Waziri Makamba, nakushauri kuwa 'strategic thinker' suala la mafuta. Fufueni TIPER

Waziri Makamba, nakushauri kuwa 'strategic thinker' suala la mafuta. Fufueni TIPER

wanao miliki makampuni makubwa yanayo import mafuta hawawezi kukubali hili jambo kutokea, watafanya kila wanalo weza kuikwamisha TIPER kufufuka!

tena ukizingatia awamuu hii ni imekamatwa na mafisadi jambo hili linakuwa gumu kidogo kutekelezeka!
 
Nyuzi kama hizi ndio unaona faida ya kuwepo Jamii forums watu wanabishana kwa hoja na facts, inakuwa rahisi hata kufanya follow up binafsi na ku-verify taarifa inayosemwa, safi sana.
 
wanao miliki makampuni makubwa yanayo import mafuta hawawezi kukubali hili jambo kutokea, watafanya kila wanalo weza kuikwamisha TIPER kufufuka!
Marehemu pamoja na ubabe wake lakini hajawahi kuongelea issue za TIPER hata siku moja aliogopa matajiri
 
Heb nitajie jambo moja ambalo January alisha accomplish ambalo unaweza kusema hili lina mdifine, hili ni symbol yake, hili ni Legacy yake ukiacha bao lao la mkono...

The guy is a pure politician, maneno meeengi vitendo sifuri, I bet ndicho watanzania mnapenda kuskia( nice empty words)...nenda jimboni kwake, sometime mtu unawaza hua anapitaje huyu?
He is good at talking, and probably ana kismati km cha JK bt he is just full of promises bt result hazionekani...

Show me his works and i will show you tens of his empty words.

NB: unapo attach video za maneno yake, please attach na video za accomplishment zake, empty words simply doesnt cut with me.

Issue ya bi mkubwa kuponda huo mradi nadhani its better ukaachana na hisia ukaskiliza hotuba yake.

Issue ya kwann alimega hilo swali anajua yy ya watu wa Tazama(You can verify this info na watu wa tazama) maana aligawa eneo lao akawapa Tiper ili nao wajenge tanks zao baada ya kuona project proporsal ya wazambia ..

I have Just confirmed kua Zambia wameshaanza ujenzi wa addional tanks though baada ya raisi mpya kuingia ulisimama kwa muda coz ya rushwa.
Link: Red flag against Dalbit’s highly inflated Tazama tank farm project.
Nahisi Paskali yupo PR Team ya Makamba, but it doesnt wash!
 
Alikuwa na upeo mkubwa Mwinyi Yeye ndio baba wa uchumi.Hii Hali ya kuwa vitu madukani,magari kuingia nchini,biashara kushamiri,majengo makubwa na ya kisasa kujengwa,mafuta ya magari na mitambo kupatikana kwa wingi,mashule binafsi,hospital binafsi,nk ni yeye aliruhusu,ndio akaitwa Mzee wa Ruksa.
Tatizo hujui
 
...
Kuna wengi wanadhani wanamfahamu January, lakini sii kweli, wengi wanamfahamu January kijuu juu tu, kwa kuwasaidia kumfahamu vizuri January, karibu mitaa hii
P
Pakali, huwa si hulka yangu kumwongelea mtu. Lakini kwa January, naomba kutofautiana na wewe kwamba wengi wanamfahamu kijuu juu tu.

Hayati Magufuli alifanya siasa ya vitendo tofauti na wanasiasa wengi, ndani na nje ya nchi. Kwa sababu hiyo wanasiasa ambao bado wanafanya siasa za majukwaani, sasa wamehamia kwenye mitandao ya kijamii, wengi uliosema, wanamhukumu January katika jinsi hiyo (Nawe umedai unamjua kama "most interactive politician").

Hata Shirika lenyewe sasa linaendeshwa kisiasa. TANESCO Special thread: Tupe maoni, maswali, malalamiko na hata ushauri

Kwa mantiki hiyo January amekuwa Serikalini kama Waziri katika Vipindi vya Awamu zilizopita lakini hakuacha alama yoyote yenye maslahi mapana ya kitaifa. Mifano iko mingi alipokuwa Mazingira, chini ya Makamu wa Rais, na sasa Nishati.
 
