Waziri Mchengerwa aanza kuwawashia moto TAMISEMI. Asema ana taarifa watu wame-relax maofisini

Waziri Mchengerwa aanza kuwawashia moto TAMISEMI. Asema ana taarifa watu wame-relax maofisini

ChoiceVariable

JF-Expert Member
Joined
May 23, 2017
Posts
66,537
Reaction score
75,687
Moto umeanza kuwaka huko Tamisemi baada ya Waziri Mohammed Mchengerwa kuwasha moto Kwa kusema watu Wame relax hawafanyi kazi,awanyooshea kidole Ma DC.

---
Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais - TAMISEMI Mohamed Mchengerwa amewataka Wakuu wa Mikoa na Wilaya kuwafuata Wananchi na kusikiliza pamoja na kutatua kero zao na amewaelekeza Wakuu wa Mikoa kuhakikisha wanapokea taarifa za Wakuu wa Wilaya kuhusu ziara zao kwa Wananchi.

“Kuanzia sasa Wakuu wa Mikoa wote na Wakuu wa Wilaya washuke chini kusikiliza kero za Wananchi, asilimia 45 ya Wakuu wa Wilaya hawafanyi kazi kabisa, hawasikilizi kero za Wananchi, kwahiyo tunataka kila mmoja afanye kazi ili tuweze kutimiza malengo ya Watanzania, malengo ya Chama cha Mapinduzi na malengo ya Rais wetu”

“Niwaombe Watumishi wenzangu kuwa sasa tunairejesha Ofisi ya Rais-TAMISEMI kwa Wananchi, maana yake tunataka kufanya kazi hasa ili tuweze kufanikiwa na malengo ya Mh. Rais yaweze kufanikiwa, hivyo lazima tufanyekazi usiku na mchana hakuna namna, Wizara yetu tunaisogeza kwa Wananchu, tutasikiliza kero za Wananchi”



Chanzo: Millard Ayo

My Take
Lazima Tamisemi Wanune,ikimpendeza mh.Rais angemteua na Katibu Tawala Mkoa wa Kilimanjaro somebody Nzunda ndio awe Permanent Secretary wa Tamisemi,watu wangenyooka.

View: https://www.instagram.com/reel/Cwxn7RgtoRB/?igshid=MTc4MmM1YmI2Ng==
 
Hapo Tamisemi ni kuipangua kuazia wapika chai. 😕🧐
Watumishi wenye vyeo wa Tamisemi wamekaa kipigaji pigaji tuu.Lakini pia Serikali iwaongezee mshahara Watumishi wa kawaida wa Tamisemi Wana salaries ndogo sana lakini Wana mzigo mkubwa wa kazi.

Mwisho Serikali ingeondoa mambo ya usimamizi wa miradi ya ujenzi kutoka Tamisemi kwenda TBA Ili wafanye kazi zao,sio sawa Mwalimu au daktari kuwa.msimamizi wa Ujenzi huko Vijijini
 
Watumishi wenye vyeo wa Tamisemi wamekaa kipigaji pigaji tuu.Lakini pia Serikali iwaongezee mshahara Watumishi wa kawaida wa Tamisemi Wana salaries ndogo sana lakini Wana mzigo mkubwa wa kazi.

Serikali ingeondoa mambo ya usimamizi wa miradi ya ujenzi kutoka Tamisemi kwenda TBA Ili wafanye kazi zao,sio sawa Mwalimu au daktari kuwa.msimamizi wa Ujenzi huko Vijijini
Tamisemi imebeba majukumu mengi sana, alafu wasimamizi ni wale wenye elimu ya kuunga unga..

Hata hii sekta ya Afya Tamisemi ingetolewa tu, iende ikajumuike na WIZARA YA AFYA.
 
Moto umeanza kuwaka huko Tamisemi baada ya Waziri Mohammed Mchengerwa kuwasha moto Kwa kusema watu Wame relax hawafanyi kazi,awanyooshea kidole Ma DC.

