Waziri Makamba: Msitegemee wala kutarajia bwawa la mto Rufiji kujazwa maji mwezi Machi

Waziri Makamba: Msitegemee wala kutarajia bwawa la mto Rufiji kujazwa maji mwezi Machi

Suzy fanya research kwanza kabla haujamshambulia Makamba. Wakati mwingine ndio maana viongozi wanaamua kuwa waongo kwasababu wanajua mtaanza kuwashambulia namna hii.
Sishangai sana kukosekana kwa winch ya uwezo huo, hii nchi bado ipo duni kwa mambo mengi.
SGR huenda kuna mawinch kibao lakini yananyanyua vitu gani vyenye uzito huo?
Simtetei lakini naokuona umepost kwa lengo la kushambulia zaidi.
 
Mwezi March/April mwaka huu Kalemani alitwambia ujazaji wa maji kwenye bwawa hilo ungeanza mwezi november mwaka huu, sasa kulikoni?
Watanzania wanawapenda watu kama hao wanaotudanganya halafu baadae wanawagiribu tena.

Huyu aliyedanganya ni mwezi wa tatu akasogeza hadi November ndiye wanampigia debe.
 
26tons weight ni ndogo sana.....nafahamu Tanzania zipo crane mpaka za 300tons kama hajui aje inbox nimuelekeze ziliko....
nafikiri inawezekana issue sio Ton labda kuna kitu kingine ameshindwa kukitolea maelezo maana ni technically LAKINI KAMA UZITO WA 26TON ni uongo....AJE INBOX NIMUELEKEZE ZILIPO DAR HAPO.....nitampa na discount ya udalali...
[emoji706][emoji706][emoji706]
 
We kituko achana na mimi tafadhari tena Komaaa mwana usiye na haya!

Jana ume zima hovyo!

Nimekwambia wenye vyeti fake hawarejeshwi ofisini endelea kupambana na hali yako simbilizi!
Mimi siyo kituko, niko humu kama JF Expert member tangu 2012. Respect your elders young creature
 
Mbona unaweweseka sana mkuu ndio weye makatani? Angalia mantiki ya maada siyo kumjadili mtu aliyeleta maada mfyuuu! Makatani ni jipuu lililoivaga tangu enzi na enzi!
Nimefikiria nje ya box tu. Kuwa kwa nini mtu ame create Akaunti Leo na kujikita na posts zenye mwelekeo mmoja. Niko objective tu
 
Wewe huna lolote ni mnafiki tu. Huna msimamo yani tumekudharau sana siku hizi. Tulidhanmpambanaji. Yani wee jamaaa tukutane uso kwa uso nawe, a kukuzaba mfululizo wa makofi.

brazaj
Siishi kwa kukariri kama wewe. Ninatumia akili. Nikikutana na wewe ana kwa ana nitakusomesha mpaka uelewe. Vijana acheni wivu, mtakufa kwa vijiba vya roho
 
Raisi samia,
Fungulia Mbowe,tumbua Waziri makamba,wape nafasi distinctive akina Kalemani, Bashiru na pole pole, dhibit mfumko wa Bei ya chakula na Ruhusu vyama vya siasa na ahidi kwa dhati mchakato wa katiba mpya utaanza mwaka 2029.

Halafu tulia uone jinsi utakavyo ongoza kwa amani na furaha.
 
Waende kukodi winchi za SGR au za Bakhresa

Hivi bandari yetu ya Dar haina winchi za kunyanyua huo uzito? Wazipeleke huko pia Kuna kampuni moja ya kimarekani ambayo hu deal na mizigo mizito kupindukia iko kurasini Dar es salaam waende pale hayo ma crane wanayo ya kunyanyua hizo tani
 
Wana JF,
Najuwa JUKWAA la JF ni mahala pa Watanzania wote kujieleza maoni yao bila woga. Ila unapoona member mpya ameingia siku 2 zikizopita na ameshupalia mada za aina Moja tambua kuwa ana matatizo.

Naomba muendelee ku-monitor mada za Suzy Elias zimejikita kwenye umeme na January Makamba. Ni angalizo tu
Wewe ndie takataka mmoja usie na maana hapa kabisa, yale mapropaganda yako ya hovyo kuhusu Mbowe yameishia wapi? umeshapeleka ule "ushahidi" mahakamani?

Kwani nani anamzuia mleta mada kumjadili Makamba? ungekuwa na akili timamu ungejiuliza kama hayo maneno ni kweli ameyatamka Makamba au hapana.

Kama kweli ameyatamka upeleke upuuzi wako kwa huyo bwana wako anaekutumia kumsafisha huku kwa tabia zake za hovyo za 10%
 
Aisee kwa Waziri huyo tumepigwa!

Leo bungeni amedai Tanzania nzima eti hakuna winchi lenye uwezo wa kubeba milango yenye uzito wa tani 26 ili kuziba milango iliyokuwa inachepusha maji ili ujenzi wa bwawa uendelee.

Kadai winchi hilo hadi litoke nje ya Nchi 😂.

Hivi huyo jamaa anatuona hamnazo eti?!

Mawinchi mamia yaliyojaa Tanzania hii ambayo hata Waturuki wa SGR wanayo kibao ajabu leo tunadanganywa eti Nchi nzima hayapo?!
Tanzania kuna winchi yenye uwezo wa kubeba hadi tani mia
 
Mimi niko huku kwenye mradi najionea kinachoendelea huku Wao wenyewe JV wamejenga crane kubwa yenye uwezo mkubwa wa kubeba mzigo wowote inauwezo wa kunyanyua na kutembea kwenye reli yake angalia hayo Mawe hapo hapo 8 kula upande =16 kila moja lina uzito wa tani 10

View attachment 2007354
Anachofanya Makamba hapa ni kutudanganya anatuona wajinga ili aanzishe huo mradi wao wa wizi wa LNG wa $30 milioni watupige kama kawaida yao, haya majitu yana laana wanataka kuukwamisha huo mradi kijanja na pesa iliyotumika iwe imepotea bure.
 
Mimi siyo kituko, niko humu kama JF Expert member tangu 2012. Respect your elders young creature
Hii akili yenu ya kipumbavu eti kuwa jf toka karne iliyopita ndio huwezi kuandika pumba sijui mmeitoa wapi na wajinga wenzako, elder anaheshimiwa kwa mawazo yake, sio kwa umri wake, kuwa elder mwenye akili ya kitoto ni upuuzi tu kama ulivyo upuuzi mwingine.
 
Suzy fanya research kwanza kabla haujamshambulia Makamba. Wakati mwingine ndio maana viongozi wanaamua kuwa waongo kwasababu wanajua mtaanza kuwashambulia namna hii.
Sishangai sana kukosekana kwa winch ya uwezo huo, hii nchi bado ipo duni kwa mambo mengi.
SGR huenda kuna mawinch kibao lakini yananyanyua vitu gani vyenye uzito huo?
Simtetei lakini naokuona umepost kwa lengo la kushambulia zaidi.
Sioni unachotetea wewe hapa.
Waziri hakuyasema hayo maneno bungeni, sasa unataka nani afanye "research", wewe au mleta mada aliyesikia hayo maneno?
 
Back
Top Bottom