Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nimemjibu huyo kuhusu gharama Wala sio mazingira. Alafu kwa watu ambao hata Milo mitatu hawana uhakika utawaeleza kuhusu mazingira? Hiyo pesa ya gesi watakua wanaichuma mtini?Hapo tunacholenga ni kutunza mazingira boss.
Sijui unamongopea nani hapa ambae hayupo Tz. Ni ujinga huuMkoa gani mkaa gunia elfu kumi babu!?..mkaa gunia hutoboi mwezi ilhali mtungi wa 54 unatoboa mwezi unusu na familia ya watu watano
Huyo mtu ni mpumbavu aliyelitiliza, aamahisi wote ni Watoto humu. Gesi ya buku hata nusu saa haifikiNaona nawe unafanya biashara kama Makamba, hiyo gesi ya buku itakuwa ya kuchemshia chai ya rangi.
Unaposema taifa gas ni kampuni ya kitanzania unamaanisha nini?! " Ndiyo maana wanatandaza mabomba ya gesi" Unamaanisha ni hao taifa gas wanatandaza mabomba?Taifa gas ni kampuni ya kitanzani,ni mkakato wa nchi kuhamia kwenye gesi,ndiyo maana wanatandaza mabomba ya gesi,acha roho ya kimasikini
Kuandika hotuba bana anawaza tu kupandisha biashara ya aliyembeba na mbeleko kwenye siasa. Yaani anawaza watanzania wawe masikini kwa kununua gesi utadhani ndio maendeleo. Yaani anataka ama anawaza namna Taifa gesi iuzike ili amfurahishe.Serikali imesema ina mikakati ya kuhakikisha kila nyumba inakuwa na mtungi wa gesi ya kupikia na kuandaa mifumo mbalimbali kupitia uvumbuzi wa kibiashara ikiwemo kutumia teknolojia ya kupima gesi kidogo kidogo.
Hayo yamesemwa leo Ijumaa, Oktoba 21, 2022 na Waziri wa Nishati, January Makamba alipokuwa akihojiwa katika kituo cha televisheni cha Clouds kupitia kipindi cha Clouds 360.
Amesema utamaduni wa Watanzania ni kununua vitu kidogo kidogo hivyo wengi hawaoni unafuu wa gesi kwa kuwa inauzwa katika mitungi mikubwa.
“Kuwa na mtungi wa gesi kila nyumba inawezekana ni suala la kujasiliana maeneo ya vijijini wengi wanasema hawawezi kumudu, wakala yuko mbali siwezi kujaza. Ifike wakati mtu akiishiwa gesi kuna namna anaweza kuipata kwa haraka ukiangalia takwimu Tanzania tupo chini ya kilo 2 kwa matumizi ya mtu mmoja kwa mwaka wenzetu wapo kilo 46 lazima tuangalie tunafanya nini.
“Serikali tumechukua hiyo changamoto na tunaifanyia kazi, tunaona kama Je? Serikali iweke ruzuku, kodi iondolewe au ni vinginevyo,” amesema.
January amesema wengi wana kipato kidogo na matajiri na wenye kipato cha kati wanaomudu ni wachache, hivyo inabidi Serikali iangalia namna ya kulisaidia kundi hilo.
“Mitandao ya simu walifanikiwa baada ya kuweka vocha ndogondogo, ili nishati safi ya kupikia ishindane na mkaa itawezekana tukitumia teknolojia kuwezesha hata gesi iuzwe kwa bando, pale pana mita unaweka mpesa unafungua mita unaingiza gesi ya Sh100 unapika inaisha zipo vumbuzi ikawa moja ya majawabu inawezekana kuweka mitungi kila nyumba, kupitia uvumbuzi wa kibiashara,” amesema.
Mwananchi
Sentensi 'mkakati wa nchi kuhamia kwenye gesi' hukuiona!?Unaposema taifa gas ni kampuni ya kitanzania unamaanisha nini?! " Ndiyo maana wanatandaza mabomba ya gesi" Unamaanisha ni hao taifa gas wanatandaza mabomba?
Ni maswali mawili tofauti, nijibu tuanze mjadala hapa,..
Mkoa gani gunia la mkaa la kutumia mwezi elfu 10!?..Nije kubeba semi ZimaSijui unamongopea nani hapa ambae hayupo Tz. Ni ujinga huu
Jibu hilo la taifa ges, ni vigezo umetumia kuliita ni kampuni lankitanzania,.Sentensi 'mkakati wa nchi kuhamia kwenye gesi' hukuiona!?
Kampuni ya mtanzania,mnyamwezi wa igunga taboraJibu hilo la taifa ges, ni vigezo umetumia kuliita ni kampuni lankitanzania,.
Manjis Gas ni ya Russia? Lake Oil gas ni ya Ukrane? Pia kaa ukijua kuwa hata hayo makampuni ambayo unasema ni ya nje yapo ubia na Government hii hii ya Mama Samia, sielewi unachotaka uzungumze unless huona hoja na hujui unachoongea! Sione wote maboya bro.... mpo kimkakati kupiga deal not otherwise!!Taifa gas ni kampuni ya kitanzani,ni mkakato wa nchi kuhamia kwenye gesi,ndiyo maana wanatandaza mabomba ya gesi,acha roho ya kimasikini
Mkaa ni ghali kuliko gesi? Kwa dar au nchi nzima? Maana mikoani gunia elfu 10 ambalo mtu mwenye familia anatumia miezi miwili. Ila gesi ya elfu 60 hata wiki mbili hatoboi.
Ukweli kwa hili mm toka siku ya kwanza natamani nikutane na makamba nimueleze
Manjis gas siyo serious Kama taifa,ulitaka kampuni ya nje Kama oryx ndiyo ipewe kipaumbele!?...gas ni future,haiepukiki,so tutumie kampuni gani!?Manjis Gas ni ya Russia? Sione wote maboya bro.... mpo kimkakati kupiga deal not otherwise!!
Gharama kwa maana ya impact kwenye mazingira. Kiafya na mengineyo.Mkaa ni ghali kuliko gesi? Kwa dar au nchi nzima? Maana mikoani gunia elfu 10 ambalo mtu mwenye familia anatumia miezi miwili. Ila gesi ya elfu 60 hata wiki mbili hatoboi.
Ukweli kwa hili mm toka siku ya kwanza natamani nikutane na makamba nimueleze
Ameshindwa nishati tu ataweza urais? Mjinga sana huyu!Aendelee kunadi biashara ya muajemi,ili ampambanie kuingia Ikulu