Waziri Makamba: Ninatukanwa sana lakini nitalipa kisasi kwa matokeo

Najivunia Uislam wangu. Kikichokukera nini hata kuongea hayo? Nioneshe na mimi nifahamu.
Tusipeane nasaha za kinafik.
 
Unataka wamshambulia Waziri wa Afya au Elimu kuhusu kukatika kwa umeme?Hivi mnatumia nini kufikiri?Umeme kukatika katika hovyo bila utaratibu imekuwa ni desturi chini ya wizara yake.
Jiandae kwa suprise tu huko mbele ya safari mtake msitake

Kishasema kisasi kitalipwa kwa matokeo bora zaid ya kazi sio blaaa blaaa
 
Wakati wa Utawala wa Mkapa hakuna kiongozi aliekuwa anachukiwa kama Sumaye....kila lawama Sumaye..
Ufisadi ukatungwa anamiliki shirika la ndege n.k...

Kumbe yote yalikuwa uwongo....mtupu..alibatizwa jina Zero...Kwa chuki tu...

Hatari sana
Kwa
Hiyo hata ile fifty million ya PPF ilikuwa chuki kumbe
Kuwa serious wakati mwingine basi
Uwe na aibu na haya
 
Kwa
Hiyo hata ile fifty million ya PPF ilikuwa chuki kumbe
Kuwa serious wakati mwingine basi
Uwe na aibu na haya
We ulishathibitisha..?ukiitwa mahakamani uthibitisho unao ushahidi?au kila kinachoandikwa mitandaoni ndo ushahidi??
 
Yaani anasubiri kuwajibishwa!!! Maajabu haya, alitakiwa kuwajibika kwa haraka sana.
Mbona Thailand waziri alijiuzulu baada ya jengo kuporomoka na kuua wapitanjia wawili...kwani yeye ndo alijenga? Ni kwasababu yeye ndo msimamizi wa Sera zote za wizara...yaani umeme unakatika Bungeni na Uwanja wa Taifa then anapiga porojo.
 
Kaongea Point kubwa sana za Utu
Na huu ndio uongozi
Mheshimiwa January ni Bonge la kiongozi
====
Tumpe muda uongozi ni Hekima,
Makamba Anazo

Nyie mafisadi wa sukuma gang mtuache sawa
Mkitaka kutoa mikeka yenu ya ukiwa humu ndani kwanza mkatuonyeshe ile 1.5 Trion ilifichwa wapi!??
 
Sawa
 
Sele naona umekuja kujitetea….🤣🤣

How many burner accounts do you have?
 
Wakati wa Utawala wa Mkapa hakuna kiongozi aliekuwa anachukiwa kama Sumaye....kila lawama Sumaye..
Ufisadi ukatungwa anamiliki shirika la ndege n.k...

Kumbe yote yalikuwa uwongo....mtupu..alibatizwa jina Zero...Kwa chuki tu...

Hatari sana
Umeona ee?!!! Safari hii zamu ya makamba. Ukiwaona kanisani hawa watu huwezi kuamini kama ndo wanaotoa haya maneno. Wanamchukia mno makamba......lkn kiufupi ni kuwa wengi wa wamchukiao ni wale walinsa legacy; waliaminishwa na mtume wao kuwa makamba ni mbaya
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…