Gobole
JF-Expert Member
- Dec 29, 2013
- 1,806
- 4,670
...kuna eneo kigamboni walitengwa wa Zambia kwa ajili ya kuweka storage yao ya mafuta, JPM baada ya kuskia Zambia wanataka kujenga Storage tanks zako na ss tunanang'aa macho akalimega lile eneo ili na sisi tuwe na storage yetu pale...Mkuu Jidu La Mabambasi kwanza naunga mkono Tanzania kuwa na a big oil refinery, eneo ilipokuwepo Tipper but not necessarily Tipper ndio ifufuliwe, zile mashine za Tipper kwa sasa ni obsolete, zifunguliwe zipelekwe kwenye chuma chakavu.
January Makamba ni very strategic, msikilize hapa akizungumzia hilo
Kwa vile baadhi ya nchi majirani zetu, zinaagiza mafuta nje ya nchi kupitia Dar Port, J. Makamba is very strategic and very right, tukijenga huge oil storage tanks, sisi ndio tukafanya bulk procurement, hizo nchi badala ya kuagiza mafuta kutoka huko, wataagiza kutoka kwetu, hivyo Tanzania kuwa an oil hub.
Kama ni kujenga refinery, tuijenge Chongoleani, Tanga, tununue mafuta ya Uganda, tuachane na kuagiza mafuta ya Waarabu.
Kumhusu January Makamba, karibu pande hizi
January Makamba Top The List of Most Interactive Politician in Tanzania!
Wanabodi, Leo nimepata fursa ya kuangalia Top Ten ya Most Interactive Politicians in Social Media. Mhe. January Makamba ndio amekwaa No. 1!. Hii ni kwa mujibu wa makala ya Top Ten iliyotangazwa na Clouds TV. Wengine na positions zao ni kama ifuatavyo... 1. January Makamba 2. Zitto Zuberi...www.jamiiforums.com
January Makamba, very intelligent, humble, down-to-earth! Can make the best President
Watch Clouds 360 Degrees Live , January Makamba yuko Live. January Makamba, akiongea, anaonekana yuko very intelligent upstairs kwa sababu anaonyesha ana think kabla ya kuongea. Kuna baadhi ya viongozi wetu, I doubts kama wana think kabla hawajaongea ndio maana kiwango cha upayukaji kwa awamu...www.jamiiforums.com
P
Zambia walishapata mkandarasi wa kujenga though mchakato umesimamishwa...on our side tuliua kwenye mchakato wa awali bt hapa katikati ukafa a natural death hasa baada ya bi mkubwa kuuponda huo mradi kwenye ufunguzi wa Gati za Bandari...
Am not sure Makamba ana come from which angle...
JPM hakua Mwanasiasa mzuri bt he had visions...From Reli, Bandari ya Tanga down to Mtwara to those Fuel storage facilities u can see this guy kuna kitu alikua anataka ku achieve...
With January is doubt....he is not a doer, ni mwanasiasa, maneno maneno mengiiii, bt utendaji na ku deliver ni almost hakuna kitu