Waziri Mahiga: Serikali ya Uturuki imetuambia wamiliki wa shule za Feza ni magaidi

Waziri Mahiga: Serikali ya Uturuki imetuambia wamiliki wa shule za Feza ni magaidi

Ingawaje pale Magogoni pana shida kubwa kwenye eneo la diplomatic lakini Mungu mkubwa tunaye waziri sahihi kwa wizara ya mambo ya nje, ni mtu aliyebobea kwenye diplomasia.

Tena chondechonde Ngosha hasichangie comment yoyote kwenye hili maana anaweza kufyatuka akijuwa anahutubia wasukuma kumbe kuna watu serious wanaokusikiliza nukta kwa nukta.

Hili sekeseke aachiwe balozi Mahiga hilo ndilo eneo lake la kujidai, si la wafyatukaji, yeye aendelee na episode nyingine.
Point nzuri sana.
 
hao walikua wametoka feza na ni watoto wa masikini, ila wa matajiri hawana usiriaz na shule kabisaaaa walifaulu kwa kua kazi yako ni kumeza tu
dah mshkaji unapenda ligi wewee, madogo wote watatu nilopiga nao class walikua maisha bora tena mmoja ni mtoto wa mkuu wa chuo lakini sote tulimkubali jamaa anajituma na anasaidiana na wanadarasa kuelekezana pale lectures zinapokuwa zimetupita kushoto
 
terrorist is the one who cause terror. eg.,when a robber sees apoliceman he's terrified,so for arobber a policeman is terrorist
 
The bottom line of the entire story ni udini. Shule za FEZA ndio zilionekana kutoa upinzani mkalikwa shule za makanisa na hili lilikuwa halifurahiwi. Kama zilikuwa zinatumia mbinu za kigaidi kufundishia wanafunzi(sijui ndio maana wanafanya vizuri mitihani yao) Serikali ilikuwa wapi wakati wote huo " isiwashughulikie"? Wacheni unafiki wa kidini tena kweupe
Mkuu, hakuna udini wowote hapo. Ni ugomvi kati ya waturuki wenyewe. Shule za aina hiyo tayari zimefungwa kwa shinikizo la serikali ya Erdogan.
 
It's obvious as mentioned by the Turkey government some of the teachers impart secretly dangerous doctrine to our sons and daughters hence let our able government led by Dr Magufuli as President take heed, take appropriate action at the right time after thorough investigation, we should remember the sayings of the retired president Jakaya Kikwete,"akili za kuambiwa changanya na za kwako"!!!!!
una mtoto anayesoma feza?
 
Umeanza vizuri ila umemalizia kijinga sana hao wataalamu wapo wapi??
wengi tu mimi mmoja wapo. au unataka watu maofisini wajitangaze ndio uelewe. mkuu wa shule ya feza boys mwenyewe ni zao la shule izo. nenda muhimbili kaulize kuna doctors yeyote amesoma FEZA utapata jibu.
 
wengi tu mimi mmoja wapo. au unataka watu maofisini wajitangaze ndio uelewe. mkuu wa shule ya feza boys mwenyewe ni zao la shule izo. nenda muhimbili kaulize kuna doctors yeyote amesoma FEZA utapata jibu.

Kwa hiyo kuwa Mkuu wa shule ni Utalaam sio ?
Maana kama ni Dr Muhimbili hata waliosoma Kantalamba wapo Mbona
 
F

Fetullah Gulein ni Mturuki tena mwanazuoni Wa kimataifa. Ni mwandishi pia wa Vitabu Na Sheikh. Kwa maneno yako ni Mgalatia ********!?!?
Neno galatia ndio lao asili.. Kama ni mtanganyika, zamani tuliitwa watu mzizima tukabadilishwa kuwa wana Wa Dar es salaam na waarabu
 
Mkuu pole kwa kumj
Yaani wewe ni K kweli kweli. Hizo shutuma dhidi ya Feza schools zimetolewa na serikali ya Uturuki. Uturuki yenyewe ni waislam kwa 85% na serikali yetu ndio ina watetea hao Feza na wala haitaki kuzifungia kwa stupid allegation za Serikali ya Uturuki na Erdogan.
mkuu pole kwa kumjibu jamaa huyo mweupe kichwani kwenye forums za nje wapo kama hawa kitu hata kama kafanya nduguye atalalamika either kabambikiwa tena wakumtupia lawama zote ni muisrael huwa nasoma naishia kucheka
 
Watu mnadraw conclusion ya kidini. Hapo hakuna mambo ya udini. Ni siasa za Uturuki hapo. Na kuna mdau ameandika right kabisa. Kwa ujumla katoa maelezo sahihi. Ni msuguano wa manguli wawili.
 
Racip Tayip Erdogan anahiharibu Uturuki hyo jamaa king'ang'anizi ubishi,ukaidi gaidi mkubwa ni Erdogan
 
Waturuki wenyewe wanasema FEZA ni magaidi alafu nyie wabongo mnaleta ubishi..... Povu jingi..... Subirini muone


Tunajifanya tuna upeo wa kupinga kila kitu badala ya kukaa chini tujitafakari eti tunasubiri ushahidi kutoka kwa watuturuki.
 
Back
Top Bottom