Waziri Makamba, nakushauri kuwa 'strategic thinker' suala la mafuta. Fufueni TIPER

Waziri Makamba, nakushauri kuwa 'strategic thinker' suala la mafuta. Fufueni TIPER

Jidu La Mabambasi

JF-Expert Member
Joined
Oct 20, 2014
Posts
16,419
Reaction score
26,594
Nimeona luninga Waziri Makamba akitamba kuwa Tanzania itafanywa kuwa kituo kikubwa cha usambazaji mafuta.

Mimi nikifikiri serikali itafufua kiwanda cha refinery cha TIPER, kumbe sivyo.

TIPER, Tanzania Italian Petroleum Refinery, ilianzishwa na Mwalimu Nyerere kama strategic plant around 1965.

Serikali ya Awamu ya pili chini ya Rais Mwinyi ilifanya KOSA KUBWA kuua kiwanda cha TIPER.

Katika kiwanda hiki nchi ililuwa ikiagiza tu crude oil, a one off operation.

Katika crude oil baada ya ku refine na kudistill hiyo crude oil, utapata mafuta aina zote hadi lami na mafuta ya vaseline.

Kilichotokea wakati wa Mwinyi kwa hakika ni cha kulaumiwa maana haieleweki kwanini tuagize finished product badala ya kuagiza malighafi ambayo itatoa mafuta aina zote na bidhaa nyingi za ziada.

Lami iliyokuwa inapatikana kama by product sasa hivi wanafaidishwa wafanyabiashara wakubwa kwa gharama za usafiri.

J Makamba, be strategic.
 
Aina za crude oil zinatofautiana. Refinery huwa zinajengwa kwa kulenga aina ya crude oil, huwezi kwa mfano ukajenga refinery ya kusafisha crude oil ya Urusi ukaitumia kusafisha crude oil ya Saudi Arabia.

Na kuigeza refinery kusafisha crude nyingine ni mabilioni ya dola. Siyo kitu kidogo.
 
Nimeona luninga Waziri Makamba akitamba kuwa Tanzania itafanywa kuwa kituo kikubwa cha usambazaji mafuta.

Mimi nikifikiri serikali itafufua kiwanda cha refinery cha TIPER, kumbe sivyo.
TIPER, Tanzania Italian Petroleum Refinery, ilianzishwa na Mwalimu Nyerere kama strategic plant around 1965.

Serikali ya Awamu ya pili chini ya Rais Mwinyi ilifanya KOSA KUBWA kuua kiwanda cha TIPER.

Katika kiwanda hiki nchi ililuwa ikiagiza tu crude oil , a one off operation.
Katika crude oil baada ya ku refine na kudistill hiyo crude oil, utapata mafuta aina zote hadi lami na mafuta ya vaseline.

Kilichotokea wakati wa Mwinyi kwa hakika ni cha kulaumiwa maana haieleweki kwanini tuagize finished product badala ya kuagiza malighafi ambayo itatoa mafuta aina zote na bidhaa nyingi za ziada.

Lami iliyokuwa inapatikana kama by product sasa hivi wanafaidishwa wafanyabiashara wakubwa kwa gharama za usafiri.

J Makamba, be strategic.
Watu waliuwa kile kiwanda ili wapige pesa hahha makamba Jr hana Uwezo wa kukirudisha

USSR
 
Nimeona luninga Waziri Makamba akitamba kuwa Tanzania itafanywa kuwa kituo kikubwa cha usambazaji mafuta.

Mimi nikifikiri serikali itafufua kiwanda cha refinery cha TIPER, kumbe sivyo.
TIPER, Tanzania Italian Petroleum Refinery, ilianzishwa na Mwalimu Nyerere kama strategic plant around 1965.

Serikali ya Awamu ya pili chini ya Rais Mwinyi ilifanya KOSA KUBWA kuua kiwanda cha TIPER.

Katika kiwanda hiki nchi ililuwa ikiagiza tu crude oil , a one off operation.
Katika crude oil baada ya ku refine na kudistill hiyo crude oil, utapata mafuta aina zote hadi lami na mafuta ya vaseline.

Kilichotokea wakati wa Mwinyi kwa hakika ni cha kulaumiwa maana haieleweki kwanini tuagize finished product badala ya kuagiza malighafi ambayo itatoa mafuta aina zote na bidhaa nyingi za ziada.

Lami iliyokuwa inapatikana kama by product sasa hivi wanafaidishwa wafanyabiashara wakubwa kwa gharama za usafiri.

J Makamba, be strategic.
Wewe na Makamba ni takataka tu
 
Nimeona luninga Waziri Makamba akitamba kuwa Tanzania itafanywa kuwa kituo kikubwa cha usambazaji mafuta.

Mimi nikifikiri serikali itafufua kiwanda cha refinery cha TIPER, kumbe sivyo.
TIPER, Tanzania Italian Petroleum Refinery, ilianzishwa na Mwalimu Nyerere kama strategic plant around 1965.

Serikali ya Awamu ya pili chini ya Rais Mwinyi ilifanya KOSA KUBWA kuua kiwanda cha TIPER.

Katika kiwanda hiki nchi ililuwa ikiagiza tu crude oil , a one off operation.
Katika crude oil baada ya ku refine na kudistill hiyo crude oil, utapata mafuta aina zote hadi lami na mafuta ya vaseline.

