Waziri Makamba, nakushauri kuwa 'strategic thinker' suala la mafuta. Fufueni TIPER

Waziri Makamba, nakushauri kuwa 'strategic thinker' suala la mafuta. Fufueni TIPER

Nimeona luninga Waziri Makamba akitamba kuwa Tanzania itafanywa kuwa kituo kikubwa cha usambazaji mafuta.

Mimi nikifikiri serikali itafufua kiwanda cha refinery cha TIPER, kumbe sivyo.
TIPER, Tanzania Italian Petroleum Refinery, ilianzishwa na Mwalimu Nyerere kama strategic plant around 1965.

Serikali ya Awamu ya pili chini ya Rais Mwinyi ilifanya KOSA KUBWA kuua kiwanda cha TIPER.

Katika kiwanda hiki nchi ililuwa ikiagiza tu crude oil, a one off operation.
Katika crude oil baada ya ku refine na kudistill hiyo crude oil, utapata mafuta aina zote hadi lami na mafuta ya vaseline.

J Makamba, be strategic.
Mkuu Jidu La Mabambasi kwanza naunga mkono Tanzania kuwa na a big oil refinery, eneo ilipokuwepo Tipper but not necessarily Tipper ndio ifufuliwe, zile mashine za Tipper kwa sasa ni obsolete, zifunguliwe zipelekwe kwenye chuma chakavu.

January Makamba ni very strategic, msikilize hapa akizungumzia hilo



Kwa vile baadhi ya nchi majirani zetu, zinaagiza mafuta nje ya nchi kupitia Dar Port, J. Makamba is very strategic and very right, tukijenga huge oil storage tanks, sisi ndio tukafanya bulk procurement, hizo nchi badala ya kuagiza mafuta kutoka huko, wataagiza kutoka kwetu, hivyo Tanzania kuwa an oil hub.

Kama ni kujenga refinery, tuijenge Chongoleani, Tanga, tununue mafuta ya Uganda, tuachane na kuagiza mafuta ya Waarabu.

Kumhusu January Makamba, karibu pande hizi


P
 
Tipper sio ifufuliwe tu,ila inabidi ifungwe mitambo mipya na mikubwa ya kukidhi mahitaji yetu na labda majirani.

Ile Tipper ya zamani ilikuwa na Refinery ndogo mno na mitambo ilikuwa imechakaa mno,kwa sasa ni scrap and outdated.


Pili jambo la msingi ni kujenga storage tanks zenye ujazo mkubwa wa kuhifadhi mafuta ghafi na mafuta yaliosafishwa, kulingana na matumizi ya nchi yetu angalau miezi 6.

Mwenye storage tank capacities kubwa ndio mfalme wa leo kwenye medani ya mafuta.

Hivi vikampuni vya mafuta vilivyoshahimiri nchi nzima hawana storage tanks kubwa,inabidi zijengwe pia Depots za mafuta kanda ya kaskazini,Kanda ya Kusini,Kanda ya magharibi na Kanda ya Ziwa.

Biashara ya mafuta ni yenye ushindani na yenye umakini katika kuweka maamuzi yaliyo salama kwa mazingira,salama kwa mitambo na mazao yake lakini zaidi salama kwa watu.

Tusije kuwekeza pesa zote hizo tukawapa wajinga na walafi watuendeshe Tipper mpya.
 
Mkuu Jidu La Mabambasi kwanza naunga mkono Tanzania kuwa na a big oil refinery, eneo ilipokuwepo Tipper but not necessarily Tipper ndio ifufuliwe, zile mashine za Tipper kwa sasa ni obsolete, zifunguliwe zipelekwe kwenye chuma chakavu.

January Makamba ni very strategic, msikilize hapa akizungumzia hilo



Kwa vile baadhi ya nchi majirani zetu, zinaagiza mafuta nje ya nchi kupitia Dar Port, J. Makamba is very strategic and very right, tukijenga huge oil storage tanks, sisi ndio tukafanya bulk procurement, hizo nchi badala ya kuagiza mafuta kutoka huko, wataagiza kutoka kwetu, hivyo Tanzania kuwa an oil hub.