Aina za crude oil zinatofautiana. Refinery huwa zinajengwa kwa kulenga aina ya crude oil, huwezi kwa mfano ukajenga refinery ya kusafisha crude oil ya Urusi ukaitumia kusafisha crude oil ya Saudi Arabia.

Na kuigeza refinery kusafisha crude nyingine ni mabilioni ya dola. Siyo kitu kidogo.
acha uoga mitambo bado ipo pale kigamboni ni kuiboresha tu nakumbuka miaka iyo mafuta lita nilikua nanunua sh 500
 
Sii kweli, japo ni kweli kuna baadhi ya majizi na majangili ni wana CCM wenzetu, lakini CCM kama chama, ni chama Safi, kina wanachama Safi, watu wema, watu wazuri na wazalendo wa kweli wa Nchi hii, nikiwemo Mzalendo Mimi.
P
Ni kweli mkuu.

Sisi wengine hawajui kuwa ni CCM kada na mwanachama muasisi 5th Feb 1977.
 
Sii kweli, japo ni kweli kuna baadhi ya majizi na majangili ni wana CCM wenzetu, lakini CCM kama chama, ni chama Safi, kina wanachama Safi, watu wema, watu wazuri na wazalendo wa kweli wa Nchi hii, nikiwemo Mzalendo Mimi.
P
Huu umasikini umeletwa na akina nani kama siyo CCM? miaka 61 ya uhuru hakuna kinachofanyika zaidi ya usanii tupu
 
Ni kweli lakini kulikuwa na mismanagement ya hali ya juu hasa baada ya vita ya Kagera.

Kabla ya vita, miaka ya 60 mambo yalikuwa mazuri tu.
Ujamaa wa Nyerere ulianza kufeli tangu ulivyoanza rasmi na Azimio la Arusha mwaka 1967. Vita ya Kagera inatumika kama kisingizio tuu lakini Ujamaa uliharibu uchumi kabla ya hiyo vita.
 
Nimeona luninga Waziri Makamba akitamba kuwa Tanzania itafanywa kuwa kituo kikubwa cha usambazaji mafuta.

Mimi nikifikiri serikali itafufua kiwanda cha refinery cha TIPER, kumbe sivyo.

TIPER, Tanzania Italian Petroleum Refinery, ilianzishwa na Mwalimu Nyerere kama strategic plant around 1965.

Serikali ya Awamu ya pili chini ya Rais Mwinyi ilifanya KOSA KUBWA kuua kiwanda cha TIPER.

Katika kiwanda hiki nchi ililuwa ikiagiza tu crude oil, a one off operation.

Katika crude oil baada ya ku refine na kudistill hiyo crude oil, utapata mafuta aina zote hadi lami na mafuta ya vaseline.

Kilichotokea wakati wa Mwinyi kwa hakika ni cha kulaumiwa maana haieleweki kwanini tuagize finished product badala ya kuagiza malighafi ambayo itatoa mafuta aina zote na bidhaa nyingi za ziada.

Lami iliyokuwa inapatikana kama by product sasa hivi wanafaidishwa wafanyabiashara wakubwa kwa gharama za usafiri.

J Makamba, be strategic.
Kako LIVE UTV nw
 
Ujamaa wa Nyerere ulianza kufeli tangu ulivyoanza rasmi na Azimio la Arusha mwaka 1967. Vita ya Kagera inatumika kama kisingizio tuu lakini Ujamaa uliharibu uchumi kabla ya hiyo vita.
We pimbi soma historia yako vizuri.
Ujamaa ulikuja na Azimio la Arusha.
Na hata Vita ya Kagera hujui ilianza vipii.
SOMA!
 
Serikali inafanyia Kazi hilo,ishu kubwa ni storage facilities,na facilities za kuwezesha kushusha.

Kwa mujibu wa Makamba JR ,the goveyis working on it.
 
We pimbi soma historia yako vizuri.
Ujamaa ulikuja na Azimio la Arusha.
Na hata Vita ya Kagera hujui ilianza vipii.
SOMA!
Historia nimeisoma vizuri tuu, sema wewe kichwa chako kimejaa mawe unashindwa kuelewa unachokisoma. Reading comprehension yako iko chini.
 
Back
Top Bottom