Ni taasisi ipi iyenye dhamana ya moja kwa moja katika uagizaji mafuta nchini?!
Ni yeye Makamba na wasaidizi wake pale Wizara ya Nishati HQ, au TPDC iliyo chini ya Mataragio?!
Makamba aache siasa za kizee...
Isitoshe Mataragio hajasema kuna uhaba wa mafuta nchini bali amesema endapo meli haitafika within 15 days, panaweza kutokea uhaba!!
Muhimu ni kufahamisha probability ya meli husika kuweza kufika within 15 days na sio kuanza kutisha watu...
Meli zinakuwa tracked... muhimu ni kuwaambia wananchi meli iliyobeba mafuta Tanzania ipo uelekeo upi...
Kwa mfano, Ashley Lady ni Oil Tanker, na inaonesha ipo Ghuba ya Oman or anywhere around Arabian Peninsula for that matter, na inatarajiwa kuingia Dar November 15, 2021...
Pamoja na Ashley Lady, pia kuna MP MR Tanker 2, na yenyewe is somewhere around Arabian Peninsula, na inatarajiwa kuingia Dar November 19 👇👇👇👇
Nae James Mataragio needs to be smarter than this...
Asisahau kwamba anaitumikia Serikali ya CCM...
CCM ya Magu ambayo ilimtumbua kwa mihemuko tu, na hii ya Samia; zote ni CCM ni ile ile!!
Ni yeye Makamba na wasaidizi wake pale Wizara ya Nishati HQ, au TPDC iliyo chini ya Mataragio?!
Makamba aache siasa za kizee...
Isitoshe Mataragio hajasema kuna uhaba wa mafuta nchini bali amesema endapo meli haitafika within 15 days, panaweza kutokea uhaba!!
Muhimu ni kufahamisha probability ya meli husika kuweza kufika within 15 days na sio kuanza kutisha watu...
Meli zinakuwa tracked... muhimu ni kuwaambia wananchi meli iliyobeba mafuta Tanzania ipo uelekeo upi...
Kwa mfano, Ashley Lady ni Oil Tanker, na inaonesha ipo Ghuba ya Oman or anywhere around Arabian Peninsula for that matter, na inatarajiwa kuingia Dar November 15, 2021...
Pamoja na Ashley Lady, pia kuna MP MR Tanker 2, na yenyewe is somewhere around Arabian Peninsula, na inatarajiwa kuingia Dar November 19 👇👇👇👇
Nae James Mataragio needs to be smarter than this...
Asisahau kwamba anaitumikia Serikali ya CCM...
CCM ya Magu ambayo ilimtumbua kwa mihemuko tu, na hii ya Samia; zote ni CCM ni ile ile!!