SANCTUS ANACLETUS
JF-Expert Member
- Mar 5, 2016
- 3,338
- 4,676
Uunasema?Safari ya Misri ni kujadiri ahirisho la Ujenzi wa Bwawa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Uunasema?Safari ya Misri ni kujadiri ahirisho la Ujenzi wa Bwawa
Na nyie si mlikuwa mnakula kwenye ma bombadia na Dirimulaina?? Kutesa kwa zamu..Kwa hiyo winchi la Nchi za nje siyo?
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Zingekuwa enzi zile wangepelekwa wanajeshi wakalibebe kwa mikono[emoji38]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Eti huyu ndiye kuna watu wanampigia debe kuwa rais siku moja!
Magonjwa yapo ya aina nyingi sana humu duniani!
Wewe huna lolote ni mnafiki tu. Huna msimamo yani tumekudharau sana siku hizi. Tulidhanmpambanaji. Yani wee jamaaa tukutane uso kwa uso nawe, a kukuzaba mfululizo wa makofi.Wana JF,
Najuwa JUKWAA la JF ni mahala pa Watanzania wote kujieleza maoni yao bila woga. Ila unapoona member mpya ameingia siku 2 zikizopita na ameshupalia mada za aina Moja tambua kuwa ana matatizo.
Naomba muendelee ku-monitor mada za Suzy Elias zimejikita kwenye umeme na January Makamba. Ni angalizo tu
Utadhan ni msingi wa magorofa ya Kariakoo yanavyojengwaMimi niko huku kwenye mradi najionea kinachoendelea huku Wao wenyewe JV wamejenga crane kubwa yenye uwezo mkubwa wa kubeba mzigo wowote inauwezo wa kunyanyua na kutembea kwenye reli yake angalia hayo Mawe hapo hapo 8 kula upande =16 kila moja lina uzito wa tani 10
View attachment 2007354
Mbona huyu Magonjwa Mtambuka anakuandama na dislike? Akishashibaga viporo vya kande iliyochacha anajiondoaga ufaham.Naamini Makamba anaelewa anachosema.
Tatizo ni kuiba mitihani, uwezo unakuwa habasasa kazi ya planners ni ipi wakati..kwani hawakujua kunauhitaji wa winchi
Polepole katika ubora wakoWe kituko achana na mimi tafadhari tena Komaaa mwana usiye na haya!
Jana ume zima hovyo!
Nimekwambia wenye vyeti fake hawarejeshwi ofisini endelea kupambana na hali yako simbilizi!
Lakini hawana "winchi"!Waziri Mulamula: Arab Contactors ni kampuni kubwa sana inayoheshimika!
Lao lilikuwa moja, lakini ukweli unashindwa kukaa na uwongoLakini hawana "winchi"!
Kuna aliyemuuliza ukubwa wa hiyo kampuni, au kajistukia mwenyewe?
Mbowe ni gaidi anastahili kunyongwa au kifungo Cha maishaParuaneneni kivyenu vyenu huko. Mmebaki kumuonea braza Mbowe na wengine. Kufeni kabisa. Mbowe mnamsweka ndani kisa mnaogopa katiba mpya ikipatikana ubadhirifu kama huu mnaufanya hamtapona.
🖕🏿Mbowe ni gaidi anastahili kunyongwa au kifungo Cha maisha
Na yale yanayoshusha makontaina ya tani 40 mikoani, yale yanayo inua concrete chasis za madaraja ya SGR, kweli Makatani anatuingiza chaka,Aisee kwa Waziri huyo tumepigwa!
Leo bungeni amedai Tanzania nzima eti hakuna winchi lenye uwezo wa kubeba milango yenye uzito wa tani 26 ili kuziba milango iliyokuwa inachepusha maji ili ujenzi wa bwawa uendelee.
Kadai winchi hilo hadi litoke nje ya Nchi 😂.
Hivi huyo jamaa anatuona hamnazo eti?!
Mawinchi mamia yaliyojaa Tanzania hii ambayo hata Waturuki wa SGR wanayo kibao ajabu leo tunadanganywa eti Nchi nzima hayapo?!
Ni kama mwingine alivyosema SGR itaanza kufanya kazi kabla ya December 2021Mwezi March/April mwaka huu Kalemani alitwambia ujazaji wa maji kwenye bwawa hilo ungeanza mwezi november mwaka huu, sasa kulikoni?