,235
- 2,508
Point nzuri sana.Ingawaje pale Magogoni pana shida kubwa kwenye eneo la diplomatic lakini Mungu mkubwa tunaye waziri sahihi kwa wizara ya mambo ya nje, ni mtu aliyebobea kwenye diplomasia.
Tena chondechonde Ngosha hasichangie comment yoyote kwenye hili maana anaweza kufyatuka akijuwa anahutubia wasukuma kumbe kuna watu serious wanaokusikiliza nukta kwa nukta.
Hili sekeseke aachiwe balozi Mahiga hilo ndilo eneo lake la kujidai, si la wafyatukaji, yeye aendelee na episode nyingine.
Watoto wa maskini wanafikaje feza boys/girls mkuu maana ada yao kwa mwaka ni kubwa kuliko ada ya mwanachuo anayesomea engineering kwa miaka yote mitatu.
dah mshkaji unapenda ligi wewee, madogo wote watatu nilopiga nao class walikua maisha bora tena mmoja ni mtoto wa mkuu wa chuo lakini sote tulimkubali jamaa anajituma na anasaidiana na wanadarasa kuelekezana pale lectures zinapokuwa zimetupita kushotohao walikua wametoka feza na ni watoto wa masikini, ila wa matajiri hawana usiriaz na shule kabisaaaa walifaulu kwa kua kazi yako ni kumeza tu
Mkuu, hakuna udini wowote hapo. Ni ugomvi kati ya waturuki wenyewe. Shule za aina hiyo tayari zimefungwa kwa shinikizo la serikali ya Erdogan.The bottom line of the entire story ni udini. Shule za FEZA ndio zilionekana kutoa upinzani mkalikwa shule za makanisa na hili lilikuwa halifurahiwi. Kama zilikuwa zinatumia mbinu za kigaidi kufundishia wanafunzi(sijui ndio maana wanafanya vizuri mitihani yao) Serikali ilikuwa wapi wakati wote huo " isiwashughulikie"? Wacheni unafiki wa kidini tena kweupe
una mtoto anayesoma feza?It's obvious as mentioned by the Turkey government some of the teachers impart secretly dangerous doctrine to our sons and daughters hence let our able government led by Dr Magufuli as President take heed, take appropriate action at the right time after thorough investigation, we should remember the sayings of the retired president Jakaya Kikwete,"akili za kuambiwa changanya na za kwako"!!!!!
wivuhao walikua wametoka feza na ni watoto wa masikini, ila wa matajiri hawana usiriaz na shule kabisaaaa walifaulu kwa kua kazi yako ni kumeza tu
wivu
wengi tu mimi mmoja wapo. au unataka watu maofisini wajitangaze ndio uelewe. mkuu wa shule ya feza boys mwenyewe ni zao la shule izo. nenda muhimbili kaulize kuna doctors yeyote amesoma FEZA utapata jibu.Umeanza vizuri ila umemalizia kijinga sana hao wataalamu wapo wapi??
hayo matokeo yako ni majibu sahihi ya wivu ulikua ndani yakomkuu ni PM nikutumie matokeo, uone huo wivu utoke wap
wengi tu mimi mmoja wapo. au unataka watu maofisini wajitangaze ndio uelewe. mkuu wa shule ya feza boys mwenyewe ni zao la shule izo. nenda muhimbili kaulize kuna doctors yeyote amesoma FEZA utapata jibu.
Neno galatia ndio lao asili.. Kama ni mtanganyika, zamani tuliitwa watu mzizima tukabadilishwa kuwa wana Wa Dar es salaam na waarabuF
Fetullah Gulein ni Mturuki tena mwanazuoni Wa kimataifa. Ni mwandishi pia wa Vitabu Na Sheikh. Kwa maneno yako ni Mgalatia ********!?!?
mkuu pole kwa kumjibu jamaa huyo mweupe kichwani kwenye forums za nje wapo kama hawa kitu hata kama kafanya nduguye atalalamika either kabambikiwa tena wakumtupia lawama zote ni muisrael huwa nasoma naishia kuchekaYaani wewe ni K kweli kweli. Hizo shutuma dhidi ya Feza schools zimetolewa na serikali ya Uturuki. Uturuki yenyewe ni waislam kwa 85% na serikali yetu ndio ina watetea hao Feza na wala haitaki kuzifungia kwa stupid allegation za Serikali ya Uturuki na Erdogan.
Upande gani huo mkuu?Hapo kunatengenezwa uzushi kuzichafua hizo shule hakuna lingine,tunajua upande flani hauna haki hapa tanzania basi tuachieni hata hivyo vichache jamani.
Waturuki wenyewe wanasema FEZA ni magaidi alafu nyie wabongo mnaleta ubishi..... Povu jingi..... Subirini muone
HasaaKama yana ukweli yatajulikana tuu.
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] msamehe bure mkuu,udini wake unamtoa povu jeusiKahiyo makanisa yameenda kuleta UNAA huko Uturuki ili Shule ya FEZA ifungiwe