Kama ni kujenga refinery, tuijenge Chongoleani, Tanga, tununue mafuta ya Uganda, tuachane na kuagiza mafuta ya Waarabu.

Kumhusu January Makamba, karibu pande hizi


P

Nakubaliana kabisa na hili wazo.

Sema hatupati feedback in time, na katika hiyo clip hajaeleza matarajio ya nchi kujenga refinery kwa mafuta ghafi toka Uganda!
 
Ni kweli usemalo lakini Makamba huo uwezo hana ,.Tanzania wenye uwezo wa kuleta mabadiliko chanya wapo wengi sana lakini nafasi hawana pia kumbuka viongozi wengi wakisiasa hawapo kwa ajili ya kuifadisha Nchi zaidi ya 10%
Mbona mnamwandama Januari Makamba? Hili siyo la Makamba as a person, na kama waziri tu

Haya ni maswala ya KISERA na KIMIPANGO. Nani ana - own sera na mipango ya nchi hii?

Ni CCM ndiyo wanaongoza serikali. Makamba ha - own sera. Makamba ni element ndogo tu. Makamba ni waziri tu anayesimamia kilicho tayari kwenye mipango na sera zao. Hawezi kuja na lake.

Wenye sera za nchi hii ziwe mbaya au nzuri ni CCM kwa ujumla wao. Hawa kwa ujumla wao ndio wako responsible na kila kitu kitokeacho ktk nchi hii

Labda umwambie Rais. Labda umlaumu Rais. Maana kwa katiba yetu hii ya 1977, Rais ni mfalme. Uamuzi wake mmoja tu uko juu ya sera na katiba. Huyo ndiye the right person kum - attack.

KUMBUKA: Kwa mujibu wa katiba ya JMT ya 1977, Rais halazimiki kufuata ushauri wa mtu yeyote hata wa Makamba!!

So, it's a big mistake to point fingers to Mr Makamba and blame him!
Jidu La Mabambasi
 
Ukikosa maadili unakosa vyote huyo jamaa hata angepewa nn angeshindwa tu.

Yule jamaa aliemkata mzee kibao akampe vya nyongeza😤😤
 
Mbona mnamwandama Januari Makamba? Hili siyo la Makamba as a person, na kama waziri tu

Haya ni maswala ya KISERA na KIMIPANGO. Nani ana - own sera na mipango ya nchi hii?

Ni CCM ndiyo wanaongoza serikali. Makamba ha - own sera. Makamba ni element ndogo tu. Makamba ni waziri tu anayesimamia kilicho tayari kwenye mipango na sera zao. Hawezi kuja na lake.

Wenye sera za nchi hii ziwe mbaya au nzuri ni CCM kwa ujumla wao. Hawa kwa ujumla wao ndio wako responsible na kila kitu kitokeacho ktk nchi hii

Labda umwambie Rais. Labda umlaumu Rais. Maana kwa katiba yetu hii ya 1977, Rais ni mfalme. Uamuzi wake mmoja tu uko juu ya sera na katiba. Huyo ndiye the right person kum - attack.

KUMBUKA: Kwa mujibu wa katiba ya JMT ya 1977, Rais halazimiki kufuata ushauri wa mtu yeyote hata wa Makamba!!

So, it's a big mistake to point fingers to Mr Makamba and blame him!
Jidu La Mabambasi
Mimi simnyooshei kidole J Makamba, namkumbusha tu kutazama the bigger strategic picture.

Siyo petty retail fuel/oil trade.

Inaelekea hamjui kuwa Waziri ni mdau mkubwa sana kuwezesha sera endelevu na zinazoweza kuipaisha nchi.

Hapa ni uthubutu wa ushawishi, na inawezekana.

