Waziri Mchengerwa aanza kuwawashia moto TAMISEMI. Asema ana taarifa watu wame-relax maofisini

Huo ni kama mind disorder Kila kitu mnapinga Sasa si mtakufa Kwa stress mapema sana nyie au magonjwa ya Moyo?
Vitu vya maana kama barabara ya kulipia naipongeza serikali. Ila upuuzi siwezi kuunga mkono. Mafuta hamna kwenye sheli unataka hilo asifiwe shangazi yako kwamba anaupiga mwingi. Ndio maana nawatukanaga
 
Mpenzi taarifa atachukua hatua
 
Vitu vya maana kama barabara ya kulipia naipongeza serikali. Ila upuuzi siwezi kuunga mkono. Mafuta hamna kwenye sheli unataka hilo asifiwe shangazi yako kwamba anaupiga mwingi. Ndio maana nawatukanaga
Upuuzi upi? Hapa Waziri anawashushua wapuuzi unapinga ,wewe ni Bure kabisa
 
Ngoja tuone hii episode ya futuhi itaishaje!!
 
Viongozi wazuri mliwaondoa kwa kumkomoa Mwendazake!! Sasa mmejaza mijitu isiyo na uwezo wa kufanya kazi.

Siyo kwamba wamerelax hapana, ni kwamba hawana uwezo
 
Viongozi wazuri mliwaondoa kwa kumkomoa Mwendazake!! Sasa mmejaza mijitu isiyo na uwezo wa kufanya kazi.

Siyo kwamba wamerelax hapana, ni kwamba hawana uwezo
Hao wazuri kama nani?
 
Suala siyo kunyooka. Watatembea hawana posho??
 
Wewe chawa na kup
Wewe chawa na kupe matarajio yako ni yapi? Jini haliwezi kumtoa jini mwenzie kwenye nafsi ya mtu!!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…