Waziri Mahiga: Serikali ya Uturuki imetuambia wamiliki wa shule za Feza ni magaidi

Yan we ndo umepotea kabisa wenzio wanaelekea masharik wewe magharib swala lauislam hapa halipo napale dini zote wanasoma chamsingi pesa acha upopoma
 
Hapo kunatengenezwa uzushi kuzichafua hizo shule hakuna lingine,tunajua upande flani hauna haki hapa tanzania basi tuachieni hata hivyo vichache jamani.

Unaloambiwa fanyia uchunguzi.. ikiwa kweli mkuu utakuja kutuambia nini?
Hujiulizi why wakwambie shule hizo na sio wanaokuja kwenye maonesho / biashara. Waturuki wenyewe waliambia wakaanza kupuuza sasa na wewe puuza.
 
Mkuu
Yan we ndo umepotea kabisa wenzio wanaelekea masharik wewe magharib swala lauislam hapa halipo napale dini zote wanasoma chamsingi pesa acha upopoma

Mkuu hapo upo vzr huyu wa uzi wa kislam sijui amekula maharagwe ya wapi? Utakuta hata shule ya feza anaisoma tuu kama sie wa idodomya haijui na yeye
 
Hili jambo si kweli, nimesoma feza na haya sijayaona nimefanya kazi nao haya sijayaona, wanachokifanya serikali ya uturuki ni kuwaogopa feza schools kwa kujijenga kwao kielimu ndani na nje ya uturuki kwani wana shule zao ulimwengu mzima sasa wanachelea huenda wakaja wakawaondosha serikalini ila wao wako mbali na masuala ya siasa.
 
Tanzania iko upande upi? Mbona inamkingia Kifua huyo mtuhumiwa? Ingebaki neutral
 
Mkuu


Mkuu hapo upo vzr huyu wa uzi wa kislam sijui amekula maharagwe ya wapi? Utakuta hata shule ya feza anaisoma tuu kama sie wa idodomya haijui na yeye
Haya nimadhara yakusoma kitabu chadini ukiwa uko kweny dimbwi lanjaa nashida nying angalia akina mohamed ally walikua waislam safi bila chuki zakidini
 

Ulipashwa kuelewa contents za habari kabla huja react. Sijui ni wapi ulipoona mtu anasema ugaidi ndio uhain.

Serikali ya uturuki, kupitia balozi yake, imesema huyo Fetullah kwa kushirikiana na wamiliki wa Feza shule, wamehusika katika jaribio la kuipindua serikali ya uturuki.

Mwandish amebainisha kwamba Fetullah, umiliki wa Feza shule, na baadhi ya wafanyabiashara pia wanajihusisha na ugaidi. Na kwamba **** michakato hata katika Feza shule yenye vinasaba vya ugaidi.

Hakuna sehemu mtu amesema uhaini ndio ugaidi.

Pili tunajadili mada iliyoko mezani kutoka Uturuki.

Hatataki kufanya maamuzi ya kisiasa wala mihemuko. Tunataka uchunguzi wa kina ufanyike ili kubainisha ukweli.

Kwamba hao siyo magaidi bali ni wahaini ambao serikali ya uturuki imeamua kuwaita magaidi, hili ni jipya. Let chanzo chako bayana cha habari kwa sababu, haya mambo yote yanamwelekeo mmoja. Yanaweza kufanywa kwa mara moja ama kwa nyakati tofauti lakini lengo ni moja. Tofauti approach. Kwa hiyo mtu kuwa gaidi, halafu akawa haini ni sawa na uji wa sukari na ukwaju.

Kwa hiyo naomba ujadili hoja kama ilivyo usipindishe ama kwa kusudi ama kwa bahati mbaya.
Kama hivi unaonyesha kuwa na ufahamu mpya kwamba serikali ya Uturuki inafanya makusudi ama haijui hivyo inchanganya ugaidi na uhaini, unaweza kutuwekea chanzo chako hapa tujajili.

Tunahitaji amani na usalama wa dunia.

Ahsante.
 
kwahiyo kwakuwa endorgan kamwita gullen gaidi basi nawe umelibeba hivyovyo bila kuprocess?,
tatizo lako wewe ni mdini,maadamu umeona hiyo shule ya waislamu basi fact unaweka pembeni na kukandamiza,
mimi kwenye sakata la mapinduzi nilikuwa namuunga mkono endorgan,na mpaka sasa,niko agaisnt marekani kupanga mapinduzi kule uturuki,lakini siwezi kukubali kupotoshwa kirahisi vile,najua Gullen movement sio magaidi
 

Nani kasema dini hapa? Huyo gulan na hao wengine ni dini gani? Kwa nini mnakuwa wapumbavu? Tunaongelea taarifa iliyop mezani ya ugaidi na uhaini, wewe unaibuka na upumbavu mwingine. Tafadhali kama huwezi kuwa focused acha kujadili na mimi.
 
