Mmmh π³ππππ hamna kaka Abood bus ikimbizane na hiyo chuma inaweza kubiduka.Mbona anaogopa kutaja hiyo spidi ya mwendo wa chini! Inaelekea basi la Abood litafika na kugeuza kabla ya treni kufika, halafu hiyo treni imekuwa ya kubeba wanaccm! Nani anagharamia?
Zile treni za china zinatembea kama jet, acha tusibiri mradi ukishaanza kazi tuoneHizo treni usipohakiki usalama zina collide kinyama.
Fuatilia China ile bullet train iliyo collide akati inatembea katika standard gauge speed ya 300 kmph.
Na ndio maana wakaamua kujenga maglev tracks kwaajili ya treni zenye speed kuanzia 300km-600 kmph speed.
Maana maglev ni sumaku usalama ni mkubwa.
Hizo kuanzia 290kmph speed kwenda chini ndio zitatumia standard gauge.
Tunasubiri hizo EMU walizosema zinafika mpaka speed ya 320kmph.
Waje watuue vizuri maana zile hazihitaji ubabaishi wa umeme watu mnaeza kufa mwajiona.
Yaani unamshukuru mjomba wako kwa kutudanganya sisi! Mbona Kenya hawakua na mbambamba hizi.Hongera kwa hatua mliyofikia nawapongeza sanaa maana sio kweli leo tuwe na train sawa na Gauteng trains au Train za Hong Hong tunashukuru kwa kilichopatikana maana kufika huko ni hatua na wao walianza huku huku mpaka kufika huko..
Mbona siku ile Abood ilianza kufika, tunaweka kumbukumbu.Mmmh π³ππππ hamna kaka Abood bus ikimbizane na hiyo chuma inaweza kubiduka.
Hizi maglev ndo zile treni inakuwa kama inaelea kwenye tracks eeh?Hizo treni usipohakiki usalama zina collide kinyama.
Fuatilia China ile bullet train iliyo collide akati inatembea katika standard gauge speed ya 300 kmph.
Na ndio maana wakaamua kujenga maglev tracks kwaajili ya treni zenye speed kuanzia 300km-600 kmph speed.
Maana maglev ni sumaku usalama ni mkubwa.
Hizo kuanzia 290kmph speed kwenda chini ndio zitatumia standard gauge.
Tunasubiri hizo EMU walizosema zinafika mpaka speed ya 320kmph.
Waje watuue vizuri maana zile hazihitaji ubabaishi wa umeme watu mnaeza kufa mwajiona.
ππππ.Mbona siku ile Abood ilianza kufika, tunaweka kumbukumbu.
Ndiyo hizo hizo mkuu.Hizi maglev ndo zile treni inakuwa kama inaelea kwenye tracks eeh?
Mbona kama unajihami dogo?Kuna wajuaji hapa watakuja kuuliza mbona bullet train ya Japan..nini...
Mradi ujuaji tu
Tusubiri muda utajibu, tabia ya nchi itahusishwa.ππππ.
Aaah kaka hapana bhana sio kweli.
Abood toka Magufuli mpaka Msamvu 202 kilometres hutumia masaa manne mpaka matano kwa tochi maana itabidi ifate kiwango cha speed ya 60kmph kiusalama.
Labda ungenambia kidocho BM coach wale jamaa wanavunja sana sheria kuna muda hutembea hadi mwendo wa 90kmph na kufika Msamvu masaa matatu tu.
Majaribio ya kwanza yalitembea kilometa 290+ maana treni ilisimamia Mkundi kuelekea Kilosa.
Utagundua kilometa 89+ zimeongezeka.
Pia ilitoka saa 4 mpk 6 na dakika zake kaka.
Japo njiani inasemekana ilipungua ufanisi wa mwendo kwa umeme kuzimazima/ kupungua nguvu kila mara.
Au labda una taarifa nyingine kaka.
Na wamelizungumza kwa sababu ya mijadara kama huu Hii SGR Dar-Moro Masaa Mawili, Duniani Huko Wanatumia Dakika 20! , vinginevyo wangepotezea na wala wasinge liongelea.Si ni wao walisema watatumia dakika 90 but in reality train ikatumia masaa manne. Hilo la speed ya majaribio ni keo ndo wamejua?
Kwanini?Ikitumia masaa mawili kwenda morogoro itabidi washushe sana bei zao
Sent from my SM-A025U using JamiiForums mobile app
Kwa akili yako unafikiri manufaa na athari za miradi ya ujenzi na teknolojia inapimwa kwa siasa za "uzalendo"? Subiri taarifa za M&E zifanywe - kama zitafanyika kama inavyotakiwa - hapo baadaye ndipo utandaze mipasho kwa nafasi yako. Hii ni kama serikali iko makini na utendaji wa mradi huo.Wakati Rais wa awamu ya tano hayati Magufuli akitangaza kwamba Tanzania inaenda kutekeleza mradi wa kufua umeme wa bwawa la mwl nyerere kwa gharama yoyote bila kuangalia makunyanzi ya mtu yoyote, kuna watanzania wenzetu walipinga mradi huo na kutusaliti kwa wazungu ili mradi huo ukwame!.
Mungu saidia Magufuli hakulegeza kamba wala kukata tamaa na mradi huo ukaendelea na sasa umekamilika na mashine moja imefungwa hivyo kupelekea kupungua kwa kiasi kikubwa kwa mgao wa umeme uliokuwa unatesa wananchi na kuuwa uchumi wa nchi yetu.
Sasa ili kukomesha tabia ya watanzania wenzetu kusaliti na pia ili kuongeza uzalendo kwa nchi yetu wanasiasa waliohamasisha wananchi kupinga mradi huo wasiruhusiwe kutumia umeme kutoka bwawa la mwl nyerere.
Wanasiasa hao ni Tundu Lisu, Nape Nnauye, January Makamba, God bless Lema, John Heche, Freeman Mbowe, Sugu, Peter Msigwa. Na wengine wengi ambao tutaendelea kuwataja.