Waziri Makamba aelezea mafanikio ya mwaka mmoja wa rais Samia katika sekta ya Nishati

JUMA JUMA

JF-Expert Member
Joined
Jan 5, 2013
Posts
790
Reaction score
964
MUDA HUU

Waziri wa Nishati Mhe. January Makamba Yupo Azam UTV akieleza Makubwa Yamefanyika Wizara ya Nishati Mwaka Mmoja wa uongozi wa Mhe. Rais Samia Suluhu Hassan Madarakani.

Kupitia link hapo chini๐Ÿ‘‡๐Ÿฟ

https://www.facebook.com/
 
Ana nini cha kutuambia huyo mvuta bangi!!?? Kipindi kile enzi za school mzee wake alikuwa anamtia bakora assembly kwa ujeuri wake..
 
๐Ÿ˜€๐Ÿ˜€๐Ÿ˜€๐Ÿ˜€๐Ÿ˜€๐Ÿ˜€๐Ÿ˜€๐Ÿ˜€ Enewei, hii nchi inachezewa sana
 
Ccm kupiga mdomo tu wanajua waulize maendeleo sasa utasikia โ€œ serikali inampango mkakati hadi 2055 iwe hivi hiviโ€
 
Ccm kupiga mdomo tu wanajua waulize maendeleo sasa utasikia โ€œ serikali inampango mkakati hadi 2055 iwe hivi hiviโ€
Au watajisifia vitu vya kawaida, kama kujenga zahanati au kusambaza umeme.
Ila ukichunguza ubora sasa wa hivi vitu ni bure kabisa.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn moreโ€ฆ