Waziri Mkenda: Ajira ya Chuo Kikuu isiwe kuangalia GPA pekee lazima wapimwe, wafanye na usaili

Waziri Mkenda: Ajira ya Chuo Kikuu isiwe kuangalia GPA pekee lazima wapimwe, wafanye na usaili

Hata hivo ana akili mkuu... mtu uwe profesa na undergraduate ulitoka na First class halafu useme eti hana akili?

Haumtendei haki...

Ki chuo chuo mtu akikupita GPA amekuzidi kwenye shule.. achana na mambo ya kutafuta hela.

Utashangaa hata kwenye ma group ya chuo ya whatsapp. wenye gpa ndogo always wanatoaga pumba points nyingi sana.. ata kwenye kudiscuss mambo ya kawaida
Tofautisha kuwa na akili nankuwa na uwezo mkubwa wa kukalili kiti ambacho kitatumia portion ndogo sana katika ubongo ambapo kuna ndio maana ukiondo hayo aliyo yakariri darasani anabaki na kichwa cheupe
 
Huyu Waziri pia ajue Warombo na Wachaga wenzake ndio wanaongoza Kwa kupendeleana ajira za vyuo vikuu, wamejazana kila mahali, Dean, principal, wakuu wa idara akiwepo mrombo tu ajira Kwa Warombo njia nyeupe peee!! Sasa hivi Vyuo vikuu viko chini ya wachaga by 60% Kwa utafiti wangu
Yeye mwenyewe Mkenda alipitia mkondo huo huo pale UDSM..
Alihitimu B.A (Economics) akachukuliwa kuwa TA kwenye faculty tofauti, B.Com (Finance), waliokuwa wamefaulu eneo husika wakaachwa!!!
 
Kweli nchi inaenda kubaya sana. Kwa hiyo wakifanyiwa usaili ndio elimu inakuwa bora. 😀😀😀😀😀.
Mtu mwenye GPA kubwa kwa vyuo kama SUA, MZUMBE na UDSM huyo anauwezo mkubwa, haina haja ya kujiuliza mara mbili.

Nenda uendako, kwenye usaili watu wanakalili na kufaulu baada ya hapo wanasahau. Ila mwenye GPA kubwa ni mtu mwenye uwezo.

Haiwezekani mtu kidato cha Nne abamize one ya saba, kidato cha sita one ya nne na chuo GPA ya 4.6. Useme hana uwezo badala yake utegemee kumpima kwenye usaili Ili kupima uwezo wake.

Tuwekeze kwenye practical zaidi
Nchi nyingi nafasi huwa zinatangazwa na applicants wanamfanyia usaili. Huyo mwenye first class kama ni fit kwenye kazi basi ataonyesha uwezo wake kwenye usaili.

Tatizo la Tanzania nafasi za lecturers zinatangazwa ni za juniors. Nadra kusikia nafasi ya Senior Lecturer au Professor inatangazwa.

Nchi nyingi hata nafasi ya Vice Chancellor inatangazwa na kufanyiwa usaili. Siyo kama Bongo watu wanapewa tu politically.
 
Kwani lina tatizo gani hili tangazo?
Lugha iliyotumika hapo inaonesha jinsi ambavyo elimu yetu ilivyo duni na watu tuliowaajiri vyuoni hawana sifa stahiki. Pili nashangaa sana kwa mbunge mzima kufanya masters (wao wameandika "Master"!) nyepesi ya kizushi namna hiyo! Tena mtoto wa rais?!!! Hiyo ilipaswa kuwa research work ya final year undergraduate kwa ajili ya B.A. na sio kwa ajili ya M.A. Loh!
 
Kweli nchi inaenda kubaya sana. Kwa hiyo wakifanyiwa usaili ndio elimu inakuwa bora. 😀😀😀😀😀.
Mtu mwenye GPA kubwa kwa vyuo kama SUA, MZUMBE na UDSM huyo anauwezo mkubwa, haina haja ya kujiuliza mara mbili.

Nenda uendako, kwenye usaili watu wanakalili na kufaulu baada ya hapo wanasahau. Ila mwenye GPA kubwa ni mtu mwenye uwezo.

Haiwezekani mtu kidato cha Nne abamize one ya saba, kidato cha sita one ya nne na chuo GPA ya 4.6. Useme hana uwezo badala yake utegemee kumpima kwenye usaili Ili kupima uwezo wake.

Tuwekeze kwenye practical zaidi
Msisahau kutazama na hili:

 
Siku hizi binti akiwa pisi kali anaruka na lecturers tu analamba GPA kali, kijana akiwa yupo kwenye circle ya huyo binti (wanafanya discussion pamoja ya mapepa anayovujishiwa) nae anakula GPA kali. Wakienda kwenye practical makazini wanaanza upya. Ufanisi hauendani na GPA.

Wale wenzangu na mie shule za kuunga unga msuli tembo marks sisimizi, wakikaza zaidi wanakula 4.0 kushuka chini.

Nimekumbuka mwaka wa pili chuoni kuna lecturer pisi kali haswa tuliletewa kala GPA 4.7 aje atufundishe parasitology, cha ajabu hata kudadavua lifecycle za Plasmodium na Wuchereria bancrofti ilikua changamoto.

Kwahiyo naunga mkono hoja, suala la kuangalia GPA katika kuajili hawa T.A na Lecturers vyuoni lisipewe mkazo sana bali wawe strict na usaili ili wapate cream iliyo bora kuwafundisha vijana wetu huko vyuoni.
Hapo Onyang'inyang Chikungunya itakuwa ilimkatalia kabisa hapo laazima! 😃😃
 
Unajiliwaza tu mkuu. Kigezo ndio hicho. Minimum GPA ni 3.8. Hapo ndio unqualify walau kuwa shortlisted kwa ajili ya interview. Na hizo ni guidelines za TCU. Hata kama unahisi una uwezo wa kufundisha, maadam hujakidhi hicho kigezo kimojawapo, sahau kuitwa kwny interview. Halafu tuache excuses za kufeli kwetu kwa kubeza waliofaulu kutuzidi. Mnatumia kigezo gani kuwa mwenye GPA kubwa kafake na mwenye GPA ndogo ni genuine? Nani aliyeingiza hii mentality kwa jamii?

Mkuu, hii mentality imeanzia sehemu inayoaminisha kuwa uongozi ni kipaji na ufahamu hauna athari katika uongozi. Wakataka dereva wa mkuu wa wilaya awe na kiwango cha chini cha elimu (form four) lakini mbunge awe anajua kusoma na kuandika tu (na hitaji hilo linaweza kufikiwa hata na mtu aliyefanya home schooling na kufika darasa la nne tu). Unamfanyaje mtunga sheria kuwa hana uwezo wa hata kusoma na kuelewa muswada lakini ajadili na kupiga kura wa kuipitisha!!??

Tumekuwa na tabia ya kubeza ufaulu na ufahamu na kudogosha matokeo mabaya kwa kuyaita division five nk. Wengine wamefikia kupunguza wigo wa A mpaka kuifikisha 75/100 kutoka 81/100.

Inasikitisha sana.
 
Huyu Waziri pia ajue Warombo na Wachaga wenzake ndio wanaongoza Kwa kupendeleana ajira za vyuo vikuu, wamejazana kila mahali, Dean, principal, wakuu wa idara akiwepo mrombo tu ajira Kwa Warombo njia nyeupe peee!! Sasa hivi Vyuo vikuu viko chini ya wachaga by 60% Kwa utafiti wangu
You are WRONG TOTALLY.! PIMBI!.
 
Back
Top Bottom