Turudie kujenga kiwanda kikubwa cha refinery, kitu ambacho hata Baba wa Taifa alikiona karibia 60yrs ago, kwa nini viongozi wa leo hawalioni hilo?
 
Nimeona luninga Waziri Makamba akitamba kuwa Tanzania itafanywa kuwa kituo kikubwa cha usambazaji mafuta.

Mimi nikifikiri serikali itafufua kiwanda cha refinery cha TIPER, kumbe sivyo.
TIPER, Tanzania Italian Petroleum Refinery, ilianzishwa na Mwalimu Nyerere kama strategic plant around 1965.

Serikali ya Awamu ya pili chini ya Rais Mwinyi ilifanya KOSA KUBWA kuua kiwanda cha TIPER.

Katika kiwanda hiki nchi ililuwa ikiagiza tu crude oil, a one off operation.
Katika crude oil baada ya ku refine na kudistill hiyo crude oil, utapata mafuta aina zote hadi lami na mafuta ya vaseline.

Kilichotokea wakati wa Mwinyi kwa hakika ni cha kulaumiwa maana haieleweki kwanini tuagize finished product badala ya kuagiza malighafi ambayo itatoa mafuta aina zote na bidhaa nyingi za ziada.

Lami iliyokuwa inapatikana kama by product sasa hivi wanafaidishwa wafanyabiashara wakubwa kwa gharama za usafiri.

J Makamba, be strategic.
Huyu makamba wengi hawataki kumuelewa na kama wanamuelewa ni kama wanamuacha aendelee kuvuna shamba la bibi tozo.

Anachofanya yeye ni kutumia uwaziri wake kutafuta deal zenye uwezekano wa 10%.

Sasa hivi makamba ana cheo maalumu cha Marketing Minister wa wizara ya nishati.

Ukimuangalia anapoongea utamsoma body language yake ni ya kipigaji tupu.

Huyu ni sehemu maalumu ya mkakati wa msoga.
 
Wakati wa mzee Mwinyi ndipo upigaji mkubwa ulianza ambao JK alikuja kuubariki na kuufanya ndio njia hasa ya kuongoza nchi, January ni kijana wa JK hana uwezo wa kufikiri kizalendo zaidi ya upigaji.

Nchi hii kuendelea kutegemea akili za viongozi wa CCM kwa sasa ni kujichimbia kaburi..

Mwl Nyerere aliwahi kuwaambia kina Mwinyi kuwa mambo ya maana nikiyoyafanya mmeyaua mnaendeleza yale niliyoyafanya hovyo. Mzee Mwinyi hadi leo anaendelea kujimilikisha mali zilizokuwa za umma nchi hii....huyu ndie muasisi wa ufisadi mkubwa nchini!
Kwa kweli tunashukuru Mwinyi kwa kufungua milango ya uchumi.

Lakini hakuwa na uwezo wa kuona mbali, tunashukuru vile vile bado yupo hai kuona matokeo ya madudu aliyofanya.

Viongozi wengine wajifunze katika hili.
 
Nakubaliana kabisa na hili wazo.
Sema hatupati feedback in time, na katika hiyo clip hajaeleza matarajio ya nchi kujenga refinery kwa mafuta ghafi toka Uganda!
Hajasema, ila ni kuunga mkono hoja yako, kwenye baadhi ya mipango yetu ya maendeleo, we are not strategic, tunakimbilia kununua midege mikubwa kwa cash, bila business, midege imefika sasa ndio tunatengeneza business plan!.

Tunakimbilia kujenga SGR, huku hatuna port ya kuifeed SGR ika operate kwa faida !.

Sasa tuna bomba la mafuta la Uganda, ni ajabu sana kama mafuta ya Uganda, yatapita kwetu, halafu sisi tukaendelea kufuata mafuta Arabuni!.

