Waziri Medard Kalemani asiondolewe Wizara ya Nishati

Analijua hili?

 
Mkuu hii kuna nchi ili jaribu matokeo yake bei ya umeme ilipanda sana hadi ikawa haishikiki. Ikiletwa hapa hilo pia linaweza kutokea na watu kuamua kurudi kwenye vibatari.
Mkuu, Monopoly huwa inasababisha watu wawe wazembe
 
Reactions: BAK

Mkuu ulichoongea Uko sahihi kabisa...Ila Kumbuka Kilichotokea kina Impact sana Kisiasa...yaani Wananchi walishafura..
Hivyo hatua Alioichukua Politically iko OK...
Ila Kinyume chake haipo ok!
So lazima Acheze na Mlio wa ngoma ulivyo huu ndo ukweli mchungu hata kama Utaukataa...Yeye kaangalia Political effects kwake sio kwako wewe...over.
 

Mi nasema hivi Kalemani Abakie mpaka Amalize Stiegliers gorge kwanza...
Baada ya Hapo ndio waje wengine...
 
hivi ni kipi kinashindikana katika kuleta makampuni binafsi ya kufua,kusambaza na kucharge umeme.?

je kuna athari gani kama nchi tukifanya hvyo?
 
Tatizo ni mfumo wa kiurasimu wa utoaji umeme. Tanesco apewe kazi moja tu ya production na distribution wafanye wengine. Vinginevyo Waziri yuko vizuri sana mbali na njama za kumchafua sababu za siasa za umeme na mafuta we know it.
 
Hivi wewe huwa una akili kweli, au shule mgogoro
Hivi why una attack hivyo we unapimaje akili ya mtu we una tatizo kama kweli hujaona hoja ya si uulize pata muda utafakari
 
Mimi naona nibora atimuliwe tu kwani toka aondoke jiwe kigoma umeme unakatika sana baki ukitoa 50 unapata unit 14 tu kwanini ametuweka kwenye matumizi makubwa hatahivyo unit zinakimbia ilemvaya wakati natumia taa za wat5 zipo 3 na 2 nazima wakati wakulala lakini hadi nauona umeme kama anasa tu
 
Likiamua kupata faida, tutaiweza bei ya umeme?.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…