Kilichotokea wakati wa Mwinyi kwa hakika ni cha kulaumiwa maana haieleweki kwanini tuagize finished product badala ya kuagiza malighafi ambayo itatoa mafuta aina zote na bidhaa nyingi za ziada.

Lami iliyokuwa inapatikana kama by product sasa hivi wanafaidishwa wafanyabiashara wakubwa kwa gharama za usafiri.

J Makamba, be strategic.
Huenda wazo lako ni sawa ila lazima tujue kwanini mwinyi aliamua kukiuwa kiwanda je unafikri huyu makamba na mama samia wanaweza kukifufua kikawa na ufanisi?

Ccm ni ile ile haijawahi kuwaga na maajabu wanaweza kukifufua then kikafa maana ccm ni ile ile haijawahi kubadilika kisera na kimtazamo.

Leo makamba atakifufua kesho Mwigulu akakiuwa
 
Huenda wazo lako ni sawa ila lazima tujue kwanini mwinyi aliamua kukiuwa kiwanda je unafikri huyu makamba na mama samia wanaweza kukifufua kikawa na ufanisi?

Ccm ni ile ile haijawahi kuwaga na maajabu wanaweza kukifufua then kikafa maana ccm ni ile ile haijawahi kubadilika kisera na kimtazamo.

Leo makamba atakifufua kesho Mwigulu akakiuwa
Unachosema ni kweli.

Hadi kesho hatujui kwa nini Mwinyi alikiua kiwanda cha TIPER.
 
Aina za crude oil zinatofautiana. Refinery huwa zinajengwa kwa kulenga aina ya crude oil, huwezi kwa mfano ukajenga refinery ya kusafisha crude oil ya Urusi ukaitumia kusafisha crude oil ya Saudi Arabia. Na kuigeza refinery kusafisha crude nyingine ni mabilioni ya dola. Siyo kitu kidogo.
Hii ni argument ya mtu aliyeshindwa kufikiri.

Hivyo inabidi asaidiwe all options.
 
Nimeona luninga Waziri Makamba akitamba kuwa Tanzania itafanywa kuwa kituo kikubwa cha usambazaji mafuta.

Mimi nikifikiri serikali itafufua kiwanda cha refinery cha TIPER, kumbe sivyo.
TIPER, Tanzania Italian Petroleum Refinery, ilianzishwa na Mwalimu Nyerere kama strategic plant around 1965.

Serikali ya Awamu ya pili chini ya Rais Mwinyi ilifanya KOSA KUBWA kuua kiwanda cha TIPER.

Katika kiwanda hiki nchi ililuwa ikiagiza tu crude oil , a one off operation.
Katika crude oil baada ya ku refine na kudistill hiyo crude oil, utapata mafuta aina zote hadi lami na mafuta ya vaseline.

Kilichotokea wakati wa Mwinyi kwa hakika ni cha kulaumiwa maana haieleweki kwanini tuagize finished product badala ya kuagiza malighafi ambayo itatoa mafuta aina zote na bidhaa nyingi za ziada.

Lami iliyokuwa inapatikana kama by product sasa hivi wanafaidishwa wafanyabiashara wakubwa kwa gharama za usafiri.

J Makamba, be strategic.
Ikifufuliwa ...nitafute mkuu ... Mwaka wowote ...nitafute .... Imetoka hivyo Mzee ....
 
Nimeona luninga Waziri Makamba akitamba kuwa Tanzania itafanywa kuwa kituo kikubwa cha usambazaji mafuta.

Mimi nikifikiri serikali itafufua kiwanda cha refinery cha TIPER, kumbe sivyo.
TIPER, Tanzania Italian Petroleum Refinery, ilianzishwa na Mwalimu Nyerere kama strategic plant around 1965.

Serikali ya Awamu ya pili chini ya Rais Mwinyi ilifanya KOSA KUBWA kuua kiwanda cha TIPER.

Katika kiwanda hiki nchi ililuwa ikiagiza tu crude oil , a one off operation.
Katika crude oil baada ya ku refine na kudistill hiyo crude oil, utapata mafuta aina zote hadi lami na mafuta ya vaseline.

Kilichotokea wakati wa Mwinyi kwa hakika ni cha kulaumiwa maana haieleweki kwanini tuagize finished product badala ya kuagiza malighafi ambayo itatoa mafuta aina zote na bidhaa nyingi za ziada.

Lami iliyokuwa inapatikana kama by product sasa hivi wanafaidishwa wafanyabiashara wakubwa kwa gharama za usafiri.

J Makamba, be strategic.
Wakati wa mzee Mwinyi ndipo upigaji mkubwa ulianza ambao JK alikuja kuubariki na kuufanya ndio njia hasa ya kuongoza nchi, January ni kijana wa JK hana uwezo wa kufikiri kizalendo zaidi ya upigaji.

Nchi hii kuendelea kutegemea akili za viongozi wa CCM kwa sasa ni kujichimbia kaburi..

Mwl Nyerere aliwahi kuwaambia kina Mwinyi kuwa mambo ya maana nikiyoyafanya mmeyaua mnaendeleza yale niliyoyafanya hovyo.

Mzee Mwinyi hadi leo anaendelea kujimilikisha mali zilizokuwa za umma nchi hii....huyu ndie muasisi wa ufisadi mkubwa nchini!
 
Back
Top Bottom