Continental Ground
JF-Expert Member
- Jun 16, 2016
- 1,907
- 3,895
Huyu kilaza akamkaze .......hana sera
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wapinzani hawajuwi waanzie wapi waishie wapi, vipaumbele vyao ni kulewa tu. Hawana sera.Kiongozi ambaye huwa anatoa kauli za namna ya hiyo huwa sio kiongozi mzalendo kwa nchi yake bali huwa anatanguliza maslahi yake binafsi na Chama chake...Kwani Arusha wanakaa wapinzani peke yake?
Kwani sehemu ambayo wapinzani walishinda ubunge na udiwani haupeleki maendeleo kisa Wananchi walichagua kiongozi wa upinzani, huo upumbavu kabisa