View: https://wcheww.instagram.com/reel/CwyGTeVLpdz/?igshid=MTc4MmM1YmI2Ng==

My Take
Lazima Tamisemi Wanune,ikimpendeza mh.Rais angemteua na Katibu Tawala Mkoa wa Kilimanjaro somebody Nzunda ndio awe Permanent Secretary wa Tamisemi,watu wangenyooka.

Mchengelwa , kwa tulio soma Cuba ,uso wake waonesha ni Muhongo tu,analinda Ugali wake tu, siku zote walikua wapi? Leo kisa boss wao kasema ndo anakuja na ngojela, ccm must go, asema Bwana
 
Mchengelwa , kwa tulio soma Cuba ,uso wake waonesha ni Muhongo tu,analinda Ugali wake tu, siku zote walikua wapi? Leo kisa boss wao kasema ndo anakuja na ngojela, ccm must go, asema Bwana
Alikuwa Utumishi akakiwasha,alikuwa michezo akakiwasha,akaenda Utalii akakiwasha ndio maana kaletwa kwenye mfupa Mgumu.
 
Moto umeanza kuwaka huko Tamisemi baada ya Waziri Mohammed Mchengerwa kuwasha moto Kwa kusema watu Wame relax hawafanyi kazi,awanyooshea kidole Ma DC.

View: https://www.instagram.com/reel/CwyGTeVLpdz/?igshid=MTc4MmM1YmI2Ng==

My Take
Lazima Tamisemi Wanune,ikimpendeza mh.Rais angemteua na Katibu Tawala Mkoa wa Kilimanjaro somebody Nzunda ndio awe Permanent Secretary wa Tamisemi,watu wangenyooka.

Kama nchi ni wananchi na mnakiri, why mwauza bandari za watu na hamuwasikilizi, watz wametoka huko kitambo danganywa
 
Hamna kitu ,alikiwasha na nani? Ccm wenda kuna watu wazuri ila kwa mfumo wa chama ichi hakuna wa kuleta mabadiriko, shame on you ccm
IMG-20230904-WA0048.jpg
 
Moto umeanza kuwaka huko Tamisemi baada ya Waziri Mohammed Mchengerwa kuwasha moto Kwa kusema watu Wame relax hawafanyi kazi,awanyooshea kidole Ma DC.

---
Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais - TAMISEMI Mohamed Mchengerwa amewataka Wakuu wa Mikoa na Wilaya kuwafuata Wananchi na kusikiliza pamoja na kutatua kero zao na amewaelekeza Wakuu wa Mikoa kuhakikisha wanapokea taarifa za Wakuu wa Wilaya kuhusu ziara zao kwa Wananchi.

“Kuanzia sasa Wakuu wa Mikoa wote na Wakuu wa Wilaya washuke chini kusikiliza kero za Wananchi, asilimia 45 ya Wakuu wa Wilaya hawafanyi kazi kabisa, hawasikilizi kero za Wananchi, kwahiyo tunataka kila mmoja afanye kazi ili tuweze kutimiza malengo ya Watanzania, malengo ya Chama cha Mapinduzi na malengo ya Rais wetu”

“Niwaombe Watumishi wenzangu kuwa sasa tunairejesha Ofisi ya Rais-TAMISEMI kwa Wananchi, maana yake tunataka kufanya kazi hasa ili tuweze kufanikiwa na malengo ya Mh. Rais yaweze kufanikiwa, hivyo lazima tufanyekazi usiku na mchana hakuna namna, Wizara yetu tunaisogeza kwa Wananchu, tutasikiliza kero za Wananchi”


Chanzo: Millard Ayo

My Take
Lazima Tamisemi Wanune,ikimpendeza mh.Rais angemteua na Katibu Tawala Mkoa wa Kilimanjaro somebody Nzunda ndio awe Permanent Secretary wa Tamisemi,watu wangenyooka.
Umejipigia pande hapo chini ulambe uteuzi.

Ila waacheni watu wa Tamisemi wa-relax sasa mishahara yenyewe kiduchu vile watatoboaje?
 
Back
Top Bottom