Makamba hajitambui anachojua ni kuandaa mipango ya upigaji 10%Huenda Dk James Mataragio ambaye ni mkurugenzi mkuu wa TPDC akafutwa kazi kwa kile kilichosemwa na Makamba ni kuupotosha umma.
James,hivi karibuni alinukuliwa akisema endapo meli ya mafuta isipotia nanga ndani ya wiki mbili Nchi itashuhudia uhaba mkubwa wa mafuta jambo ambalo limeonekana kumkwaza Makamba.
Dr Bashiru alikuwa waziri wa wizara gani kilaza mkubwa wwAtakuwa waziri wa pili kukaa muda mfupi sana wizarani kama Dr Bashiru
Hizi ni siasa za Sukuma Gang dhidi ya Makamba! Hakuna jipya!Pamoja na yoteyote binafsi ya Makamba Jr.
Naona yuko kwenye pressure sana, either kuna watu wanataka afeli au tayari mbio za Urais zimeanza kuna watu wanataka wamuharibia...maana kila kukicha linazuka jipya.
Makamba Jr kuwa mtulivu inaonekana upo kwenye vita kali, tumia akili kwenye kufanya mambo yako, hiyo wizara ni kubwa na ina mambo mengi, uko mtegoni....
Aliwai kupiga 10% wapi Embu tupe ushahidi hapaMakamba hajitambui anachojua ni kuandaa mipango ya upigaji 10%
January Makamba: Hakuna uhaba wa mafuta nchini. Hakuna sababu ya kuwa na taharuki. Utaratibu wa kuingiza mafuta unahakikisha kwamba mahitaji yapo wakati wote. Serikali inaendelea kuchukua hatua kuongeza uhakika wa upatikanaji na unafuu wa bei.
Akijibu swali la mdau alieliza mkanganyiko kati ya mkurugenzi wa TPDC na kauli yake kujichanganya, Makamba amesema yake ni Kauli ya uhakika ni ya Serikali. Mkurugenzi wa TPDC atatoa taarifa kuhusu taarifa yake hii kwasababu aliitoa kwenye semina ya wanahabari lakini ni gazeti moja tu ndio limeandika. Pia amemtaka mkurugenzi wa TPDC aende ofisini kutoa maelezo kabla hajachukuliwa hatua za ziada.
Pia soma > TPDC: Mafuta yaliyopo yatosha siku 15
January kapiga kwenye nini? Weka uthibitisho
Kwaiyo arudishwe msukuma mwenzenu auHasa huyu Makamba naona wizara hii imemshinda mapema sana.
Atumie akili gani wakati ni mwizi mkubwa.katika majanga ya kitaifa kuwahi kutokea basi ni huyu Makamba wakoPamoja na yoteyote binafsi ya Makamba Jr.
Naona yuko kwenye pressure sana, either kuna watu wanataka afeli au tayari mbio za Urais zimeanza kuna watu wanataka wamuharibie...maana kila kukicha linazuka jipya.
Makamba Jr kuwa mtulivu inaonekana upo kwenye vita kali, tumia akili kwenye kufanya mambo yako, hiyo wizara ni kubwa na ina mambo mengi, uko mtegoni....
Niombe radhi kwa kuniita kabila lisilo langu nakushauri kama huwajui watu wachana naoKwaiyo arudishwe msukuma mwenzenu au
Kwa iyo tuamini uzushi wako unaoleta hapa?Halotel yasababisha Wizara ya Mawasiliano kuunganishwa na Makamba kuikosa
Wakuu habari. Hii imetoka chini ya kapeti kwamba kigogo mkubwa mstaafu ndiye aliyesababisha wizara ya uchukuzi, ujenzi na mawasiliano kuunganishwa na kuwa wizara mojaa. Sababu kubwa ni kigogo huyo mstaafu ambaye inaelezwa kuwa alikuwa kapanga safu yake ya kupaisha biashara zake kwa urahisi...www.jamiiforums.com
Aliiba nini na wapi? Weka ushahidi hapaAtumie akili gani wakati ni mwizi mkubwa.katika majanga ya kitaifa kuwahi kutokea basi ni huyu Makamba wako
Afukuzwe kazi mara moja maana ni janja janja mingi au chupri chupriKwaiyo arudishwe msukuma mwenzenu au
Ushahidi wa nini wakati tunaona yanayo jiri?Aliwai kupiga 10% wapi Embu tupe ushahidi hapa
Tuliwaambia cheo dhamana, huyu mwanzo wa mwaka ameshaonesha kavalishwa skandodoz wakati ana mguu wa mtoto!Yale yale matisho ya mwenda kuzimu. Yaani Makamba nae kawa hivi tena??
Hutaki kajinyongeJanuary kapiga kwenye nini? Weka uthibitisho
Umeona wapi? Nioneshe nami nione alipopiga iyo 10%Ushahidi wa nini wakati tunaona yanayo jiri?
Hahahaha weka uthibisho acha maneno nyumbu weweHutaki kajinyonge