Waziri Mbarawa: Tutajenga barabara ya njia 4, Dar-Moro, ili upite lazima ulipie

Acheni akili za kimaskini. mmeshakariri kila kitu kifanywe na serikali ndo mana nchi inachelewa kupata maendeleo. inawezekana sekta binafsi wakajenga miundombinu na maisha yakawa safi kabisa
CCM mna shida gani? Mkiambiwaga serikali isiingie kwenye biashara, huwa mnang'aka na kujisifu kuwa 'mmetekeleza' na mwisho wa siku hizo biashara zenu zinaendaga kupata hasara na kutoa huduma mbovu.

Leo mnazinduka ndiyo mnajua sekta binafsi inaweza kufanya miradi mikubwa na kuwaona wanaowapinga hawana akili. Kesho tena akija mwingine na maujinga yake atapiga vita sekta binafsi na mtaendelea kusifu na kuabudu.
 
Barabara ni mali za umma kulipisha watumiaji ni WIZI
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…