Yan we ndo umepotea kabisa wenzio wanaelekea masharik wewe magharib swala lauislam hapa halipo napale dini zote wanasoma chamsingi pesa acha upopomaThe bottom line of the entire story ni udini. Shule za FEZA ndio zilionekana kutoa upinzani mkalikwa shule za makanisa na hili lilikuwa halifurahiwi. Kama zilikuwa zinatumia mbinu za kigaidi kufundishia wanafunzi(sijui ndio maana wanafanya vizuri mitihani yao) Serikali ilikuwa wapi wakati wote huo " isiwashughulikie"? Wacheni unafiki wa kidini tena kweupe
Hapo kunatengenezwa uzushi kuzichafua hizo shule hakuna lingine,tunajua upande flani hauna haki hapa tanzania basi tuachieni hata hivyo vichache jamani.
Yan we ndo umepotea kabisa wenzio wanaelekea masharik wewe magharib swala lauislam hapa halipo napale dini zote wanasoma chamsingi pesa acha upopoma
unamanisha...?Kwahiyo Mh.Mwigulu Nchemba mwanae anasoma katika shule ya Magaidi.
Haya nimadhara yakusoma kitabu chadini ukiwa uko kweny dimbwi lanjaa nashida nying angalia akina mohamed ally walikua waislam safi bila chuki zakidiniMkuu
Mkuu hapo upo vzr huyu wa uzi wa kislam sijui amekula maharagwe ya wapi? Utakuta hata shule ya feza anaisoma tuu kama sie wa idodomya haijui na yeye
Hili si kweli wameingiza siasa hapo[emoji2] [emoji2]Kumbe shule ya FEZA ni mali ya Mtanzania? Kumbe watanzania wanaweza wekeza hata ulaya? safi sana.
Kwa Mara Ya Kwanza Ninawaona Wale Wanaoonekana Kuwa Na Maarifa Mengi Wakifichuo Hisia Zao Bila Ya Wenyewe Kujua!
Hivi Ni Kweli Nyinyi Hamujui Tofauti Ya TREASON (UHAINI) na TERRORISM (UGAIDI) ?
Kwasababu Yule Jamaa FETULLAH Anajuilikana Kimataifa Kuwa Ni Mtu Anaepigania Mageuzi Nchini Turkey, Na Ndiyo Maana Mataifa Ya Magharibi Yote Yanamuunga Mkono ikiwemo Marekani Ambayo Imempa Hifadhi Kwenye Nyumba Maalum Akilindwa Na Maafisa Wa Uslama wa CIA.
Na Mapinduzi Yaliyofanyika Uturuki Yaliungwa Mkono Na Marekani pamoja Na Mataifa Ya Ulaya Wakisema Kuwa Yangelifanikiwa Mapinduzi Hayo, Basi Wangelikuwa Wanaumaliza Ugaidi!! Kumbe Kwa Mtazamo Wa Wamagharibi Erdogan Ndiye Gaidi.
Serikali Ya Uturuki imeamua Kuwa Wale Wahaini Waliojaribu Kumpindua Rais Kuwaita MAGAIDI, Hivi Kumbe Maana Ya Gaidi Kwa Mtazamo Wako Na Mtazamo wa Waturuki Ni Yule Anaetaka Kumpindua Raisi??
Kwahiyo Wale Waliotaka Kumpindua NKURUNZIZA nao Ni Magaidi???
CCM waliopindua Zanzibar (1964) Nao Ni Magaidi??
Mkuu Si Kila Linapotumika Neno Ugaidi Unatakiwa Kuliunga Mkono eti tu Waliolengwa Ni Wafuasi Wa Dini Fulani.
Hayo Ni Maswala Ya Kisiasa si Ya Kidini.
Serikali Ya CCM zanzibar imeamua Kuvunja Maduka Ya Wapemba Pale Darajani Mjini Unguja wakiamini Kuwa Kuuwa Upinzani ni Lazima Uondoshe Zile Sehemu Zao Za Chanzo Cha Mapato.
Na Mfano Huo Ndiyo Anaotumia Erdogan Kutaka Kuuwa Upinzani Kwa Kuvunja Vyanzo Vyao Vya Mapato Kwa Ktumia Jina la Kuwabambikizia Ugaidi.