Hili nimelizungumza.
na asante kuchangia.
P
 
Hajasema, ila ni kuunga mkono hoja yako, kwenye baadhi ya mipango yetu ya maendeleo, we are not strategic, tunakimbilia kununua midege mikubwa kwa cash, bila business, midege imefika sasa ndio tunatengeneza business plan!.
Tunakimbilia kujenga SGR, huku hatuna port ya kuifeed SGR ika operate kwa faida !. Sasa tuna bomba la mafuta la Uganda, ni ajabu sana kama mafuta ya Uganda, yatapita kwetu, halafu sisi tukaendelea kufuata mafuta Arabuni!.
Hili nimelizungumza.
na asante kuchangia.
P
Asante sana Paschal kwa hoja nzuri sana.
Barikiwa sana mdau.
 
Kila zama na nyakati zake.

Hii ya kusafirisha mafuta ghafi ni expensive kuliko sasa hivi.

Ukinunua hayo mafuta upeleke kwenye refineries, utengeneze mifumo nk ni gharama kubwa mno kwa sasa na isiyo na tija.
 
Nimeona luninga Waziri Makamba akitamba kuwa Tanzania itafanywa kuwa kituo kikubwa cha usambazaji mafuta.

Mimi nikifikiri serikali itafufua kiwanda cha refinery cha TIPER, kumbe sivyo.
TIPER, Tanzania Italian Petroleum Refinery, ilianzishwa na Mwalimu Nyerere kama strategic plant around 1965.

Serikali ya Awamu ya pili chini ya Rais Mwinyi ilifanya KOSA KUBWA kuua kiwanda cha TIPER.

Katika kiwanda hiki nchi ililuwa ikiagiza tu crude oil, a one off operation.
Katika crude oil baada ya ku refine na kudistill hiyo crude oil, utapata mafuta aina zote hadi lami na mafuta ya vaseline.

Kilichotokea wakati wa Mwinyi kwa hakika ni cha kulaumiwa maana haieleweki kwanini tuagize finished product badala ya kuagiza malighafi ambayo itatoa mafuta aina zote na bidhaa nyingi za ziada.

Lami iliyokuwa inapatikana kama by product sasa hivi wanafaidishwa wafanyabiashara wakubwa kwa gharama za usafiri.

J Makamba, be strategic.
Hujuu unachoongea, TIPER iliuzwa zamani sana na serikali Ina shares kidogo na majority ni TOTAL Sasa hapo unahitaji kuelewa nani anasababisha TIPER isifanye kazi kwa ufasaha.

In short shares za serikali zilikuwa zinahang tu wajanja wamekula sana pale ndipo ikaundwa kikosi kazi ambapo shares za serikali kwa sasa zinasimamiwa na TPA.

So labda Kama TOTAL wataona inafaa watapiga kura yao kununua hayo mafuta na kuyaweka tu yakisubiri wakati yatakapokosekana ndio wauze.
 
Hujuu unachoongea, TIPER iliuzwa zamani sana na serikali Ina shares kidogo na majority ni TOTAL Sasa hapo unahitaji kuelewa nani anasababisha TIPER isifanye kazi kwa ufasaha.

In short shares za serikali zilikuwa zinahang tu wajanja wamekula sana pale ndipo ikaundwa kikosi kazi ambapo shares za serikali kwa sasa zinasimamiwa na TPA.

So labda Kama TOTAL wataona inafaa watapiga kura yao kununua hayo mafuta na kuyaweka tu yakisubiri wakati yatakapokosekana ndio wauze.
Mku wewe una akili za kukariri lakini thinking capacity ni very low.

Elewa kwanza maudhui ya mada na urudi na mawazo endelevu.

Ni ufinyu wa mawazo kutegemea TOTAL, mfanya biashara ya mafuta akujengee refinery, atakula wapi?
 
Kila zama na nyakati zake. Hii ya kusafirisha mafuta ghafi ni expensive kuliko sasa hivi.
Ukinunua hayo mafuta upeleke kwenye refineries, utengeneze mifumo nk ni gharama kubwa mno kwa sasa na isiyo na tija.
Kwa mchanganuo upi?

