Waziri Mchengerwa: Arusha Mlijichelewesha Wenyewe Kwa Siasa za Majitaka

Waziri Mchengerwa: Arusha Mlijichelewesha Wenyewe Kwa Siasa za Majitaka

Waufukweni

JF-Expert Member
Joined
May 16, 2024
Posts
2,060
Reaction score
5,648
Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais, Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (TAMISEMI), Mohamed Omary Mchengerwa, akizungumza wakati wa mkutano wa hadhara wa kuhitimisha ziara yake ya kikazi, uliofanyika leo Ijumaa, Oktoba 04, 2024, katika Uwanja wa Kituo cha Mabasi cha Kilombero Jijini Arusha, amesema mkoa huo umekuwa ukijichelewesha wenyewe kutokana na siasa za majitaka.

Pia, Soma: Waziri Mchengerwa: Uchaguzi wa Serikali za Mitaa Bara utafanyika 27 November, 2024

"Ninapongeza jitihada na kazi kubwa inayofanywa katika mkoa huu wa Arusha, na si siri yamesemwa mengi hapa. Nimepita mitaani nimejionea kasi ya maendeleo, lakini lazima tukiri Arusha tulijichelewesha wenyewe kwa siasa za majitaka"

 
"Ninapongeza jitihada na kazi kubwa inayofanywa katika mkoa huu wa Arusha, na si siri yamesemwa mengi hapa, nimepita mitaani nimejionea kasi ya maendeleo, lakini lazima tukiri Arusha tulijichelewesha wenyewe kwa siasa za majitaka
 
Yamekutana
What Is This 😱.jpeg
 
"Ninapongeza jitihada na kazi kubwa inayofanywa katika mkoa huu wa Arusha, na si siri yamesemwa mengi hapa, nimepita mitaani nimejionea kasi ya maendeleo, lakini lazima tukiri Arusha tulijichelewesha wenyewe kwa siasa za majitaka
Sumbawanga nao maji taka?
 
Kiongozi ambaye huwa anatoa kauli za namna ya hiyo huwa sio kiongozi mzalendo kwa nchi yake bali huwa anatanguliza maslahi yake binafsi na Chama chake...Kwani Arusha wanakaa wapinzani peke yake?
Kwani sehemu ambayo wapinzani walishinda ubunge na udiwani haupeleki maendeleo kisa Wananchi walichagua kiongozi wa upinzani, huo upumbavu kabisa
 
Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais, Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (TAMISEMI), Mohamed Omary Mchengerwa, akizungumza wakati wa mkutano wa hadhara wa kuhitimisha ziara yake ya kikazi, uliofanyika leo Ijumaa, Oktoba 04, 2024, katika Uwanja wa Kituo cha Mabasi cha Kilombero Jijini Arusha, amesema mkoa huo umekuwa ukijichelewesha wenyewe kutokana na siasa za majitaka.


Pia, Soma: Waziri Mchengerwa: Uchaguzi wa Serikali za Mitaa Bara utafanyika 27 November, 2024


"Ninapongeza jitihada na kazi kubwa inayofanywa katika mkoa huu wa Arusha, na si siri yamesemwa mengi hapa. Nimepita mitaani nimejionea kasi ya maendeleo, lakini lazima tukiri Arusha tulijichelewesha wenyewe kwa siasa za majitaka"
View attachment 3115377
Wameonja joto ya kuchagua Wapinzani uchwara Kila siku vurumai.

Ukweli ni kwamba awamu hii Lema amekalia kuti Kavu
 
Back
Top Bottom