Tanzania Haiizidi Marekani Kwa Intelijensia, Mbona Marekani imekataa Kumlabel Fetullah Kuwa ni Gaidi?? Kwasababu inajua Kuwa Fetullah ni Mwanaharakati Anaepigania Demokrasia Na Wala si Ugaidi.
kwahiyo kwakuwa endorgan kamwita gullen gaidi basi nawe umelibeba hivyovyo bila kuprocess?,Ulipashwa kuelewa contents za habari kabla huja react. Sijui ni wapi ulipoona mtu anasema ugaidi ndio uhain.
Serikali ya uturuki, kupitia balozi yake, imesema huyo Fetullah kwa kushirikiana na wamiliki wa Feza shule, wamehusika katika jaribio la kuipindua serikali ya uturuki.
Mwandish amebainisha kwamba Fetullah, umiliki wa Feza shule, na baadhi ya wafanyabiashara pia wanajihusisha na ugaidi. Na kwamba **** michakato hata katika Feza shule yenye vinasaba vya ugaidi.
Hakuna sehemu mtu amesema uhaini ndio ugaidi.
Pili tunajadili mada iliyoko mezani kutoka Uturuki.
Hatataki kufanya maamuzi ya kisiasa wala mihemuko. Tunataka uchunguzi wa kina ufanyike ili kubainisha ukweli.
Kwamba hao siyo magaidi bali ni wahaini ambao serikali ya uturuki imeamua kuwaita magaidi, hili ni jipya. Let chanzo chako bayana cha habari kwa sababu, haya mambo yote yanamwelekeo mmoja. Yanaweza kufanywa kwa mara moja ama kwa nyakati tofauti lakini lengo ni moja. Tofauti approach. Kwa hiyo mtu kuwa gaidi, halafu akawa haini ni sawa na uji wa sukari na ukwaju.
Kwa hiyo naomba ujadili hoja kama ilivyo usipindishe ama kwa kusudi ama kwa bahati mbaya.
Kama hivi unaonyesha kuwa na ufahamu mpya kwamba serikali ya Uturuki inafanya makusudi ama haijui hivyo inchanganya ugaidi na uhaini, unaweza kutuwekea chanzo chako hapa tujajili.
Tunahitaji amani na usalama wa dunia.
Ahsante.
kwahiyo kwakuwa endorgan kamwita gullen gaidi basi nawe umelibeba hivyovyo bila kuprocess?,
tatizo lako wewe ni mdini,maadamu umeona hiyo shule ya waislamu basi fact unaweka pembeni na kukandamiza,
mimi kwenye sakata la mapinduzi nilikuwa namuunga mkono endorgan,na mpaka sasa,niko agaisnt marekani kupanga mapinduzi kule uturuki,lakini siwezi kukubali kupotoshwa kirahisi vile,najua Gullen movement sio magaidi
Ni magaidi kweli...Hapo kunatengenezwa uzushi kuzichafua hizo shule hakuna lingine,tunajua upande flani hauna haki hapa tanzania basi tuachieni hata hivyo vichache jamani.
Hebu funguka ...Hapo kunatengenezwa uzushi kuzichafua hizo shule hakuna lingine,tunajua upande flani hauna haki hapa tanzania basi tuachieni hata hivyo vichache jamani.
Wanalipa ada inayotumika kufadhili ugaidi.jiongeze wewe
The bottom line of the entire story ni udini. Shule za FEZA ndio zilionekana kutoa upinzani mkalikwa shule za makanisa na hili lilikuwa halifurahiwi. Kama zilikuwa zinatumia mbinu za kigaidi kufundishia wanafunzi(sijui ndio maana wanafanya vizuri mitihani yao) Serikali ilikuwa wapi wakati wote huo " isiwashughulikie"? Wacheni unafiki wa kidini tena kweupe
Mwigulu gaidi.unamanisha...?
Ni kweli ameongea ki-shallow sana wakati pembeni yake tu kuna Mturuki!
mimi ni mmoja wa wanafunzi nimesoma apo FEZA o-level na high-level. shule za FEZA hazina mtaala wowote unaofundisha ugaidi.
shule ina walimu mchanganyiko waturuki na watanzania. wanafunzi wengine niliosoma nao sasa hivi ni walimu apo FEZA. kwa mfano mkuu wa shule ya FEZA boys alisoma apo O-level baadae akafanya bachelor Uturuki na masters kafanya UDSM.
miaka yote iyo tumesoma mpaka sasa kila mtu anafanya maisha yake sijawahi kusikia ata siku moja mwanafunzi yeyote wa FEZA ambaye amefanya tukio la kigaidi. wengi wetu tumekua watu wema kutokana na mafunzo mazuri tuliyopata pale shuleni.
