Waziri Mchengerwa aanza kuwawashia moto TAMISEMI. Asema ana taarifa watu wame-relax maofisini

mbwembwe tu za mkwe
mkwe
 
Huyu Mchengerwa hawezi kufanya kazi kwa nguvu na kasi inayaopaswa. Yuko kwenye "comfort zone", kwasabb hata asipofanya hawezi kuondolewa maana rais ni mkwewe.
Ila nani ambae anaweza fanya hivyo ambae hayuko kwenye confort zone?

Kwanza sisi Watumishi Rais alituudhi sana kumtoa kule Utumishi alikuwa anatutetea sana.
 
Pumbavu ,mmegawa bure wala sio kuuza , mkataba unasemaje? ,mtakufa midomo wazi Mungu sio mwanadam, na tueshimiane
Pumbavu mkubwa na jinga kabisa,kama zimegawiwa Bure Kwa hiyo Serikali haipati pesa za Bandari au?

Mnaweweaeka mara zomeuzwa mara zimegawiwa Bure uzushi wa Kutafutia kiki.
 
Pumbavu mkubwa na jinga kabisa,kama zimegawiwa Bure Kwa hiyo Serikali haipati pesa za Bandari au?

Mnaweweaeka mara zomeuzwa mara zimegawiwa Bure uzushi wa Kutafutia kiki.
Alafu sibishanagi na watu wenye laana ya ukoo, na kwa sababu laana dunia hujapata ,
Sikia mwanaharam wewe nakufuta kuanzia nywele yako ya mwisho mpaka kidole chako mguu , mpaka uatakapo tubu na kutoa sadaka kwa imani yako kwa wasiojiweza elfu 4700, asema Bwana na imekua
 
Kama nchi ni wananchi na mnakiri, why mwauza bandari za watu na hamuwasikilizi, watz wametoka huko kitambo danganywa
Hawa washamba ndio wamestuka sahizi kwamba wananchi wanafaa wasikilizwe. Its too late waraka ushawafikia raia.
 
Ukiwa fala huwezi fanya lolote zaidi ya ushabiki mandazi. Subiria tishet na kofia
Pumbavu mkubwa na jinga kabisa,kama zimegawiwa Bure Kwa hiyo Serikali haipati pesa za Bandari au?

Mnaweweaeka mara zomeuzwa mara zimegawiwa Bure uzushi wa Kutafutia kiki.
 
Huyo katibu tawala wa mkoa wa kilimanjaro nzunda huko tamisemi hakumfai hata kidogo. Pamoja na kwamba anajitahidi lakini kwenye mkoa wake ameshindwa kuondoa tatizo la wakurugenzi kuficha barua za wanaopata uhamisho wa Katibu Mkuu Tamisemi au Katibu Mkuu utumishi na kero ya muda mrefu sana ya wakuu wa idara na vitengo kuwanyanyasa na kuwafukuza wasaidizi wao maofisini wakati huo huo wakurugenzi hawana say yoyote.

Ameshindwa kuondoa tatizo la watumishi kuandikiwa barua za kuhamishwa kutoka kituo a kwenda b ndani ya halmashauri kwamba wamejiombea uhamisho wakati hawajawahi kufanya hivyo ili kukwepa kuwalipa gharama za uhamisho, sasa akipewa tamisemi ndiyo ataweza kunyoosha taasisi zilizo chini yake?

Fika halmashauri za kilimanjaro anakoongoza ongea na watumishi wa kada ya sheria, afya hasa walio kwenye hospitali za wilaya, watu wa maliasili, mipango na uchumi utaelewa.
 
Waziri Mchengerwa aanza kuwawashia moto TAMISEMI.
Asema ana taarifa watu wame-relax maofisini na wengine wanachimba na kumiliki migodi ya Dhahabu ,mfano DC wilaya ya Chunya, Mkoa wa Mbeya yeye amekuwa mchimbaji mdogo siku hizi.
 
Kwa akili finyu huwa unaona kila kitu kinapingwa ila hio ni bogus mindset ndio inakufanya uwe hivyo. Hakuna kitu kitanyooka kwenye utawala Corrupt. Watu wako kulindana sio kuhakikisha kazi zinafanyika kwa weledi.
 
Kwa akili finyu huwa unaona kila kitu kinapingwa ila hio ni bogus mindset ndio inakufanya uwe hivyo. Hakuna kitu kitanyooka kwenye utawala Corrupt. Watu wako kulindana sio kuhakikisha kazi zinafanyika kwa weledi.
Huo ni kama mind disorder Kila kitu mnapinga Sasa si mtakufa Kwa stress mapema sana nyie au magonjwa ya Moyo?
 
Waziri Mchengerwa aanza kuwawashia moto TAMISEMI.
Asema ana taarifa watu wame-relax maofisini na wengine wanachimba na kumiliki migodi ya Dhahabu ,mfano DC wilaya ya Chunya, Mkoa wa Mbeya yeye amekuwa mchimbaji mdogo siku hizi.
Bora wewe umeanza kuwa na akili Kwa kubadilika kutoka kupinga Kila kitu Hadi kufichuo uovu Ili Serikali ichukue hatua.

Na eryttrocite Niliona analaumu Kwa nini mbunge wake Mwakibete wa Ccm ametolewa unajibu Waziri 🔥🔥🔥

Ccm ni mzazi hakwepeki 🤣🤣
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…