Waziri Mchengerwa ukimsikiliza anaonesha utofauti mkubwa na wengine kimtazamo wa 'kifenotipia' ila hatujui kuhusu 'Jenotipia' yake

Waziri Mchengerwa ukimsikiliza anaonesha utofauti mkubwa na wengine kimtazamo wa 'kifenotipia' ila hatujui kuhusu 'Jenotipia' yake

Simfahamu vizuri lakini anaonekana hapandishi mabega kama baadhi ya vijana...Kila la heri boss wetu mkuu
 
Nawasalimu kwa Jina la JMT,

Waziri huyu kwa mara ya kwanza nilimfahamu pale alipoleta hoja Bungeni akitaka kujua kwanini mradi wa Umeme wa Mwl Nyerere Rufiji (JNHPP) utakaotoa ajira ya zaidi 7,000 na serikali kuwekeza zaidi ya TZS 6.55trilioni unafanyika katika Wilaya ambayo haina hata benki ya Serikali au hata benki binafsi,

Hoja ile imepelekea Serikali kupeleka benki ya Maendeleo katika wilaya hiyo Kongwe na hata leo ukipita hapo njiani utaiona banki hiyo,hapa ndio nilianza kuona kitu kilichopo ndani ya Waziri huyu,

Hebu Msikilize hapa anachowaambia watumishi wenzake, Hongera Rais Samia Suluhu Hassan kutuletea viongozi wa aina hii,

Watumishi chapeni kazi kwa bidii na maarifa kama ni mtetezi wa stahiki zenu zote hakika mnae,

Wewe ndiye Mchengerwa mwenyewe au nkewe
 
Mateso anayopitia Mboe yanaumiza wengi sana mioyoni mwao.
Hata huko kwenye system kuna watu hayawafurahishi ni basi tu.
Lakini Mungu yupo na anaona yote.
 
Ukiona mtu kiongozi ana tafuta watu wa kumpatia kiki mitandaoni jua kuna jambo nyuma ya pazia.
Mchengerwa yuko kwenye kundi lililo mpachikia Mbowe kesi ya ugaidi. Nadhani sasa wameanza kuumbuliwa kwa kufeli an yao ya kesi za kubumba. Elewa Mh. Rais alisha onya hay amakesi wa kutunga. Sasa kuna kitu kiko jikoni na jamaa anataka aonekane ana akili ili Mama amuache.. Hata kama yeye ni. Mkwe kwenye hili jambo linalo chagua taswira ya nchi hatakuwa na undugu. Mchengerwa umechelewa sana.

Mama hawezi kumgusa ,akijaribu anamresha Binti kwao.
 


Hiyo Ndiyo ID Ya Waziri

Namkumbusha Fagio Bovu Hafagiliwi Mtu
Ndugu Zangu, Wizara Ipo Malalamiko Yapo
 
Mbowe kawa gaidi kabla hata Mchengelwa hajawa waziri,
Msiwape watu ubaya usiowahusu,
Mahakama ni huru sana wacha tuiache ifanye kazi
Bange mbaya sana!
wakiitwa watu wenye akili timamu utathubu kweli kwenda wewe hayawani?
 
Watumishi Wana madai ya arrears tangu 2018 lakini mpaka leo 2021 hakuna malipo.Mjukuu wangu Mchengerwa lipa madai ya watumishi acha mashairi na ngonjera. They needs actions and not words
 
Watumishi Wana madai ya arrears tangu 2018 lakini mpaka leo 2021 hakuna malipo.Mjukuu wangu Mchengerwa lipa madai ya watumishi acha mashairi na ngonjera. They needs actions and not words
Nimecheka kwaesauti
 
Nawasalimu kwa Jina la JMT,

Waziri huyu kwa mara ya kwanza nilimfahamu pale alipoleta hoja Bungeni akitaka kujua kwanini mradi wa Umeme wa Mwl Nyerere Rufiji (JNHPP) utakaotoa ajira ya zaidi 7,000 na serikali kuwekeza zaidi ya TZS 6.55trilioni unafanyika katika Wilaya ambayo haina hata benki ya Serikali au hata benki binafsi,

Hoja ile imepelekea Serikali kupeleka benki ya Maendeleo katika wilaya hiyo Kongwe na hata leo ukipita hapo njiani utaiona banki hiyo,hapa ndio nilianza kuona kitu kilichopo ndani ya Waziri huyu,

Hebu Msikilize hapa anachowaambia watumishi wenzake, Hongera Rais Samia Suluhu Hassan kutuletea viongozi wa aina hii,

Watumishi chapeni kazi kwa bidii na maarifa kama ni mtetezi wa stahiki zenu zote hakika mnae,


Nkwe kawalipa machawa sasa kazini.mm.m gorofa wake nyuma kanisa kkkt kiji unaota kama uyoga basi sawaaaa.
 
Back
Top Bottom