mjadala sasa umenoga... Asante sana
Fundi Mchundo maana unaandika mantiki sana kwenye kona mbali mbali za mjadala huu.
Ni kweli kwamba Chuo kikuu hufundishwa ni kwa nini matokeo fulani yanatokea wakati vyuo vingine wanafundishwa kufanya kitu ili kitokee kitu kingine. Lakini hoja yenyewe ni kweli hali iko ivo??
Maana kama Profesa aliyehudumu chuo Kikuu baada ya kupata alama za juu sana chuoni hapo akiwa mwanafunzi, (kwa maelezo ya
Naantombe Mushi, )anaona kuna upungufu kwenye kusaili wahadhiri vyuoni, hiyo nadharia ya vyuo vikuu kutoa watu hao wenye kujua ni kwa nini matokeo fulani hutokea, inafikiwa kweli??