Kipangaspecial
JF-Expert Member
- Mar 30, 2020
- 20,778
- 28,722
Kuna baadhi ya watz mna mawazo mufilisiHuyo mchengweraaa sijui ni ameoa mtoto wa Samia kwahiyo ni familia inajipongeza kwa kutawala mazuzu na kukandamiza demokrasia. Hana uhalali wowte wa kupongezwa na zuzu yeyote huko bungeni au lumumba buku7
Hakuna point hata moja kwenye vijielezo vyakoHana jipya,katoka familia ya Raisi,
Huyo ni mkwe wa Raisi Samia,ameoa binti wa Raisi
Piga kazi Mungu ni wawoteNdugu yangu, watu wenye umasikini wa fikra ndio wanaokaa kufikiria hela huwa inaletwa kwa kukaa kupiga majungu vijiweni, na itawakosti sana maana badala ya kufikiria namna ya kujikwamua na hali zao wao wanatumia huo muda kulalamika na kulaumu mtu aliyeoa kwa mapenzi yake .
Majungu sio mtaji .
Ni wale wale tu; 5''....C-C-M-C-C-M-C-C-M....3''Nawasalimu kwa Jina la JMT,
Waziri huyu kwa mara ya kwanza nilimfahamu pale alipoleta hoja Bungeni akitaka kujua kwanini mradi wa Umeme wa Mwl Nyerere Rufiji (JNHPP) utakaotoa ajira ya zaidi 7,000 na serikali kuwekeza zaidi ya TZS 6.55trilioni unafanyika katika Wilaya ambayo haina hata benki ya Serikali au hata benki binafsi,
Hoja ile imepelekea Serikali kupeleka benki ya Maendeleo katika wilaya hiyo Kongwe na hata leo ukipita hapo njiani utaiona banki hiyo,hapa ndio nilianza kuona kitu kilichopo ndani ya Waziri huyu,
Hebu Msikilize hapa anachowaambia watumishi wenzake, Hongera Rais Samia Suluhu Hassan kutuletea viongozi wa aina hii,
Watumishi chapeni kazi kwa bidii na maarifa kama ni mtetezi wa stahiki zenu zote hakika mnae,
Ni kweli alishahukumiwa kabla hajakamatwa.rejea mazungumzo ya Kikeke(BBC) na Rais.Mbowe kawa gaidi kabla hata Mchengelwa hajawa waziri,
Msiwape watu ubaya usiowahusu,
Mahakama ni huru sana wacha tuiache ifanye kazi
Mkuu,Huyo mchengweraaa sijui ni ameoa mtoto wa Samia kwahiyo ni familia inajipongeza kwa kutawala mazuzu na kukandamiza demokrasia. Hana uhalali wowte wa kupongezwa na zuzu yeyote huko bungeni au lumumba buku7
Nawasalimu kwa Jina la JMT,
Waziri huyu kwa mara ya kwanza nilimfahamu pale alipoleta hoja Bungeni akitaka kujua kwanini mradi wa Umeme wa Mwl Nyerere Rufiji (JNHPP) utakaotoa ajira ya zaidi 7,000 na serikali kuwekeza zaidi ya TZS 6.55trilioni unafanyika katika Wilaya ambayo haina hata benki ya Serikali au hata benki binafsi,
Hoja ile imepelekea Serikali kupeleka benki ya Maendeleo katika wilaya hiyo Kongwe na hata leo ukipita hapo njiani utaiona banki hiyo,hapa ndio nilianza kuona kitu kilichopo ndani ya Waziri huyu,
Hebu Msikilize hapa anachowaambia watumishi wenzake, Hongera Rais Samia Suluhu Hassan kutuletea viongozi wa aina hii,
Watumishi chapeni kazi kwa bidii na maarifa kama ni mtetezi wa stahiki zenu zote hakika mnae,
DaaahHuyu hana lolote, ni kuropoka tu.
Msalimie Tokyo - Takara.Hana msaada wowote huyu waziri,kipande cha Nyamwage-Utete(Makao ya wilaya) barabara ya vumbi ameshindwa kuweka hata kokoto.Tunapigwa vumbi,Dar tunafika tumejaa vumbi(ngonja).
Sent from my Infinix X650B using JamiiForums mobile app
😍Apige kazi bado kijana mdogo...hata hivyo nampongeza kwa muda mfupi ameweza kuonesha mazuri. Upandaji wa madaraja haraka kwa watumishi,kulipa madeni ingawa bado kuna urasimu kwa baadhi ya taasisi katika kushughulikia madeni na malimbikizo ya mshahara. Kila la heri kwa Mheshimiwa Mchengerwa. Naamini cdm wanamchafua kwa makusudi kwa sababu ya kuwa Karibu na Mh. Rais
👍Anastahili pongezi kwakweli
Majungu hayo....Hana jipya,katoka familia ya Raisi,
Huyo ni mkwe wa Raisi Samia,ameoa binti wa Raisi