Moto umeanza kuwaka huko Tamisemi baada ya Waziri Mohammed Mchengerwa kuwasha moto Kwa kusema watu Wame relax hawafanyi kazi,awanyooshea kidole Ma DC.
--- Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais - TAMISEMI Mohamed Mchengerwa amewataka Wakuu wa Mikoa na Wilaya kuwafuata Wananchi na kusikiliza pamoja na kutatua kero zao na amewaelekeza Wakuu wa Mikoa kuhakikisha wanapokea taarifa za Wakuu wa Wilaya kuhusu ziara zao kwa Wananchi.
“Kuanzia sasa Wakuu wa Mikoa wote na Wakuu wa Wilaya washuke chini kusikiliza kero za Wananchi, asilimia 45 ya Wakuu wa Wilaya hawafanyi kazi kabisa, hawasikilizi kero za Wananchi, kwahiyo tunataka kila mmoja afanye kazi ili tuweze kutimiza malengo ya Watanzania, malengo ya Chama cha Mapinduzi na malengo ya Rais wetu”
“Niwaombe Watumishi wenzangu kuwa sasa tunairejesha Ofisi ya Rais-TAMISEMI kwa Wananchi, maana yake tunataka kufanya kazi hasa ili tuweze kufanikiwa na malengo ya Mh. Rais yaweze kufanikiwa, hivyo lazima tufanyekazi usiku na mchana hakuna namna, Wizara yetu tunaisogeza kwa Wananchu, tutasikiliza kero za Wananchi”
Your browser is not able to display this video.
Chanzo: Millard Ayo
My Take
Lazima Tamisemi Wanune,ikimpendeza mh.Rais angemteua na Katibu Tawala Mkoa wa Kilimanjaro somebody Nzunda ndio awe Permanent Secretary wa Tamisemi,watu wangenyooka.
Watumishi wenye vyeo wa Tamisemi wamekaa kipigaji pigaji tuu.Lakini pia Serikali iwaongezee mshahara Watumishi wa kawaida wa Tamisemi Wana salaries ndogo sana lakini Wana mzigo mkubwa wa kazi.
Mwisho Serikali ingeondoa mambo ya usimamizi wa miradi ya ujenzi kutoka Tamisemi kwenda TBA Ili wafanye kazi zao,sio sawa Mwalimu au daktari kuwa.msimamizi wa Ujenzi huko Vijijini
Watumishi wenye vyeo wa Tamisemi wamekaa kipigaji pigaji tuu.Lakini pia Serikali iwaongezee mshahara Watumishi wa kawaida wa Tamisemi Wana salaries ndogo sana lakini Wana mzigo mkubwa wa kazi.
Serikali ingeondoa mambo ya usimamizi wa miradi ya ujenzi kutoka Tamisemi kwenda TBA Ili wafanye kazi zao,sio sawa Mwalimu au daktari kuwa.msimamizi wa Ujenzi huko Vijijini
Mchengelwa , kwa tulio soma Cuba ,uso wake waonesha ni Muhongo tu,analinda Ugali wake tu, siku zote walikua wapi? Leo kisa boss wao kasema ndo anakuja na ngojela, ccm must go, asema Bwana
Mchengelwa , kwa tulio soma Cuba ,uso wake waonesha ni Muhongo tu,analinda Ugali wake tu, siku zote walikua wapi? Leo kisa boss wao kasema ndo anakuja na ngojela, ccm must go, asema Bwana
Huyu Mchengerwa hawezi kufanya kazi kwa nguvu na kasi inayaopaswa. Yuko kwenye "comfort zone", kwasabb hata asipofanya hawezi kuondolewa kwakuwa rais ni mkwewe.
Moto umeanza kuwaka huko Tamisemi baada ya Waziri Mohammed Mchengerwa kuwasha moto Kwa kusema watu Wame relax hawafanyi kazi,awanyooshea kidole Ma DC.
--- Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais - TAMISEMI Mohamed Mchengerwa amewataka Wakuu wa Mikoa na Wilaya kuwafuata Wananchi na kusikiliza pamoja na kutatua kero zao na amewaelekeza Wakuu wa Mikoa kuhakikisha wanapokea taarifa za Wakuu wa Wilaya kuhusu ziara zao kwa Wananchi.
“Kuanzia sasa Wakuu wa Mikoa wote na Wakuu wa Wilaya washuke chini kusikiliza kero za Wananchi, asilimia 45 ya Wakuu wa Wilaya hawafanyi kazi kabisa, hawasikilizi kero za Wananchi, kwahiyo tunataka kila mmoja afanye kazi ili tuweze kutimiza malengo ya Watanzania, malengo ya Chama cha Mapinduzi na malengo ya Rais wetu”
“Niwaombe Watumishi wenzangu kuwa sasa tunairejesha Ofisi ya Rais-TAMISEMI kwa Wananchi, maana yake tunataka kufanya kazi hasa ili tuweze kufanikiwa na malengo ya Mh. Rais yaweze kufanikiwa, hivyo lazima tufanyekazi usiku na mchana hakuna namna, Wizara yetu tunaisogeza kwa Wananchu, tutasikiliza kero za Wananchi”
Chanzo: Millard Ayo
My Take
Lazima Tamisemi Wanune,ikimpendeza mh.Rais angemteua na Katibu Tawala Mkoa wa Kilimanjaro somebody Nzunda ndio awe Permanent Secretary wa Tamisemi,watu wangenyooka.