Uganda inajenga pipeline ya 1,400km kuja Tanga halafu wewe unaongea kitu gani!
 
Mku wewe una akili za kukariri lakini thinking capacity ni very low.
Elewa kwanza maudhui ya mada na urudi na mawazo endelevu.
Ni ufinyu wa mawazo kutegemea TOTAL, mfanya biashara ya mafuta akujengee refinery, atakula wapi?
Pamoja umenitukana nadhani ni sababu ya hayo uliyoyasema dhidi yangu kumbe ni wewe ndio unajisema .

Ungeelewa nilichomaanisha wala usingeandika hayo maana I'm saying what you are saying labda sababu sikuandika kwa lugha nyepesi Kama yako.

Anyway nimekusamehe sababu ya ujuaji wako lakini mie nilikuwa part ya negotiations na hayo unayosema ndio ugumu uliopo labda utaelewa niliandika hivi.
 
Kwa kweli tunashukuru Mwinyi kwa kufungua milango ya uchumi.
Lakini hakuwa na uwezo wa kuona mbali, tunashukuru vile vile bado yupo hai kuona matokeo ya madudu aliyofanya.
Viongozi wengine wajifunze katika hili.
Alikuwa na upeo mdogo mno
 
Nimeona luninga Waziri Makamba akitamba kuwa Tanzania itafanywa kuwa kituo kikubwa cha usambazaji mafuta.

Mimi nikifikiri serikali itafufua kiwanda cha refinery cha TIPER, kumbe sivyo.
TIPER, Tanzania Italian Petroleum Refinery, ilianzishwa na Mwalimu Nyerere kama strategic plant around 1965.

Serikali ya Awamu ya pili chini ya Rais Mwinyi ilifanya KOSA KUBWA kuua kiwanda cha TIPER.

Katika kiwanda hiki nchi ililuwa ikiagiza tu crude oil, a one off operation.
Katika crude oil baada ya ku refine na kudistill hiyo crude oil, utapata mafuta aina zote hadi lami na mafuta ya vaseline.

Kilichotokea wakati wa Mwinyi kwa hakika ni cha kulaumiwa maana haieleweki kwanini tuagize finished product badala ya kuagiza malighafi ambayo itatoa mafuta aina zote na bidhaa nyingi za ziada.

Lami iliyokuwa inapatikana kama by product sasa hivi wanafaidishwa wafanyabiashara wakubwa kwa gharama za usafiri.

J Makamba, be strategic.
 
Nimeona luninga Waziri Makamba akitamba kuwa Tanzania itafanywa kuwa kituo kikubwa cha usambazaji mafuta.

Mimi nikifikiri serikali itafufua kiwanda cha refinery cha TIPER, kumbe sivyo.
TIPER, Tanzania Italian Petroleum Refinery, ilianzishwa na Mwalimu Nyerere kama strategic plant around 1965.

Serikali ya Awamu ya pili chini ya Rais Mwinyi ilifanya KOSA KUBWA kuua kiwanda cha TIPER.

Katika kiwanda hiki nchi ililuwa ikiagiza tu crude oil, a one off operation.
Katika crude oil baada ya ku refine na kudistill hiyo crude oil, utapata mafuta aina zote hadi lami na mafuta ya vaseline.

Kilichotokea wakati wa Mwinyi kwa hakika ni cha kulaumiwa maana haieleweki kwanini tuagize finished product badala ya kuagiza malighafi ambayo itatoa mafuta aina zote na bidhaa nyingi za ziada.

Lami iliyokuwa inapatikana kama by product sasa hivi wanafaidishwa wafanyabiashara wakubwa kwa gharama za usafiri.

J Makamba, be strategic.
Umeongea bonge la point.

Tatizo hawa viongozi wanaotuongoza sijajua wanatoa maamuzi wapi au sijui wanafikiria tanzania ipi hawana uzalendo kabisa yaani wanawanufaisha wafanyabiashara kwa kupewa rushwa.
 
