Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Vitu vingine muwe mnahukumu wananchi tu Hapo. Hapo Bila Kujali..Salaam Wakuu,
Mbeya kuna mwalimu ambaye sina haja ya kumtaja sababu serikali inamjua. Yeye kazi yake ni kutembea na watoto wa kiume kinyume na maumbile. Taarifa zilishatolewa kila sehemu ila hatua hazichukuliwi pamoja na ushahidi.
Natumia nafasi hii kumuomba waziri wetu msikivu Prof. Mkenda, kwake ni jambo dogo.
Huyu mwalimu mwaka 2013 alibaka akalindwa.
Kwa sasa analawiti watoto wa shule na kesi ipo polisi lakini wakubwa zake wanamlinda na kesi haiendi mahakamani. Badala yake wamemuhamisha na kumshusha cheo hapa Mbeya DC.
Mimi huwa siongelei haya mambo JamiiForums ila imenilazimu. Watoto wetu tuwafiche wapi. Muondoeni serikalini, anatia aibu. Mlawiti huyu kila mtu serikalini anamjua.
Asante Mkenda.
View attachment 2348182
Kivyovyote vile ni ruhusa???Lakini yule kijana anauliza "utafanya wewe au nitafanya mimi?" Yule Mwalimu anajibu,"utafanya wewe."
Kwa hiyo it is not clear hapo nani passive na nani active.
RPC anaanzaje sasa kumtaja wakati umesema wanamlinda??Najua Mkuu, ila nataka RPC ndo amtaje. Sababu taarifa anayo na ndo mwalimu pekee ana kezi ya Ulawiti kwa wanafunzi. Anajulikana. Kama hatua isipochukuliwa nitamtaja. Tuwapime kwa mara ya mwisho watendaji wa Raisi Samia
Kwa hiyo wamhamishie wapi?Tulitegemea uje ulete habar amekamatwa amefikishwa mahakaman na amehukumiwa... Ila sio kutuletea upuuzi huu, haiwezekani mamlaka zote zimshindwe huyo mtu ni wew au na wenzako ndio mnamlinda mnamuogopa...
Nenda ofisi za Uthibiti Ubora wa Shule (almaarufu Wakaguz wa shule) hawa wapo chini ya Wizara ya Elimu wanapokea taarifa kwa siri kubwa iwe ya kweli au ya uongo huanza kuifanyia kazi mapema wanaenda kuanza uchunguz na kufanya mahojiano ya siri kwa watu mbalimbali ktk mazingira tofaut tofaut na wakat tofaut, ofisi zao zipo kila Wilaya mara nyingi wapo jirani na ofisi za halmashauri... hawa wakisema mwl fulani au mratibu elimu kata fulani hafai hapohapo mkurugenz anamuondoa huyo mtu na taasisi ya nidham ya walimu (TSC) wanamfuta kazi huyo mwl bila hata ya kwenda nae mahakaman, Nasema tena nenda ofisi za Uthibiti Ubora wa Shule...
Labda na wao hupewa doseKwa sasa analawiti watoto wa shule na kesi ipo polisi lakini wakubwa zake wanamlinda na kesi haiendi mahakamani. Badala yake wamemuhamisha na kumshusha cheo hapa Mbeya DC.
Duuh ka video kapo nini mkuu share basi hyo connection piemuDuuh dunia imeisha, linajisifia kitu kimesimama kwa mwanaume mwenzie [emoji849]
Anatumia id fake na anakuwa muogaUsipomtaja jina na shule anayofundisha hapo Mbeya DC hii taarifa yako inakuwa Ni umbeya tuu,nakuomba mtaje jina na shule anayofundisha ili tukampe somo,pumbavu kabisa Ticha huyo[emoji20][emoji20][emoji20]
Huyo RC ulilala naye?Mmeshindwa hata kumlaza makaburini kwa miujiza kama yule RC wa Iringa ?