peno hasegawa
JF-Expert Member
- Feb 24, 2016
- 14,255
- 23,949
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
January Makamba is a dissapointment.Halafu unaambiwa, miongoni mwa wateule wa Bi Mikopo, eti huyu ndiye the best genius wao! Kwa maneno mengine, ndiye Chama ama Morrison wa baraza lake la mawaziri!
Did you expect anything worthwhile from him? It's sad to inform you that you did place your dear expectations on the wrong individual.Tatizo si kitengo cha porojo, tunataka umeme usikatike.
Period.
Makamba kama kashindwa kazi apishe wanaoweza.
Kuvunja kitengo cha porojo is a very poor way of solving Tsnesco's problems.
We expected better from Makamba.
^regrettable & unforgettable disappointment^January Makamba is a dissapointment.
Sad!Did you expect anything worthwhile from him? It's sad to inform you that you did place your dear expectations on the wrong individual.
Hivi Haji Manara hawezi kazi ya usemaji tu pale wizarani?
[emoji51][emoji51][emoji51]
Makamba anatu dissapoint.Hicho kitengo cha habari na mawasiliano wa outsource kwenda CCM kitengo cha propaganda ili nyeupe iitwe nyeusi
DuuhWaziri mwenyewe mwizi wa mitihani pale Galanos sec. Tanga. Ashukuru baba yake alikuwa anauwezo wa kumpeleka huyu mwizi kule Forest Moro. Angekuwa mtoto wa mkulima leo angekuwa anauza machungwa kule Bumbuli.
January Makamba is a dissapointment.
Makamba yaweza kuwa yuko sahihi umeme unapokatika kuna sababu lazima uwajulishe wananchi ukikaa kimya ni uzembe au hata kabla haujakatika toa taarifa, mteja anapiga simu tenesco hata haipokelewi sasa si uduwanzi huo??Umeme ukatike alafu msemaji atetee VP shirika lake.
TAA Nesko ni fuko la chawa HALIBEBEKIWaziri wa Nishati Mh Makamba amevunja kitengo cha habari na mawasiliano Tanesco akikituhumu kimeshindwa kulisemea shirika na kulitetea shirika kwenye nyakati ambazo kitengo na watu wake kimetakiwa kufanya hivyo!
Ikumbukwe kitengo cha habari na mawasiliano kinaongozwa na mwana dada Badra Masoud kwa misingi hiyo amekali kuti kavu ...
Maswali ya kujiuliza...
Ni kweli kitengo hichi ndicho tatizo kwenye shirika?
Ni kweli wameshindwa kuitetea tanesco?
View attachment 2095460