peno hasegawa
JF-Expert Member
- Feb 24, 2016
- 14,255
- 23,949
Waziri mkenda, ninaomba nikupe ushauri wa bure kabisa kuhusu elimu.
Kwa sasa mambo ya ajira za GPA uko sawa ila anza kufumua mfumu, muundo na mitaala ya elimu nchini.
Prof, hakikisha kila shule ya msingi ina madarasa 2 ya awali na walimu wa awali wenye uwezo wa kufundisha wanafunzi kwa lugha ya Kiingireza.
Elimu kuanzia awali iwe kwa lugha ya kiingireza hadi chuo kikuu na kiswahili kiwe ni somo tu kama masomo mengine.
Somo la kiswahili na hesabu liwe compulsory kuanzia awali hadi chuo kikuu.
Awali mtoto asome miaka miwili tu na msingi mtoto asome miaka 6 na awali mtoto aanze akiwa na umri wa miaka 2-4 tayari kwa kuanza elimu ya msingi ya kuishia darasa la sita.
Mtihani wa la saba ufutwe ili mtoto akimaliza la sita walifanya vizuri kwa matendo na kwa masomo waingie kidato cha kwanza hadi cha nne wasio na uwezo kuanza kidato cha kwanza waingie vicational training school.
Walimu wote wajifunze kufundisha kwa lugha ya kiingireza na wapatikane walimu wa vocstional training soon.
Vyuo vikuu kuna kozi za kufutwa na kuondolewa kwenye mfumo na suala la kusahihisha mitihani ya university isahihishwe kwa Panel sio mtu anajificha na mitihani ya akina dada akisahihishaili akamvue nguo ampatie marks nzuri kiandaa GPA.
Sasa baada ya hapo anza kuongelea ajira kupitia GPA au la.
Kwa sasa mambo ya ajira za GPA uko sawa ila anza kufumua mfumu, muundo na mitaala ya elimu nchini.
Prof, hakikisha kila shule ya msingi ina madarasa 2 ya awali na walimu wa awali wenye uwezo wa kufundisha wanafunzi kwa lugha ya Kiingireza.
Elimu kuanzia awali iwe kwa lugha ya kiingireza hadi chuo kikuu na kiswahili kiwe ni somo tu kama masomo mengine.
Somo la kiswahili na hesabu liwe compulsory kuanzia awali hadi chuo kikuu.
Awali mtoto asome miaka miwili tu na msingi mtoto asome miaka 6 na awali mtoto aanze akiwa na umri wa miaka 2-4 tayari kwa kuanza elimu ya msingi ya kuishia darasa la sita.
Mtihani wa la saba ufutwe ili mtoto akimaliza la sita walifanya vizuri kwa matendo na kwa masomo waingie kidato cha kwanza hadi cha nne wasio na uwezo kuanza kidato cha kwanza waingie vicational training school.
Walimu wote wajifunze kufundisha kwa lugha ya kiingireza na wapatikane walimu wa vocstional training soon.
Vyuo vikuu kuna kozi za kufutwa na kuondolewa kwenye mfumo na suala la kusahihisha mitihani ya university isahihishwe kwa Panel sio mtu anajificha na mitihani ya akina dada akisahihishaili akamvue nguo ampatie marks nzuri kiandaa GPA.
Sasa baada ya hapo anza kuongelea ajira kupitia GPA au la.