Waziri Mchengerwa aanza kuwawashia moto TAMISEMI. Asema ana taarifa watu wame-relax maofisini

Hamna kitu apo. Ulimsikia mama mkwe wake wakati wa kumuapiza? Eti kuna moto utawaka mwakani, amemuweka kwa mkakati wa kuiba kura ktk uchaguzi wa serikali ya mitaa..

Sasahivi hatutaki uchaguzi wa serikali ya mitaa usimamiwe na tumiseni. Pumbavu zenu
 
Hamna kitu apo. Ulimsikia mama mkwe wake wakati wa kumuaiza? Eti kuna moto utawaka mwakani, amemuweka kwa mkakati wa kuiba kura ktk uchaguzi wa serikali ya mitaa..

Sasahivi hatutaki uchaguzi wa serikali ya mitaa usimamiwe na tumiseni. Pumbavu zenu
Huna hoja ,mwizi Huwa anatamka hadharani? Ujinga
 

Mbona kama wote wame relax?
 
 
Nashindwa kuelewa kwa nini Afya isiwe chini ya wizard ya afya, elimu chini ya wizard ya elimu nk? Unakuta huyu tamisemi yupo kwenye afya, elimu, ujenzi, halmashauri za mikoa na wilaya....ndio maana hata ufanisi wa hii wizara hauonekani. Ipo kipigaji zaidi.

Mfanyakazi wa sekta ya afya aliyeko chini ya tamisemi analipwa kidogo kuliko aliyeko chini ya wizara ya afya, vitu vya ajabu hivi.
 
Wakuu w awilaya wengi wanafikri kukaa ofisini ndiyo kuwa kazini. Kazi zao wajikite sana kutembelea na kuwasikiliza na kujionea wananchi wao na kutatuwa kero zao za kila siku.

Hapa namuunga mkono Mchengerwa.

Kuna wau wengi sana hawafahamu hata haki zao wanazofikishiwa na serikali yao, kwa kuwa tu wakuu wa wilaya hawana muda wa kwenda kuongea na wananchi wao mara kwa mara.
 
hapana mkuu hawana hela kabisa. Ninachomaanisha ni kuwa wanahitaji kuwezeshwa
Nani ambao hawana pesa wakati sekretarieti ya Mkoa Kwa mfano Kila mwezi wanapata pesa za tozo ya mafuta Kwa Ajili ya supervision hapo Bado OC ya kawaida.

Unataka nikupe ushahidi humu? Acha ubishi basi.Ofisi ya DC ndio Bado Ina Hali mbaya.
 
Mkwe akifanya vizuri TAMISEMI hasa uchaguzi wa serikali za mitaa;atakuwa Naibu Makamu wa Rais(kuratibu shughuli za serikali).
 
Anza na Wale Bwana Afya na Bibi Afya. Vyakula vinauzwa ovyo Barbara I. Sokoni kuna Embe mbovu na Parachichi unaambiwa za Juice. Maji ya Vyakula yanamwagwa ovyo mitaani.
 
Maigizo ya kujifariji,kichapo kinaanz mwakani
🤣 Chonde chonde tu msije mkafungia mikutano ya hadhara tu ili kuwablock wapinzani. Maana tumeona kazi ya Mama kuswap mawaziri na kujaza wanasheria watupu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…