Mimi simnyooshei kidole J Makamba, namkumbusha tu kutazama the bigger strategic picture.
Siyo petty retail fuel/oil trade.

Inaelekea hamjui kuwa Waziri ni mdau mkubwa sana kuwezesha sera endelevu na zinazoweza kuipaisha nchi.
Hapa ni uthubutu wa ushawishi, na inawezekana.
Turudie kujenga kiwanda kikubwa cha refinery, kitu ambacho hata Baba wa Taifa alikiona karibia 60yrs ago, kwa nini viongozi wa leo hawalioni hilo?
I agree with you

I too agree with you juu ya umuhimu wa kukifufua kiwanda hicho.

Na si kiwanda cha Petroleum Refinery [TIPPER] tu bali vipo viwanda vingi tu vya kimkakati vimelala mfano General Tyre [GT], viwanda vya kusindika mazao katika maeneo mbalimbali km mkonge, Cotton Ginnery nk

Narudia tena, shida si Makamba. Tatizo ni la KISERA na mfumo mzima wa UTAWALA

Mathalani, awamu ya tano chini ya hayati John P. Magufuli ilipoingia ilikuja na sera ya "Tanzania ya Magufuli ya viwanda". Ni sera ambayo mtu mwenye cheo cha "Urais" alikuja nayo mfukoni mwake. Haikuwa strategically planned. Pesa nyingi za umma zikatapanywa huko. Leo iko wapi? Kwa miaka 6 yote ya sera hiyo wanaweza wanaweza kuonyesha achievement yoyote?

Kwa sababu kungekuwa mfumo imara na mzuri wa utawala, basi sera ile ingekuwa endelevu. Si hivyo tu bali from the beginning ingekuwa well planned, ingekuwa inclusive na ingeonyesha tunaanza wapi na tutaelekea wapi

Ingekuwa vile, ni wazi pesa zile zilizotapanywa ovyo kwa miaka 6 ya Magufuli kwa jina la kujenga "Tanzania ya Viwanda", zingeelekezwa kufufua au kuanzisha viwanda 10 tu vya kimkakati ikiwemo TIPPER na vingine, obviously leo tusingekuwa tunanyoshea vidole mtu kama Makamba kuwa ameshindwa, hawezi, amekosa influence na ushawishi serikalini kama waziri

Ndugu Jidu La Mabambasi kwa mfumo wa utawala wa nchi yetu na kwa ku - refer scenario hiyo niliyoieleza hapo juu, hata uwe na mawazo na ushawishi mzuri wa viwango vyote, huwezi kuleta impact yoyote kwa sababu RAIS HALAZIMIKI KUKUBALI au KUFUATA USHAURI WA MTU YEYOTE ikiwemo KATIBA!

Nakuhakikishia jambo moja, kubwa, hata wewe pamoja na mawazo yako mazuri haya, ukipewa leo nafasi ya waziri wa nishati ndg Makamba au ya waziri wa viwanda hautaweza kufanya lolote na pengine ukawa wa hovyo zaidi kuliko hata Makamba!!, WHY?

Kwa sababu mfumo hau - accommodate mawazo mbadala nje ya yale ya RAIS MFALME.!!

cc Super Don unasema hujui mawazo ya viongozi yanatoka wapi. Jibu ni rahisi tu. Yako confined ndani ya mfumo mbovu wa kiutawala wa nchi yetu kisiasa na kiuchumi!

Kiongozi hawezi kuu - shape mfumo ili uwe vile yeye atakavyo bali mfumo huwa - shape na kuwapa dierctives viongozi ili waendane na mfumo unavyowataka wawe

So, the better the political & economic systems of the country are, the better the leadership and outcomes of that systems are..

BUT

The vice versa is, the worst the political & economic systems of the country are, the worst the leadership and its outcomes are..
 
Back
Top Bottom