Waziri Mchengerwa ukimsikiliza anaonesha utofauti mkubwa na wengine kimtazamo wa 'kifenotipia' ila hatujui kuhusu 'Jenotipia' yake

Waziri Mchengerwa ukimsikiliza anaonesha utofauti mkubwa na wengine kimtazamo wa 'kifenotipia' ila hatujui kuhusu 'Jenotipia' yake

Huyo mchengweraaa sijui ni ameoa mtoto wa Samia kwahiyo ni familia inajipongeza kwa kutawala mazuzu na kukandamiza demokrasia. Hana uhalali wowte wa kupongezwa na zuzu yeyote huko bungeni au lumumba buku7
Kuna baadhi ya watz mna mawazo mufilisi
 
Ndugu yangu, watu wenye umasikini wa fikra ndio wanaokaa kufikiria hela huwa inaletwa kwa kukaa kupiga majungu vijiweni, na itawakosti sana maana badala ya kufikiria namna ya kujikwamua na hali zao wao wanatumia huo muda kulalamika na kulaumu mtu aliyeoa kwa mapenzi yake .

Majungu sio mtaji .
Piga kazi Mungu ni wawote
 
Nawasalimu kwa Jina la JMT,

Waziri huyu kwa mara ya kwanza nilimfahamu pale alipoleta hoja Bungeni akitaka kujua kwanini mradi wa Umeme wa Mwl Nyerere Rufiji (JNHPP) utakaotoa ajira ya zaidi 7,000 na serikali kuwekeza zaidi ya TZS 6.55trilioni unafanyika katika Wilaya ambayo haina hata benki ya Serikali au hata benki binafsi,

Hoja ile imepelekea Serikali kupeleka benki ya Maendeleo katika wilaya hiyo Kongwe na hata leo ukipita hapo njiani utaiona banki hiyo,hapa ndio nilianza kuona kitu kilichopo ndani ya Waziri huyu,

Hebu Msikilize hapa anachowaambia watumishi wenzake, Hongera Rais Samia Suluhu Hassan kutuletea viongozi wa aina hii,

Watumishi chapeni kazi kwa bidii na maarifa kama ni mtetezi wa stahiki zenu zote hakika mnae,


Ni wale wale tu; 5''....C-C-M-C-C-M-C-C-M....3''
 
Cdm wameanza lawama lakini hakika huyu ndugu waziri kesi ya mbowe kaikutwa ishapikwa na kina Sabaya,bashite wao wanatoa ushauri tuu maana tayari iko kwenye implementation phase.

Lazima cdm wajiandae kisaikolojia mwamba kukaa mjengoni kwa muda labda mpaka 2027 akitoka atakutana na mchakato wa new constitution. Imesiha hiyo wachaga tutawaona kama mna umoja au mtafuata vipande vya shekeli
 
Huyo mchengweraaa sijui ni ameoa mtoto wa Samia kwahiyo ni familia inajipongeza kwa kutawala mazuzu na kukandamiza demokrasia. Hana uhalali wowte wa kupongezwa na zuzu yeyote huko bungeni au lumumba buku7
Mkuu,

MÀTAGA yanajifanya hayajui.
 
Huyu Waziri ni mzuri sana kama hatakuja kuvimbiwa. Amefanya mambo mengi sana ndani muda mfupi ikiwemo suala la upandushaji madaraja watumishi n.k

Suala la Mbowe msimpakazie kijana wa watu. Habari za Mbowe mwulizeni Sirro.
 
Nawasalimu kwa Jina la JMT,

Waziri huyu kwa mara ya kwanza nilimfahamu pale alipoleta hoja Bungeni akitaka kujua kwanini mradi wa Umeme wa Mwl Nyerere Rufiji (JNHPP) utakaotoa ajira ya zaidi 7,000 na serikali kuwekeza zaidi ya TZS 6.55trilioni unafanyika katika Wilaya ambayo haina hata benki ya Serikali au hata benki binafsi,

Hoja ile imepelekea Serikali kupeleka benki ya Maendeleo katika wilaya hiyo Kongwe na hata leo ukipita hapo njiani utaiona banki hiyo,hapa ndio nilianza kuona kitu kilichopo ndani ya Waziri huyu,

Hebu Msikilize hapa anachowaambia watumishi wenzake, Hongera Rais Samia Suluhu Hassan kutuletea viongozi wa aina hii,

Watumishi chapeni kazi kwa bidii na maarifa kama ni mtetezi wa stahiki zenu zote hakika mnae,



Huyu hana lolote, ni kuropoka tu.
 
Hongera zake mh.Waziri💪

Kongole kwake mzalendo mh.Mchengerwa💪

Hakika jamaa ni smart mno👍

SIEMPRE JMT
 
Apige kazi bado kijana mdogo...hata hivyo nampongeza kwa muda mfupi ameweza kuonesha mazuri. Upandaji wa madaraja haraka kwa watumishi,kulipa madeni ingawa bado kuna urasimu kwa baadhi ya taasisi katika kushughulikia madeni na malimbikizo ya mshahara. Kila la heri kwa Mheshimiwa Mchengerwa. Naamini cdm wanamchafua kwa makusudi kwa sababu ya kuwa Karibu na Mh. Rais
😍
 
Mfumo wa wadanganyika hautaki mtu ambaye yuko humble, logical and objective.......ajiandae kukumbana na wakwamishaji, hivi karibuni alitoa maagizo maafisa utumishi walio kwenye wakala za serikali ambao hawakupeleka majina ya watumishi waliostahili kupandishwa vyeo washushwe vyeo au waondolewe kwenye nafasi zao lakini bado tunawaona wanaji nafasi na makeke yao kama kawaida......viongozi aina ya Magu wapo very bold kiasi kwamba inabidi ufikirie mara mbili mbili kujaribu kupuuzia maagizo yake, r.i.p JPM....​
 
Back
Top Bottom