Waziri Makamba: Msitegemee wala kutarajia bwawa la mto Rufiji kujazwa maji mwezi Machi

Waziri Makamba: Msitegemee wala kutarajia bwawa la mto Rufiji kujazwa maji mwezi Machi

Sababu sio hiyo peke yake, tukubaliane kujenga bwawa la ukubwa ule lenye umadhubuti inachukua muda, fanya utafiti kwa Misri na Ethiopia

Tusilazimishe mambo kufurahisha wananchi Halafu linajazwa maji linapasuka
Hoja ni kwanini January kalidanganya Bunge?!
 
Aisee kwa Waziri huyo tumepigwa!

Leo bungeni amedai Tanzania nzima eti hakuna winchi lenye uwezo wa kubeba milango yenye uzito wa tani 26 ili kuziba milango iliyokuwa inachepusha maji ili ujenzi wa bwawa uendelee.

Kadai winchi hilo hadi litoke nje ya Nchi 😂.

Hivi huyo jamaa anatuona hamnazo eti?!

Mawinchi mamia yaliyojaa Tanzania hii ambayo hata Waturuki wa SGR wanayo kibao ajabu leo tunadanganywa eti Nchi nzima hayapo?!
AWE MWANGALIFU WAZIRI WETU. Nilifanya kazi mradi fulani wa kuvuta maji ziwani kwa kilimo cha umwagiliaji. Wakati wa kufunga mapampu wale wataalamu wa nje walsema wanataka winchi yenye mkono wa mita 40 (boom) na wakaondoka. Tulipata mhandisi mzalendo tukazifunga bila hiyo crane.
 
IMG_20211106_064646.jpg
 
Wana JF,
Najuwa JUKWAA la JF ni mahala pa Watanzania wote kujieleza maoni yao bila woga. Ila unapoona member mpya ameingia siku 2 zikizopita na ameshupalia mada za aina Moja tambua kuwa ana matatizo.

Naomba muendelee ku-monitor mada za Suzy Elias zimejikita kwenye umeme na January Makamba. Ni angalizo tu
Mbona unaweweseka sana mkuu ndio weye makatani? Angalia mantiki ya maada siyo kumjadili mtu aliyeleta maada mfyuuu! Makatani ni jipuu lililoivaga tangu enzi na enzi!
 
26tons weight ni ndogo sana.....nafahamu Tanzania zipo crane mpaka za 300tons kama hajui aje inbox nimuelekeze ziliko....
nafikiri inawezekana issue sio Tonnage labda kuna kitu kingine ameshindwa kukitolea maelezo maana ni technical issue hiyo, LAKINI KAMA UZITO WA 26TON ni uongo....AJE INBOX NIMUELEKEZE ZILIPO DAR HAPO.....nitampa na discount ya udalali...
 
Aisee kwa Waziri huyo tumepigwa!

Leo bungeni amedai Tanzania nzima eti hakuna winchi lenye uwezo wa kubeba milango yenye uzito wa tani 26 ili kuziba milango iliyokuwa inachepusha maji ili ujenzi wa bwawa uendelee.

Kadai winchi hilo hadi litoke nje ya Nchi [emoji23].

Hivi huyo jamaa anatuona hamnazo eti?!

Mawinchi mamia yaliyojaa Tanzania hii ambayo hata Waturuki wa SGR wanayo kibao ajabu leo tunadanganywa eti Nchi nzima hayapo?!
Kuna mawinch daily yananyanyua vitu vya tani mia na usher[emoji28]
 
Aisee kwa Waziri huyo tumepigwa!

Leo bungeni amedai Tanzania nzima eti hakuna winchi lenye uwezo wa kubeba milango yenye uzito wa tani 26 ili kuziba milango iliyokuwa inachepusha maji ili ujenzi wa bwawa uendelee.

Kadai winchi hilo hadi litoke nje ya Nchi [emoji23].

Hivi huyo jamaa anatuona hamnazo eti?!

Mawinchi mamia yaliyojaa Tanzania hii ambayo hata Waturuki wa SGR wanayo kibao ajabu leo tunadanganywa eti Nchi nzima hayapo?!
Bakharessa anayo ya kunyanyua hadi meli zake baharini huko sembuse mlango!

Sent from my TECNO P704a using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom