Waziri Mchengerwa na maamuzi ya ovyo ovyo!

Waziri Mchengerwa na maamuzi ya ovyo ovyo!

Ngongo

Platinum Member
Joined
Sep 20, 2008
Posts
20,654
Reaction score
35,887
Heshima sana wanajamvi,

Mbunge wa Rufiji Mohamed Omary Mchengerwa amehudumu katika Wizara kadhaa za Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Katika Wizara zote alizohudumu kaacha kilio kikubwa na simanzi zisizo na kipimo kwa WATANGANYIKA wote.

Akiwa Waziri wa Utawala Bora na Utumishi alihakikisha WaZanzibar wanatengewa 21% ya ajira katika taasisi zote za muungano.Ninapo zungumzia Taasisi za Muungano ni pamoja na TRA, POSTA, BOT, BANDARI .

Fikiria TRA wametangaza nafasi za ajira 200, Zanzibar watatengewa nafasi 42 huku Tanganyika wakiambulia nafasi 158 tu. Katika nafasi hizi 158 iwapo kuna Mzanzibar yupo huku Tanganyika anaweza kuomba bila kikwazo cha aina yoyote.

Ifahamike wazi Tanganyika ina idadi ya watu million 60 huku Zanzibar ikiwa na idadi ya watu wanaokaribia million 1 tu. Waziri Mchengerwa alipokuwa akkifanya maamuzi haya ya hovyo alitumia vigezo gani? Aliamua kuwapendelea WaZanzibar kwakuwa mke wake ni MZANZIBAR!

Mchengerwa alipopelekwa Wizara ya Maliasili na Utalii kaamua kuwamilikisha WAARABU ekta million 8 za misitu bila kufikisha makataba Bungeni. Ni wazi kabisa tena pasipo shaka yoyote Mchengerwa hakustahili kurejeshwa katika baraza la mawaziri kwa kuliingiza taifa katika janga kubwa la kuuza misitu yetu kwa wageni pasipo kufuata utaratibu wa sheria za nchi.

Waziri Mchengerwa kapelekwa TAMISEMI sijui huko anakwenda kufanya kituko gani!. Labda atapigania Wazanzibar wajazwe huko ili kupata uzoefu.
 
Heshima sana wanajamvi,

Mbunge wa Rufiji Mohamed Omary Mchengerwa amehudumu katika Wizara kadhaa za JMT.Katika Wizara zote alizohudumu kaacha kilio kikubwa na simanzi zisizo na kipimo kwa WATANGANYIKA wote.

Akiwa Waziri wa Utawala Bora na Utumishi alihakikisha WaZanzibar wanatengewa 21% ya ajira katika taasisi zote za muungano.Ninapo zungumzia Taasisi za Muungano ni pamoja na TRA,POSTA,BOT,BANDARI .........
Fikiria TRA wametangaza nafasi za ajira 200,Zanzibar watatengewa nafasi 42 huku Tanganyika wakiambulia nafasi 158 tu.Katika nafasi hizi 158 iwapo kuna Mzanzibar yupo huku Tanganyika anaweza kuomba bila kikwazo cha aina ypyote.

Ifahamike wazi Tanganyika ina idadi ya watu million 60 huku Zanzibar ikiwa na idadi ya watu wanaokaribia million 1 tu.Waziri Mchengerwa alipokuwa akkifanya maamuzi haya ya hovyo alitumia vigezo gani ?.Aliamua kuwapendelea WaZanzibar kwakuwa mke wake ni MZANZIBAR !.

Mchengerwa alipopelekwa Wizara ya Maliasili na Utalii kaamua kuwamilikisha WAARABU ekta million 8 za misitu bila kufikisha makataba Bungeni.Ni wazi kabisa tena pasipo shaka yoyote Mchengerwa hakustahili kurejeshwa katika baraza la mawaziri kwa kuliingiza taifa katika janga kubwa la kuuza misitu yetu kwa wageni pasipo kufuata utaratibu wa sheria za nchi.

Waziri Mchengerwa kapelekwa TAMISEMI sijui huko anakwenda kufanya kituko gani !.Labda atapigania Wazanzibar wajazwe huko ili kupata uzoefu.
 
Heshima sana wanajamvi,

Mbunge wa Rufiji Mohamed Omary Mchengerwa amehudumu katika Wizara kadhaa za JMT.Katika Wizara zote alizohudumu kaacha kilio kikubwa na simanzi zisizo na kipimo kwa WATANGANYIKA wote.

Akiwa Waziri wa Utawala Bora na Utumishi alihakikisha WaZanzibar wanatengewa 21% ya ajira katika taasisi zote za muungano.Ninapo zungumzia Taasisi za Muungano ni pamoja na TRA,POSTA,BOT,BANDARI .........
Fikiria TRA wametangaza nafasi za ajira 200,Zanzibar watatengewa nafasi 42 huku Tanganyika wakiambulia nafasi 158 tu.Katika nafasi hizi 158 iwapo kuna Mzanzibar yupo huku Tanganyika anaweza kuomba bila kikwazo cha aina ypyote.

Ifahamike wazi Tanganyika ina idadi ya watu million 60 huku Zanzibar ikiwa na idadi ya watu wanaokaribia million 1 tu.Waziri Mchengerwa alipokuwa akkifanya maamuzi haya ya hovyo alitumia vigezo gani ?.Aliamua kuwapendelea WaZanzibar kwakuwa mke wake ni MZANZIBAR !.

Mchengerwa alipopelekwa Wizara ya Maliasili na Utalii kaamua kuwamilikisha WAARABU ekta million 8 za misitu bila kufikisha makataba Bungeni.Ni wazi kabisa tena pasipo shaka yoyote Mchengerwa hakustahili kurejeshwa katika baraza la mawaziri kwa kuliingiza taifa katika janga kubwa la kuuza misitu yetu kwa wageni pasipo kufuata utaratibu wa sheria za nchi.

Waziri Mchengerwa kapelekwa TAMISEMI sijui huko anakwenda kufanya kituko gani !.Labda atapigania Wazanzibar wajazwe huko ili kupata uzoefu.
Aahaaaa,dah
 
Heshima sana wanajamvi,

Mbunge wa Rufiji Mohamed Omary Mchengerwa amehudumu katika Wizara kadhaa za JMT.Katika Wizara zote alizohudumu kaacha kilio kikubwa na simanzi zisizo na kipimo kwa WATANGANYIKA wote.

Akiwa Waziri wa Utawala Bora na Utumishi alihakikisha WaZanzibar wanatengewa 21% ya ajira katika taasisi zote za muungano.Ninapo zungumzia Taasisi za Muungano ni pamoja na TRA,POSTA,BOT,BANDARI .........
Fikiria TRA wametangaza nafasi za ajira 200,Zanzibar watatengewa nafasi 42 huku Tanganyika wakiambulia nafasi 158 tu.Katika nafasi hizi 158 iwapo kuna Mzanzibar yupo huku Tanganyika anaweza kuomba bila kikwazo cha aina ypyote.

Ifahamike wazi Tanganyika ina idadi ya watu million 60 huku Zanzibar ikiwa na idadi ya watu wanaokaribia million 1 tu.Waziri Mchengerwa alipokuwa akkifanya maamuzi haya ya hovyo alitumia vigezo gani ?.Aliamua kuwapendelea WaZanzibar kwakuwa mke wake ni MZANZIBAR !.

Mchengerwa alipopelekwa Wizara ya Maliasili na Utalii kaamua kuwamilikisha WAARABU ekta million 8 za misitu bila kufikisha makataba Bungeni.Ni wazi kabisa tena pasipo shaka yoyote Mchengerwa hakustahili kurejeshwa katika baraza la mawaziri kwa kuliingiza taifa katika janga kubwa la kuuza misitu yetu kwa wageni pasipo kufuata utaratibu wa sheria za nchi.

Waziri Mchengerwa kapelekwa TAMISEMI sijui huko anakwenda kufanya kituko gani !.Labda atapigania Wazanzibar wajazwe huko ili kupata uzoefu.
Nilikua sijui km kuna mashudu mengine ya Nchengerwa naomba yaongezwe
 
Heshima sana wanajamvi,

Mbunge wa Rufiji Mohamed Omary Mchengerwa amehudumu katika Wizara kadhaa za JMT.Katika Wizara zote alizohudumu kaacha kilio kikubwa na simanzi zisizo na kipimo kwa WATANGANYIKA wote.

Akiwa Waziri wa Utawala Bora na Utumishi alihakikisha WaZanzibar wanatengewa 21% ya ajira katika taasisi zote za muungano.Ninapo zungumzia Taasisi za Muungano ni pamoja na TRA,POSTA,BOT,BANDARI .........
Fikiria TRA wametangaza nafasi za ajira 200,Zanzibar watatengewa nafasi 42 huku Tanganyika wakiambulia nafasi 158 tu.Katika nafasi hizi 158 iwapo kuna Mzanzibar yupo huku Tanganyika anaweza kuomba bila kikwazo cha aina ypyote.

Ifahamike wazi Tanganyika ina idadi ya watu million 60 huku Zanzibar ikiwa na idadi ya watu wanaokaribia million 1 tu.Waziri Mchengerwa alipokuwa akkifanya maamuzi haya ya hovyo alitumia vigezo gani ?.Aliamua kuwapendelea WaZanzibar kwakuwa mke wake ni MZANZIBAR !.

Mchengerwa alipopelekwa Wizara ya Maliasili na Utalii kaamua kuwamilikisha WAARABU ekta million 8 za misitu bila kufikisha makataba Bungeni.Ni wazi kabisa tena pasipo shaka yoyote Mchengerwa hakustahili kurejeshwa katika baraza la mawaziri kwa kuliingiza taifa katika janga kubwa la kuuza misitu yetu kwa wageni pasipo kufuata utaratibu wa sheria za nchi.

Waziri Mchengerwa kapelekwa TAMISEMI sijui huko anakwenda kufanya kituko gani !.Labda atapigania Wazanzibar wajazwe huko ili kupata uzoefu.
Kuna watu hawapaswi kuwa mawaziri. Sema ni upendeleo tu. Na pengine aliwekwa huko maliaslli kimkakati kashamaliza kazi yake.

Hata ridhiwani aridhi, makamba nishati nafikiri wamishamaliza deals zao ndo wakahamishwa
 
Pale mamlaka ya uteuzi inapokomaa na watu wabovu basi ujue hata yenyewe pia ina tatizo.

Katiba na sheria alipaswa kumwacha Kabudi.

Ardhi alipaswa kumwacha Lukuvi.

Nishati alipaswa kumwacha Kalemani.

Huko kote amefanya mabadiliko na matokeo yake ni majanga matupu.
 
Acha kumsema Mkwe mama atachukia. On a serious note anapelekwa kote huko kwa kazi maalumu yenye maelekezo kutoka juu sio bahati mbaya angakuwa anajifanyia tu angeshangolewa ....sijui hata na nani sasa.
 
Pale mamlaka ya uteuzi inapokomaa na watu wabovu basi ujue hata yenyewe pia ina tatizo.

Katiba na sheria alipaswa kumwacha Kabudi.

Ardhi alipaswa kumwacha Lukuvi.

Nishati alipaswa kumwacha Kalemani.

Huko kote amefanya mabadiliko na matokeo yake na majanga matupu.
Tangu umeanza kuandika hapa JF sijasia au kuana maneno mazito kama haya.Ukweli lazima usemwe Makamba alipwaya mno NISHATI.Lukuvi alijitahidi pale ARDHI ila Kabudi sina uhakika saaana labda lile jicho lake limekutisha.
 
Heshima sana wanajamvi,

Mbunge wa Rufiji Mohamed Omary Mchengerwa amehudumu katika Wizara kadhaa za JMT.Katika Wizara zote alizohudumu kaacha kilio kikubwa na simanzi zisizo na kipimo kwa WATANGANYIKA wote.

Akiwa Waziri wa Utawala Bora na Utumishi alihakikisha WaZanzibar wanatengewa 21% ya ajira katika taasisi zote za muungano.Ninapo zungumzia Taasisi za Muungano ni pamoja na TRA,POSTA,BOT,BANDARI .........
Fikiria TRA wametangaza nafasi za ajira 200,Zanzibar watatengewa nafasi 42 huku Tanganyika wakiambulia nafasi 158 tu.Katika nafasi hizi 158 iwapo kuna Mzanzibar yupo huku Tanganyika anaweza kuomba bila kikwazo cha aina ypyote.

Ifahamike wazi Tanganyika ina idadi ya watu million 60 huku Zanzibar ikiwa na idadi ya watu wanaokaribia million 1 tu.Waziri Mchengerwa alipokuwa akkifanya maamuzi haya ya hovyo alitumia vigezo gani ?.Aliamua kuwapendelea WaZanzibar kwakuwa mke wake ni MZANZIBAR !.

Mchengerwa alipopelekwa Wizara ya Maliasili na Utalii kaamua kuwamilikisha WAARABU ekta million 8 za misitu bila kufikisha makataba Bungeni.Ni wazi kabisa tena pasipo shaka yoyote Mchengerwa hakustahili kurejeshwa katika baraza la mawaziri kwa kuliingiza taifa katika janga kubwa la kuuza misitu yetu kwa wageni pasipo kufuata utaratibu wa sheria za nchi.

Waziri Mchengerwa kapelekwa TAMISEMI sijui huko anakwenda kufanya kituko gani !.Labda atapigania Wazanzibar wajazwe huko ili kupata uzoefu.
Ni mkwe wa anayemteua hivyo lazima amfurahishe yeye
 
Mchengerwa mwenyewe ana uzanzibar ndani yake.

