Johnson Fundi
JF-Expert Member
- Jan 11, 2011
- 1,386
- 1,207
inashangaza politishani anabishana na mtaalamu tena mkurugenzi ambaye amka asubuhi lala usiku ndio jambo lake hilo, wenye kufikiria vizuri wameshajua nani anasema ukweli!!!Dk James Mataragio anajua anachokisema na anachomaanisha. Makamba Yusuph aliua CCM, sasa tarajieni Makamba January atakako ipeleka wizara ya nishati.