Bondpost
JF-Expert Member
- Oct 16, 2011
- 7,019
- 10,455
Hata nahisi hajui kitu kuhusu huo mradi hivi umewahi hata kusikia alienda kutembelea ???Ukweli ni kwamba January kalidanganya Bunge
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hata nahisi hajui kitu kuhusu huo mradi hivi umewahi hata kusikia alienda kutembelea ???Ukweli ni kwamba January kalidanganya Bunge
Hoja ni kwanini January kalidanganya Bunge?!Sababu sio hiyo peke yake, tukubaliane kujenga bwawa la ukubwa ule lenye umadhubuti inachukua muda, fanya utafiti kwa Misri na Ethiopia
Tusilazimishe mambo kufurahisha wananchi Halafu linajazwa maji linapasuka
AWE MWANGALIFU WAZIRI WETU. Nilifanya kazi mradi fulani wa kuvuta maji ziwani kwa kilimo cha umwagiliaji. Wakati wa kufunga mapampu wale wataalamu wa nje walsema wanataka winchi yenye mkono wa mita 40 (boom) na wakaondoka. Tulipata mhandisi mzalendo tukazifunga bila hiyo crane.Aisee kwa Waziri huyo tumepigwa!
Leo bungeni amedai Tanzania nzima eti hakuna winchi lenye uwezo wa kubeba milango yenye uzito wa tani 26 ili kuziba milango iliyokuwa inachepusha maji ili ujenzi wa bwawa uendelee.
Kadai winchi hilo hadi litoke nje ya Nchi 😂.
Hivi huyo jamaa anatuona hamnazo eti?!
Mawinchi mamia yaliyojaa Tanzania hii ambayo hata Waturuki wa SGR wanayo kibao ajabu leo tunadanganywa eti Nchi nzima hayapo?!
Si tu hajui kitu bali hakuutaka kabisa huo mradi tokea awali na ndiyo sababu alifutwa uwaziriHata nahisi hajui kitu kuhusu huo mradi hivi umewahi hata kusikia alienda kutembelea ???
Dunia Ina maajabu yake hakikaHili bwawa kabla halijaanza kujengwa alilipiga vita, naona yupo kulizika kabisa likwame
Si huyu aliyesema utaharibu mazingira na alishikilia msimamo hadi akaondolewa, leo ashike wizara ile mradi uendelee. Kiufupi hawataki kuona umma ukinufaika, watakosa la kuja kusema kwenye kampeniDunia Ina maajabu yake hakika
Mbona unaweweseka sana mkuu ndio weye makatani? Angalia mantiki ya maada siyo kumjadili mtu aliyeleta maada mfyuuu! Makatani ni jipuu lililoivaga tangu enzi na enzi!Wana JF,
Najuwa JUKWAA la JF ni mahala pa Watanzania wote kujieleza maoni yao bila woga. Ila unapoona member mpya ameingia siku 2 zikizopita na ameshupalia mada za aina Moja tambua kuwa ana matatizo.
Naomba muendelee ku-monitor mada za Suzy Elias zimejikita kwenye umeme na January Makamba. Ni angalizo tu
"hii ni vita ya uchumi" ....ndio naanza kuelewa sasaUnadhaninwao watakula wapi?unadhani watakusanya fedha za kamoeni wapi
Yes nakumbuka yeye alikuwa Waziri wa Mazingira na he was in favor of UNESCO proposition.Si tu hajui kitu bali hakuutaka kabisa huo mradi tokea awali na ndiyo sababu alifutwa uwaziri
Kuna mawinch daily yananyanyua vitu vya tani mia na usher[emoji28]Aisee kwa Waziri huyo tumepigwa!
Leo bungeni amedai Tanzania nzima eti hakuna winchi lenye uwezo wa kubeba milango yenye uzito wa tani 26 ili kuziba milango iliyokuwa inachepusha maji ili ujenzi wa bwawa uendelee.
Kadai winchi hilo hadi litoke nje ya Nchi [emoji23].
Hivi huyo jamaa anatuona hamnazo eti?!
Mawinchi mamia yaliyojaa Tanzania hii ambayo hata Waturuki wa SGR wanayo kibao ajabu leo tunadanganywa eti Nchi nzima hayapo?!
Tanesco ni chaka lao la kupatia fedha za kampeni. Huyo aliyeokota urais muda wote anawaza 2025.Unadhaninwao watakula wapi?unadhani watakusanya fedha za kamoeni wapi
Vasco da gama wa msoga ndiye mpanga mipango yote hiyo.Jamaa anajiandaa kikamilifu ndiyo maana tunasema kuwa mama yetu kamkaribisha nyoka nyumbani kwake
Bakharessa anayo ya kunyanyua hadi meli zake baharini huko sembuse mlango!Aisee kwa Waziri huyo tumepigwa!
Leo bungeni amedai Tanzania nzima eti hakuna winchi lenye uwezo wa kubeba milango yenye uzito wa tani 26 ili kuziba milango iliyokuwa inachepusha maji ili ujenzi wa bwawa uendelee.
Kadai winchi hilo hadi litoke nje ya Nchi [emoji23].
Hivi huyo jamaa anatuona hamnazo eti?!
Mawinchi mamia yaliyojaa Tanzania hii ambayo hata Waturuki wa SGR wanayo kibao ajabu leo tunadanganywa eti Nchi nzima hayapo?!