Waziri Makamba, nakushauri kuwa 'strategic thinker' suala la mafuta. Fufueni TIPER

Waziri Makamba, nakushauri kuwa 'strategic thinker' suala la mafuta. Fufueni TIPER

Nimeona luninga Waziri Makamba akitamba kuwa Tanzania itafanywa kuwa kituo kikubwa cha usambazaji mafuta.

Mimi nikifikiri serikali itafufua kiwanda cha refinery cha TIPER, kumbe sivyo.

TIPER, Tanzania Italian Petroleum Refinery, ilianzishwa na Mwalimu Nyerere kama strategic plant around 1965.

Serikali ya Awamu ya pili chini ya Rais Mwinyi ilifanya KOSA KUBWA kuua kiwanda cha TIPER.

Katika kiwanda hiki nchi ililuwa ikiagiza tu crude oil, a one off operation.

Katika crude oil baada ya ku refine na kudistill hiyo crude oil, utapata mafuta aina zote hadi lami na mafuta ya vaseline.

Kilichotokea wakati wa Mwinyi kwa hakika ni cha kulaumiwa maana haieleweki kwanini tuagize finished product badala ya kuagiza malighafi ambayo itatoa mafuta aina zote na bidhaa nyingi za ziada.

Lami iliyokuwa inapatikana kama by product sasa hivi wanafaidishwa wafanyabiashara wakubwa kwa gharama za usafiri.

J Makamba, be strategic.
Ufisadi hautakaa kutuacha salama. Ukiona hivyo wanataka kuanzisha ile project ambayo Mama Samia aliipiga chini, ya kujenga storage facility ya TPA. TIPER kuna tanks zimekaa bila mafuta sababu hakuna anayefanya storage, na serikali ina hisa zake. PUMA pia serikali ina hisa zake na haijawahi kujaa.
Hii project ya TPA ni ya nini sasa? Tujifunze kufahamu wakati ukuta. Haya tunayofanya tutakutana nayo mbele ya safari
 
Wakati wa mzee Mwinyi ndipo upigaji mkubwa ulianza ambao JK alikuja kuubariki na kuufanya ndio njia hasa ya kuongoza nchi, January ni kijana wa JK hana uwezo wa kufikiri kizalendo zaidi ya upigaji.

Nchi hii kuendelea kutegemea akili za viongozi wa CCM kwa sasa ni kujichimbia kaburi..

Mwl Nyerere aliwahi kuwaambia kina Mwinyi kuwa mambo ya maana nikiyoyafanya mmeyaua mnaendeleza yale niliyoyafanya hovyo.

Mzee Mwinyi hadi leo anaendelea kujimilikisha mali zilizokuwa za umma nchi hii....huyu ndie muasisi wa ufisadi mkubwa nchini!
Kila kiongozi ana sura mbili...unamlaumu huyo kwakua umesikia yake, kuna mengine ukisikia utashangaa, wengine pia walikua na yao..
 
Historia nimeisoma vizuri tuu, sema wewe kichwa chako kimejaa mawe unashindwa kuelewa unachokisoma. Reading comprehension yako iko chini.
Sasa kwa ujinga wako nipe reference ya kitabu ulichosoma ambacho kinasema Siasa ya Ujamaa ilikuja kabla ya Azimio la Arusha, 1967.
 
Ujamaa wa Nyerere ulianza kufeli tangu ulivyoanza rasmi na Azimio la Arusha mwaka 1967. Vita ya Kagera inatumika kama kisingizio tuu lakini Ujamaa uliharibu uchumi kabla ya hiyo vita.

Umeshindwa kuonyesha wapi nimesema siasa ya ujamaa ilikuja kabla ya Azimio la Arusha?
Soma sentensi yako in RED, inamaanisha Ujamaa ulikuwepo KABLA ya Azimio la Arusha
 
Nimeona luninga Waziri Makamba akitamba kuwa Tanzania itafanywa kuwa kituo kikubwa cha usambazaji mafuta.

Mimi nikifikiri serikali itafufua kiwanda cha refinery cha TIPER, kumbe sivyo.

TIPER, Tanzania Italian Petroleum Refinery, ilianzishwa na Mwalimu Nyerere kama strategic plant around 1965.

Serikali ya Awamu ya pili chini ya Rais Mwinyi ilifanya KOSA KUBWA kuua kiwanda cha TIPER.

Katika kiwanda hiki nchi ililuwa ikiagiza tu crude oil, a one off operation.

Katika crude oil baada ya ku refine na kudistill hiyo crude oil, utapata mafuta aina zote hadi lami na mafuta ya vaseline.

Kilichotokea wakati wa Mwinyi kwa hakika ni cha kulaumiwa maana haieleweki kwanini tuagize finished product badala ya kuagiza malighafi ambayo itatoa mafuta aina zote na bidhaa nyingi za ziada.

Lami iliyokuwa inapatikana kama by product sasa hivi wanafaidishwa wafanyabiashara wakubwa kwa gharama za usafiri.

J Makamba, be strategic.
TIPER ya "Refinery" ilishakufa kitambo tu, "Refinery" imegeuka kua "Reserve", hata Italian now ni International.
 
TIPER ya "Refinery" ilishakufa kitambo tu, "Refinery" imegeuka kua "Reserve", hata Italian now ni International.
Nafahamu hilo.
Na kinaweza jengwa kipya kabisa kwa teknolojia ya leo, si ya 1965.
 
Back
Top Bottom