Baba yake ni mpemba alikuwa bosi wa kampuni ya mafuta BP miaka ya zamani.. mama yake mchengerwa ndie mtanganyika.. mama yake mchengerwa alikuwa air hostes wa Air Tanzania miaka ya 80s na 90s

Mchengerwa baba yake ni Mzanzibari kikatiba

Mchengerwa kwao ni Yombo vituka kwa limboa.. miaka ya 80s mpaka 90s nyumba yao ndio ilikuwa inaonekana nyumba ya kitajiri huko yombo
 
Heshima sana wanajamvi,

Mbunge wa Rufiji Mohamed Omary Mchengerwa amehudumu katika Wizara kadhaa za JMT.Katika Wizara zote alizohudumu kaacha kilio kikubwa na simanzi zisizo na kipimo kwa WATANGANYIKA wote.

Akiwa Waziri wa Utawala Bora na Utumishi alihakikisha WaZanzibar wanatengewa 21% ya ajira katika taasisi zote za muungano.Ninapo zungumzia Taasisi za Muungano ni pamoja na TRA,POSTA,BOT,BANDARI .........
Fikiria TRA wametangaza nafasi za ajira 200,Zanzibar watatengewa nafasi 42 huku Tanganyika wakiambulia nafasi 158 tu.Katika nafasi hizi 158 iwapo kuna Mzanzibar yupo huku Tanganyika anaweza kuomba bila kikwazo cha aina ypyote.

Ifahamike wazi Tanganyika ina idadi ya watu million 60 huku Zanzibar ikiwa na idadi ya watu wanaokaribia million 1 tu.Waziri Mchengerwa alipokuwa akkifanya maamuzi haya ya hovyo alitumia vigezo gani ?.Aliamua kuwapendelea WaZanzibar kwakuwa mke wake ni MZANZIBAR !.

Mchengerwa alipopelekwa Wizara ya Maliasili na Utalii kaamua kuwamilikisha WAARABU ekta million 8 za misitu bila kufikisha makataba Bungeni.Ni wazi kabisa tena pasipo shaka yoyote Mchengerwa hakustahili kurejeshwa katika baraza la mawaziri kwa kuliingiza taifa katika janga kubwa la kuuza misitu yetu kwa wageni pasipo kufuata utaratibu wa sheria za nchi.

Waziri Mchengerwa kapelekwa TAMISEMI sijui huko anakwenda kufanya kituko gani !.Labda atapigania Wazanzibar wajazwe huko ili kupata uzoefu.
Kuna siku tutamgawana
 
Mchengerwa mwenyewe ana uzanzibar ndani yake.

Baba yake ni mpemba alikuwa bosi wa kampuni ya mafuta BP miaka ya zamani.. mama yake mchengerwa ndie mtanganyika.. mama yake mchengerwa alikuwa air hostel air Tanzania miaka ya 80s mpaka early 90s

Mchengerwa baba yake ni Mzanzibari kikatiba
Duh johnthebaptist aione kwenye file please.
 
Mchengerwa mwenyewe ana uzanzibar ndani yake.

Baba yake ni mpemba alikuwa bosi wa kampuni ya mafuta BP miaka ya zamani.. mama yake mchengerwa ndie mtanganyika.. mama yake mchengerwa alikuwa air hostes wa Air Tanzania miaka ya 80s mpaka early 90s

Mchengerwa baba yake ni Mzanzibari kikatiba

Mchengerwa kwao ni Yombo vituka kwa limboa.. miaka ya 80s nyumba yao ndio ilikuwa inaonekana nyumba ya kitajiri huko yombo

Hapa ndio unashangaa Katiba ya Tanzania inavyowapendelea waZanzibar.
 
Mfumo ndio unaruhusu hayo.

US mtu anateuliwa na rais ila lazima apite kwenye senate hearings kwanza na akivuka kwa kura ndio anachukua nafasi.

Mfano secretary of treasury huyu mtu lazima awe na background iliyoshiba .

Pia mtu huyu hawezi kuwa member wa congress kwa wakati mmoja akiserve kama secretary of treasury.

Ila utashanga kwa Tanzania mtu anashika kofia mbili kwa wakati mmoja na hata kila anachoshika kinamshinda wanaishia kuhamishana tu mtu akipwaya wakati anatakiwa awekwe kando, kwa akili tu ya kawaida mtu anahama wizara zaidi ya mbili tofauti kwa miaka miwili huoni ni tatizo hilo maana anayepanga mtu awe waziri ni rais na haulizwi na huyo mtu hathibitishi kwa kura kama wenzetu maana yake ni kuwa bongo rais anaweza teua hata washkaji zake baraza zima na akawa anawahamisha tu akijisikia.

Ndio maana naona hata Bambo na Kingwendu wanaweza kuwa marais kwa nchi ilipofikia
 
Back
Top Bottom