Logikos
JF-Expert Member
- Feb 26, 2014
- 15,460
- 24,233
Ili andiko lako liwe zuri zaidi naomba kama unaweza ukatafuta na haya:-
Cost ya kufanya refinery (na hapa usiweke hata capital cost tunaweza kujibana na kufanya investment) weka operation cost n.k.
Difference ya kununua already refined na kurefine hapa ni kiasi gani...
Hizo addictives tutakazopata je zitaoffset gharama ya refinery ?
Je kwa nchi yenye gas pia tunaonaje kupunguza matumizi ya petroleum (ambayo inabidi tuagize) na kutumia Compressed Natural Gas wherever Possible kwenye magari na viwandani kwenda full gas / electricity ?
Tunaonaje kuhusu kumalizia lile Bwawa la Nyerere as soon as possible ili umeme viwandani na majumbani katika kupikia na shughuli zingine usitegemee gesi ?
All in all Kupanga ni Kuchagua and its all about Opportunity Cost
Cost ya kufanya refinery (na hapa usiweke hata capital cost tunaweza kujibana na kufanya investment) weka operation cost n.k.
Difference ya kununua already refined na kurefine hapa ni kiasi gani...
Hizo addictives tutakazopata je zitaoffset gharama ya refinery ?
Je kwa nchi yenye gas pia tunaonaje kupunguza matumizi ya petroleum (ambayo inabidi tuagize) na kutumia Compressed Natural Gas wherever Possible kwenye magari na viwandani kwenda full gas / electricity ?
Tunaonaje kuhusu kumalizia lile Bwawa la Nyerere as soon as possible ili umeme viwandani na majumbani katika kupikia na shughuli zingine usitegemee gesi ?
All in all Kupanga ni Kuchagua and its all about Opportunity Cost