nimewahi kua moja wa kiongozi wa wanafunzi ila hakuna ata siku moja ambayo tumeelekezwa tufanye tukio la ovyo. shule ziko serious na elimu pekee. shule za FEZA zinajiendesha kutoakana na ada wanazolipa wazazi wa wanafunzi matajiri pia wanafunzi maskini wanasomeshwa kutokana na michango ya wazazi matajiri na baadhi ya wanafunzi waliosoma apo ambao asilimia kubwa wamefanikiwa kimaisha.
ivyo basi kwa mimi binafsi naweza kusema kuwa shule za FEZA hazina uhusiano wowote ule na ugaidi. Uturuki raisi Erdogan amevurugwa tu kutokana na sera zake za ovyo za kuminya demokrasia na ndio maana mpaka leo umoja wa ulaya (EU) wameshindwa kuiruhusu uturuki kujiunga na umoja huo kutokana na uvunjifu mkubwa wa demokrasia.
Waturuki ni watu wanapenda sana biashara na wamesambaa kila kona ya dunia na wamechangia kukua kwa uchumi kwa nchi mbalimbali duniani kwa kutoa ajira kwa wazawa wa mataifa ambayo wanawekeza. kwa mfano ukienda Poland, Germany na mataifa mengi tu ya ulaya jamaa wametoa ajira kwa mamilioni ya watu.
kwa mfano rafiki zangu wengi tu hapa bongo na ata nje ya nchi wanafanya kazi na waturuki na wako vizuri tu. Fethullah Gullen yeye sio mmiliki wa shule za FEZA ila yeye alitoa idea kwa waturuki kuanzisha mashule nje ya uturuki ili kutoa elimu bora kwa mataifa mbalimbali duniani.
Hachangii na wala hapewi ata senti kutoka kwenye shule. uwekezaji hapa bongo wote umefanywa kutokana na ada na michango ya watanzania wachache ambao wameshawishika kuchangia shule.
rafiki yangu mmoja baba yake mzazi ametoa tiles za shule nzima for free. mimi pamoja na wanafunzi wengine tumeshapiga rangi sana shule za FEZA kwa kujitolea. ivyo basi naweza sema shule za FEZA hazina uhusiano wowote ule ayo mambo yao ya ndani ya uturuki wajaribu kumalizana nayo wenyewe.
huo ubalozi kama unajua kuhusu iyo michango ya kigaidi basi wafungie hizo account ambazo zinapewa iyo misaada. Nigeria wamemgomea Erdogan na serikali yake kuhusu kufunga shule za aina ya FEZA ambazo zipo Uturuki ivyo serikali yetu isiyumbishwe kutokana na uyo Erdogan.
shule hizi zinazalisha wataalamu wakutosha ambao wana mchango mkubwa tu kwa taifa ili. rafiki zangu wengi tu sasa hivi ni madiktar katika hospitali za hapahapa nchini, wengine mainjia wazuri tu na wanasaidia mambo mbalimbali.
Hawa Uturuki si ndiyo walio dondosha ndege ya jeshi la Rusia?Nimekusoma Mkuu!
Icheki Situation Hii..
Erdogan: Ni Mfuasi Wa Siasa Za Kiarabu, Almost ni Saudia Arabia.
Feitullah: (Mwanamapinduzi) Ni Mfuasi Wa Siasa Za Kimagharibi, Almost Marekani inayomfadhili.
Erdogan: Anawaita Wanamapinduzi Magaidi.
Wanamapinduzi: Wanamwita Erdogan Ni Gaidi anaewafadhili ISIS.
Marekani: Kasaport Kisiri Mapinduzi dhidi ya Erdogan.
Russia: Ndiye Aliyekwamisha Mapinduzi Kwa Kumtonya Erdogan Mchongo Wote Wa Maandalizi.
Jibu Hapo Unalo wewe Mimi Sikusaidii Kuwa Nani Ni Gaidi..
By The Way!!! Hapo Unaweza Jikuta Upo Middle of the War...
Et the End Hivyo ni Vita Kati Ya MAREKANI na URUSI wanavopambana Kidizaini.
Zinaweza kuwa zinaenda kwa mfumo wa kawaida kabisa bila hata utakatishaji lakini zimelengwa kufanikisha ugaidi.
Wakisema wanatuma fedh akwenda kwa yule Fetullah aliyeko marekani, kwa jambo sahihi kabisa na la wazi, nani ataquestion? Fetullah anapochannel hizo fedha kutoka amerika, Tz inasimamiaje kwamba haziendi kufanikisha ugaidi?
Serikali ichunguze.