Hapo kunatengenezwa uzushi kuzichafua hizo shule hakuna lingine,tunajua upande flani hauna haki hapa tanzania basi tuachieni hata hivyo vichache jamani.
Hebu funguka ...
 
Wanalipa ada inayotumika kufadhili ugaidi.jiongeze wewe

hakuna kitu kama hicho, subirini muone kama uturuki watatoa huo ushahidi zaidi ya MATAMKO ya kukata uhusiano na watanzania. Kwanza cha ajabu hizo shule zilikuja kufunguliwa na Rais na mkewe kipindi cha ufunguzi, Rais alifungua Feza boys na Mkewe feza girls. sasa hao walitoka uturuki na kuja tz kufungua shule hawakujua kuwa zinamilikiwa na magaidi ahdi aje huyu erdogan ndo aje atwambia kuwa hawa jamaa ni magaidi??

Feza wanasoma watoto wa wanajeshi, wakurugenzi, wakuu wa idara za polisi na usalama pia wamo, kile ni kichaka kimejaza kila aina ya wanyama wenye meno na wanaotumia fizi tu. mtandao huo wa wazazi na walezi wanasomesha watoto wao isingekuwa rahisi kwa watoto wao kufundishwa ugaidi bila ya wao kupata viashiria vya hatari kwa watoto wao.

Ni sawasawa na kwenda kuyafungia maduka ya wapemba walioko marekani na uingereza eti wanafadhili kampeni za cuf visiwani unguja na pemba au ukayafungie maduka ya wachaga walioko nairobi eti wanasupport chadema Arusha
 
KAKA FICHA UPUMBAVU WAKO. FICHA WATU WASIUONE...kwa nini unajivunia UPUMBAVU KULIKO HEKIMA? FEZA wanasoma dini zote pale wala si shule ya kiislamu. au hujui hilo?kaangalie wanafunzi wanaosoma feza utaambiwa.

yaani hili nalo unaleta UDINI? mmiliki wa shule ya FEZA NI MSHIRIKA WA WAMAREKANI KAMA HUJUI ,anayetaka shule zifungwe ni Yule mwenye Imani kali kule uturuki. Hivi kwa nini hampendi kujishughulisha hata kidogo? nyie si mliambiwa mkatafute Elimu? sasa wewe hata elimu hutaki kutafuta. KAKA FICHA UPUMBAVU WAKO. FICHA KAKA USIWAONESHEE WATU.


 
Ni kweli ameongea ki-shallow sana wakati pembeni yake tu kuna Mturuki!

Ni asasi iliyosajiliwa tanzania na kupewa kibali chakuendesha huduma za elimu na kijamii kwa ujumla wake. Shule za fedha zinawanafunzi watanzania na karibia asilimia 80 ya management team ni watanzania kuanzia walimu na baadhi ya viongozi. Mfano head wa feza biys ni mtz, viongozi wa department karibu zote ni watz, ukija feza girls hivyohivyo viongozi wengi ni watz, ukienda znz head, academic na second wote watz.

shule zinasaidia wanafunzi wenye vipaji wakitanzania ambao wazazi wao hawana uwezo kiuchumi wanasoma bureeeeeeeeeee na kama mwanao akichana vizuri wanaweza kumchukua direct akaendelezwa na baadae akapata ajira hadi kufika kuwa kiongozi, mfano ni huyu Head wa Feza boys anaitwa Ibrahim Yunus, amechukuliwa akiwa mdogo akajiunga secondary, akachana akapelekwa mbele na sasa ni head feza boys. wapo wengi sana siwezi kuwataja.

Uongozi wa feza waliingia makubaliano na Makonda kuwasaidia wanafunzi wasio na uwezo katika shule jirani za kata wilaya ya kinondoni, uongozi unawasaidia wanafunzi 100 au na zaidi kutoka shule za Ukwamani Kawe, Makongo na kwengine, watoto hawa wamefunguliwa kila mmoja account yake na wanasaidiwa matumizi mbalimbali.

KWA MANUFAA HAYA NI UMILIKI TOSHA WA WATANZANIA. JE NIS HULE GANI ZETU ZINAZOFANYA HAYA????
 

Chakuongeza ni kwamba huyu BALOZI UCHWARA asingekuwa anakenua mimeno yake leo tanzania na kupata kipupwe cha nguvu kama sio hao waturuki wa feza. Hawa jamaa zamani walikuwa wakitaka viza na mambo ya usafiri hadi waende kenya, wao ndio walioomba serikali yao na yetu kufungua ubalozi hapa tz ili kurahisisha safari na mambo mbalimbali.
 
Hawa Uturuki si ndiyo walio dondosha ndege ya jeshi la Rusia?
 

Hicho kizee Fedhulillah anakiogopa bureeeee, ni mtu mzima sana ambaye kwa sasa hawezi kuwa na motives za kutaka urais hata sekunde, ila erdogan anatishwa na madudu yake ambayo waturuki wengi hawayakubali
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…