Waziri Mkuu aokoa mamilioni, atembea kwa miguu kwenda ofisini

Kutembea mita mia mbili kaokoa mamilioni ya fedha.....!!!
Hii sasa ni too much asee
 
Safi GT..
 
mbona unaandika kama umepagawa na pepo? unamsifu au unampondea? eleweka.
 
Jamani mita mia 2 si mtu anafanya mazoezi maana haitoshi hata kuzunguka uwanja mara moja, au ni km 2?
 
Maigizo at work, kutembea mita mia mbili unaita waandishi wa habari wakutangaze ulivyookoa mamilioni ya pesa? Angetuambia hizo milioni alizookoa ni kiasi gani ndo tungejua alivyobana matumizi.
kwahiyo lowasa hawezi tembea mita 200? sasa nimeona umuhimu wa kuhamia dodoma, ngosha go go go, watanyooka tu, waziri akihamia dodoma uza gari lake atembee.
 
Ntamuulizia wapi..?
Ww si ulimskia sema hayo mamilion ni mangapi au ni upunguani ulionao unakusumbua na mihemko ya kipuuzi tu?
Mimi na wewe ni nani punguani wewe mwandishi kakuambia waziri kaepusha mamilioni ya fedha unaniliza mimi milioni ngapi? Muulize mwandishi au Waziri ndie anaejua katumia sh ngapi? Pia hata ukijua itakusaidia nini?
 
Maigizo at work, kutembea mita mia mbili unaita waandishi wa habari wakutangaze ulivyookoa mamilioni ya pesa? Angetuambia hizo milioni alizookoa ni kiasi gani ndo tungejua alivyobana matumizi.
kwahiyo lowasa hawezi tembea mita 200? sasa nimeona umuhimu wa kuhamia dodoma, ngosha go go go, watanyooka tu, waziri akihamia dodoma uza gari lake atembee.
 
Wafanye na mazoezi jamani kutwa kwenye gari, wakistaafu wanapata shida sana sababu ya kulemaza mwili.
 
Kwa sasa Kipao mbele chetu kikuu i Shisha.
Hayo Mambo ya 200 Mitas hebu jaman mtupatie Break
 
Mimi na wewe ni nani punguani wewe mwandishi kakuambia waziri kaepusha mamilioni ya fedha unaniliza mimi milioni ngapi? Muulize mwandishi au Waziri ndie anaejua katumia sh ngapi? Pia hata ukijua itakusaidia nini?
Nikijua itanisaidia nini? Ona ulivyo jinga..
Hiyo ni kodi yangu na wewe tunayolipa lazima tujue jinsi inavyotumika! Sihtaji mjadala sana na mpuuzi kama wewe!
 
Nikijua itanisaidia nini? Ona ulivyo jinga..
Hiyo ni kodi yangu na wewe tunayolipa lazima tujue jinsi inavyotumika! Sihtaji mjadala sana na mpuuzi kama wewe!
Ndio hivyo yamebanwa mamilioni ukataka kadai risiti.
 
Nikijua itanisaidia nini? Ona ulivyo jinga..
Hiyo ni kodi yangu na wewe tunayolipa lazima tujue jinsi inavyotumika! Sihtaji mjadala sana na mpuuzi kama wewe!
Wewe pia jinga sasa kama ametembea ela imetumikaje kwa hayo matumizi unayoyataka
 
Duh yan mita 200 unasema. Ameokoa mamilion? Hizi ni zaidi ya zarau
 
Sasa mita 200 ni sehemu ya kutembea na gari ,au tusifu nini hasa watu wanapiga km 10 kufuata maji au kwenda shule
Ndio maana magonjwa ya ajabu hayaachi kuwaandama kwa kuendekeza uvivu

Halafu hawa ndugu zetu wa Dodoma dah wacha niishie hapa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…