Waziri Makamba: Hakuna uhaba wa mafuta nchini, amtaka Mkurugenzi wa TPDC akajieleze kabla hawajachukua hatua

Waziri Makamba: Hakuna uhaba wa mafuta nchini, amtaka Mkurugenzi wa TPDC akajieleze kabla hawajachukua hatua

Huenda Dk James Mataragio ambaye ni mkurugenzi mkuu wa TPDC akafutwa kazi kwa kile kilichosemwa na Makamba ni kuupotosha umma.

James,hivi karibuni alinukuliwa akisema endapo meli ya mafuta isipotia nanga ndani ya wiki mbili Nchi itashuhudia uhaba mkubwa wa mafuta jambo ambalo limeonekana kumkwaza Makamba.
Makamba hajitambui anachojua ni kuandaa mipango ya upigaji 10%
 
Pamoja na yoteyote binafsi ya Makamba Jr.

Naona yuko kwenye pressure sana, either kuna watu wanataka afeli au tayari mbio za Urais zimeanza kuna watu wanataka wamuharibia...maana kila kukicha linazuka jipya.

Makamba Jr kuwa mtulivu inaonekana upo kwenye vita kali, tumia akili kwenye kufanya mambo yako, hiyo wizara ni kubwa na ina mambo mengi, uko mtegoni....
Hizi ni siasa za Sukuma Gang dhidi ya Makamba! Hakuna jipya!

Kuna mpuuzi kaanzisha uzi eti Makamba kasema Bungeni Bwawa la Nyerere halitajazwa maji wakati Makamba yuko Misri ya Mama Samia. Sasa sijui Misri kuna Bunge la Tanzania?
 
January Makamba: Hakuna uhaba wa mafuta nchini. Hakuna sababu ya kuwa na taharuki. Utaratibu wa kuingiza mafuta unahakikisha kwamba mahitaji yapo wakati wote. Serikali inaendelea kuchukua hatua kuongeza uhakika wa upatikanaji na unafuu wa bei.

Akijibu swali la mdau alieliza mkanganyiko kati ya mkurugenzi wa TPDC na kauli yake kujichanganya, Makamba amesema yake ni Kauli ya uhakika ni ya Serikali. Mkurugenzi wa TPDC atatoa taarifa kuhusu taarifa yake hii kwasababu aliitoa kwenye semina ya wanahabari lakini ni gazeti moja tu ndio limeandika. Pia amemtaka mkurugenzi wa TPDC aende ofisini kutoa maelezo kabla hajachukuliwa hatua za ziada.

Pia soma > TPDC: Mafuta yaliyopo yatosha siku 15


 
Pamoja na yoteyote binafsi ya Makamba Jr.

Naona yuko kwenye pressure sana, either kuna watu wanataka afeli au tayari mbio za Urais zimeanza kuna watu wanataka wamuharibie...maana kila kukicha linazuka jipya.

Makamba Jr kuwa mtulivu inaonekana upo kwenye vita kali, tumia akili kwenye kufanya mambo yako, hiyo wizara ni kubwa na ina mambo mengi, uko mtegoni....
Atumie akili gani wakati ni mwizi mkubwa.katika majanga ya kitaifa kuwahi kutokea basi ni huyu Makamba wako
 
Kwa iyo tuamini uzushi wako unaoleta hapa?

Weka mgawanyo wa hisia kwa Halotell tuone Kama makamba yupo!!

Hizi ni siasa za chuki na kuchagua na tu ambazo ziko Tanzania miaka nenda rudi! Hakuna uthibitisho wowote
 
Back
Top Bottom