Mmawia
JF-Expert Member
- Aug 20, 2013
- 122,494
- 96,074
Hujui kuna 10%?Ajabu hata winchi mwezi wa kwanza anataka litokee yuesiei
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hujui kuna 10%?Ajabu hata winchi mwezi wa kwanza anataka litokee yuesiei
Tulimwambia kuwa hatakiwi kuwasikiliza sukuma gang wanampoteza akaziba masikio sasa kawaingiza wapigaji kina FebruariKuna mchezo unachezwa na January, awe makini, sbb Hili Bwawa la Nyerere naona kama vile analipinga kiaina.
Kalemani mwishoni kabla hajafukuzwa alirekebisha muda na ukawa hadi March next yearMwezi March/April mwaka huu Kalemani alitwambia ujazaji wa maji kwenye bwawa hilo ungeanza mwezi november mwaka huu, sasa kulikoni?
Aisee!Hujui kuna 10%?
Kwani daraja la Tanzanite wametumia winch gani?Ajabu hata winchi mwezi wa kwanza anataka litokee yuesiei
Wana JF,Aisee kwa Waziri huyo tumepigwa!
Leo bungeni amedai Tanzania nzima eti hakuna winchi lenye uwezo wa kubeba milango yenye uzito wa tani 26 ili kuziba milango iliyokuwa inachepusha maji ili ujenzi wa bwawa uendelee.
Kadai winchi hilo hadi litoke nje ya Nchi 😂.
Hivi huyo jamaa anatuona hamnazo eti?!
Mawinchi mamia yaliyojaa Tanzania hii ambayo hata Waturuki wa SGR wanayo kibao ajabu leo tunadanganywa eti Nchi nzima hayapo?!
Penyeza hilo swali kwa wana CCM wenzakoKwani daraja la Tanzanite wametumia winch gani?
We kituko achana na mimi tafadhari tena Komaaa mwana usiye na haya!Wana JF,
Najuwa JUKWAA la JF ni mahala pa Watanzania wote kujieleza maoni yao bila woga. Ila unapoona member mpya ameingia siku 2 zikizopita na ameshupalia mada za aina Moja tambua kuwa ana matatizo.
Naomba muendelee ku-monitor mada za Suzy Elias zimejikita kwenye umeme na January Makamba. Ni angalizo tu
Ilikuwa lijazwe tarehe 15/11/2021 na tuta la mita 190 limekamilikaMwezi March/April mwaka huu Kalemani alitwambia ujazaji wa maji kwenye bwawa hilo ungeanza mwezi november mwaka huu, sasa kulikoni?
Mimi niko huku kwenye mradi najionea kinachoendelea huku Wao wenyewe JV wamejenga crane kubwa yenye uwezo mkubwa wa kubeba mzigo wowote inauwezo wa kunyanyua na kutembea kwenye reli yake angalia hayo Mawe hapo hapo 8 kula upande =16 kila moja lina uzito wa tani 10Aisee kwa Waziri huyo tumepigwa!
Leo bungeni amedai Tanzania nzima eti hakuna winchi lenye uwezo wa kubeba milango yenye uzito wa tani 26 ili kuziba milango iliyokuwa inachepusha maji ili ujenzi wa bwawa uendelee.
Kadai winchi hilo hadi litoke nje ya Nchi 😂.
Hivi huyo jamaa anatuona hamnazo eti?!
Mawinchi mamia yaliyojaa Tanzania hii ambayo hata Waturuki wa SGR wanayo kibao ajabu leo tunadanganywa eti Nchi nzima hayapo?!
Hapa ndio watu hawajui na wanabaki kubwabwaja tu, nakumbuka Kalemani alirekebisha muda na hii ya November walisema ni majaribio ya kujaza maji but Kuna kingo hazijakamilika nadhani aliongeza muda.Kalemani mwishoni kabla hajafukuzwa alirekebisha muda na ukawa hadi March next year
Ukweli ni kwamba January kalidanganya BungeMimi niko huku kwenye mradi najionea kinachoendelea huku Wao wenyewe JV wamejenga crane kubwa yenye uwezo mkubwa wa kubeba mzigo wowote inauwezo wa kunyanyua na kutembea kwenye reli angalia hiyo Mawr hapo 16 kula moja lina uzito wa tani 10
View attachment 2007354