Jumbe Brown
JF-Expert Member
- Jun 23, 2020
- 12,077
- 12,786
Vuta pumzi na unywe maji kwani CCM ipo tu bwasheee š¤£Ni wale wale tu; 5''....C-C-M-C-C-M-C-C-M....3''
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Vuta pumzi na unywe maji kwani CCM ipo tu bwasheee š¤£Ni wale wale tu; 5''....C-C-M-C-C-M-C-C-M....3''
Hakika mkuu šBinafsi namfagilia Mh Waziri,kwa upande wa watumishi (madaraja na mapunjo) amesimamia vyema sana.
Big up!
Wewe ndiye Mchengerwa mwenyewe au nkeweNawasalimu kwa Jina la JMT,
Waziri huyu kwa mara ya kwanza nilimfahamu pale alipoleta hoja Bungeni akitaka kujua kwanini mradi wa Umeme wa Mwl Nyerere Rufiji (JNHPP) utakaotoa ajira ya zaidi 7,000 na serikali kuwekeza zaidi ya TZS 6.55trilioni unafanyika katika Wilaya ambayo haina hata benki ya Serikali au hata benki binafsi,
Hoja ile imepelekea Serikali kupeleka benki ya Maendeleo katika wilaya hiyo Kongwe na hata leo ukipita hapo njiani utaiona banki hiyo,hapa ndio nilianza kuona kitu kilichopo ndani ya Waziri huyu,
Hebu Msikilize hapa anachowaambia watumishi wenzake, Hongera Rais Samia Suluhu Hassan kutuletea viongozi wa aina hii,
Watumishi chapeni kazi kwa bidii na maarifa kama ni mtetezi wa stahiki zenu zote hakika mnae,
Mkuu nakusalimu kwa jina la JMT,Hongera zake mh.WazirišŖ
Kongole kwake mzalendo mh.MchengerwašŖ
Hakika jamaa ni smart mnoš
SIEMPRE JMT
š¤£š¤£š¤£Wewe ndiye Mchengerwa mwenyewe au nkewe
Ukiona mtu kiongozi ana tafuta watu wa kumpatia kiki mitandaoni jua kuna jambo nyuma ya pazia.
Mchengerwa yuko kwenye kundi lililo mpachikia Mbowe kesi ya ugaidi. Nadhani sasa wameanza kuumbuliwa kwa kufeli an yao ya kesi za kubumba. Elewa Mh. Rais alisha onya hay amakesi wa kutunga. Sasa kuna kitu kiko jikoni na jamaa anataka aonekane ana akili ili Mama amuache.. Hata kama yeye ni. Mkwe kwenye hili jambo linalo chagua taswira ya nchi hatakuwa na undugu. Mchengerwa umechelewa sana.
Bange mbaya sana!Mbowe kawa gaidi kabla hata Mchengelwa hajawa waziri,
Msiwape watu ubaya usiowahusu,
Mahakama ni huru sana wacha tuiache ifanye kazi
Kazi Iendelee mkuu wangušMkuu nakusalimu kwa jina la JMT,
Mhe Mchengelwa anakitu ndani yake nikweli nakuunga mkono,
Hakika šSimfahamu vizuri lakini anaonekana hapandishi mabega kama baadhi ya vijana...Kila la heri boss wetu mkuu
Nimecheka kwaesautiWatumishi Wana madai ya arrears tangu 2018 lakini mpaka leo 2021 hakuna malipo.Mjukuu wangu Mchengerwa lipa madai ya watumishi acha mashairi na ngonjera. They needs actions and not words
FactBinafsi namfagilia Mh Waziri,kwa upande wa watumishi (madaraja na mapunjo) amesimamia vyema sana.
Big up!
Nawasalimu kwa Jina la JMT,
Waziri huyu kwa mara ya kwanza nilimfahamu pale alipoleta hoja Bungeni akitaka kujua kwanini mradi wa Umeme wa Mwl Nyerere Rufiji (JNHPP) utakaotoa ajira ya zaidi 7,000 na serikali kuwekeza zaidi ya TZS 6.55trilioni unafanyika katika Wilaya ambayo haina hata benki ya Serikali au hata benki binafsi,
Hoja ile imepelekea Serikali kupeleka benki ya Maendeleo katika wilaya hiyo Kongwe na hata leo ukipita hapo njiani utaiona banki hiyo,hapa ndio nilianza kuona kitu kilichopo ndani ya Waziri huyu,
Hebu Msikilize hapa anachowaambia watumishi wenzake, Hongera Rais Samia Suluhu Hassan kutuletea viongozi wa aina hii,
Watumishi chapeni kazi kwa bidii na maarifa kama ni mtetezi wa stahiki zenu zote hakika mnae,