Mheshimiwa waziri kuanzia ubungu hadi kimara mwisho ile njia inahitaji kupanuliwa haraka saana.Ile goleni iliyokuwepo pale ubungo imehamia kimara koregwe hadi kimara mwisho.Waziri wa Ujenzi na Uchukuzi, Prof. Makame M. Mbarawa ametangaza mkakati wa ujenzi wa barabara mpya kwa kushirikiana na sekta binafsi kutoka Dar es Salaam – Chalinde hadi Morogoro yenye urefu wa Kilometa 215 itakayojulikana kwa jina la Express way...
Pesa ya ujenzi tunakopa.Kodi tulipie na kupata huduma tunalipia hii nchi CCM wameshindwa kuingiza
Unataka kusema zitafuliwa na kutakatishwa hapo?Pesa chafu kutumika hapa
Hii sawa!Waziri wa Ujenzi na Uchukuzi, Prof. Makame M. Mbarawa ametangaza mkakati wa ujenzi wa barabara mpya kwa kushirikiana...
Waziri wa Ujenzi na Uchukuzi, Prof. Makame M. Mbarawa ametangaza mkakati wa ujenzi wa barabara mpya kwa kushirikiana na sekta binafsi kutoka Dar es Salaam – Chalinde hadi Morogoro yenye urefu wa Kilometa 215 itakayojulikana kwa jina la Express way.
Barabara hiyo itakuwa ni ya kulipia pindi mtu anapohitaji kuitumia na wale ambao hawataweza kulipia watalazimika kutumia barabara ya kawaida
“Tanzania hatuna express way tangu tumepata uhuru, haya ndio maendeleo, mfano kutoka Kibaha hadi Morogoro utakuwa unaenda kilometa 120 kwa saa na hauwezi kuingia tu, kutakuwa na maeneo maalum ya interchange ndiyo yatatumika kuingia.
“Itakapofika Aprili au Mei 2023 naamini tutakuwa tumempata mkandarasi ambaye atajenga kwa fedha zake mwenyewe kisha atakuwa anakusanya fedha mradi ukikamilika, magari madogo na makubwa yatakuwa na bei tofauti.
“Wenzetu Kenya wanayo, Uganda, njia yetu itakuwa na njia nne, mbili za kwenda na mbili za kurudi, itapunguza ajali kwa kuwa mtakuwa hamkutani kama iliyo sasa.”
Profesa Mbarawa ameongeza kwa kusema: “Serikali tunakuja na utaratibu mpya wa mtu anakuja na pesa yake anajenga mradi kisha Serikali tunamlipa.
“Pia tunakuna na mabadiliko ya Sheria ili turuhusu watu waendeshe mabehewa yao, TAZARA wameshaanza kufanya hilo jambo, TRC nasi tunataka kufanya hilo jambo."
Huu Mradi utakuwa na maana kama mkandarasi atakuwa ni wa hapa hapa Tanzania.
Kama akiwa wa nje maana yake tuna export pesa
Ccm wametuchoka washagundua sisi malofaKama huna pesa upiti.pita kule kwenye ile barabara mbovu yenye ajali nyingi.
Ndivyo itakavyokuaUnataka kusema zitafuliwa na kutakatishwa hapo?
Habari ndio hiyo 👇Waziri wa Ujenzi na Uchukuzi, Prof. Makame M. Mbarawa ametangaza mkakati wa ujenzi wa barabara mpya kwa kushirikiana na sekta binafsi kutoka Dar es Salaam – Chalinde hadi Morogoro yenye urefu wa Kilometa 215 itakayojulikana kwa jina la Express way.
Barabara hiyo itakuwa ni ya kulipia pindi mtu anapohitaji kuitumia na wale ambao hawataweza kulipia watalazimika kutumia barabara ya kawaida
“Tanzania hatuna express way tangu tumepata uhuru, haya ndio maendeleo, mfano kutoka Kibaha hadi Morogoro utakuwa unaenda kilometa 120 kwa saa na hauwezi kuingia tu, kutakuwa na maeneo maalum ya interchange ndiyo yatatumika kuingia.
“Itakapofika Aprili au Mei 2023 naamini tutakuwa tumempata mkandarasi ambaye atajenga kwa fedha zake mwenyewe kisha atakuwa anakusanya fedha mradi ukikamilika, magari madogo na makubwa yatakuwa na bei tofauti.
“Wenzetu Kenya wanayo, Uganda, njia yetu itakuwa na njia nne, mbili za kwenda na mbili za kurudi, itapunguza ajali kwa kuwa mtakuwa hamkutani kama iliyo sasa.”
Profesa Mbarawa ameongeza kwa kusema: “Serikali tunakuja na utaratibu mpya wa mtu anakuja na pesa yake anajenga mradi kisha Serikali tunamlipa.
“Pia tunakuna na mabadiliko ya Sheria ili turuhusu watu waendeshe mabehewa yao, TAZARA wameshaanza kufanya hilo jambo, TRC nasi tunataka kufanya hilo jambo."
Kodi finyu hazitufikishi kokote zitatufanya tuendeleee kuwa masikiniKodi tulipie na kupata huduma tunalipia hii nchi CCM wameshindwa kuingiza
Mwarabu1km of tarmacadam(tarmac) = Tzs800mil - Tzs 1Bil..215km mpaka Moro mkandarasi awe na kiasi gani kumaliza hii project?
Cjui nani atapewa hii tender/contract!
Acheni akili za kimaskini. mmeshakariri kila kitu kifanywe na serikali ndo mana nchi inachelewa kupata maendeleo. inawezekana sekta binafsi wakajenga miundombinu na maisha yakawa safi kabisaWanataka kusumbua wananchi kama wanavyosumbuliwa wa kigamboni?kwa nini huo mradi usijengwe na serikali?pesa zipo nyingi tu lakini mnashindwa kuzisimamia.Banane mianya ya wizi hasa wizara ya madini pesa zinaibiwa njenje kuliko kuweka mradi utakaokuwa kero kwa wananchi
Sent using Jamii Forums mobile app