Waziri Mkuu aokoa mamilioni, atembea kwa miguu kwenda ofisini

Waziri Mkuu aokoa mamilioni, atembea kwa miguu kwenda ofisini

Basi habari kama hiyo utakuta inapewa headline kuuuubwaaa na kusahau ile ya pesa ya msaada ya kagera iliyoruka viunzi
 
Mahaba niuwe....ukipenda chongo huona kengeza! Ukipenda pengo huona mwanya

Kila mtu yupo hivyo hivyo hata wewe unapopenda hata ukiambiwa huyu ni darasa la saba, wewe huyo huyo tu, kweli mapenzi upofu
 
Serikali ya ajabu sana hii jamani!
Imeshindwa kwenye kila kitu lkn sasa wanataka kuuvaa u Nyerereism kwa kutembea kwa miguu
Hivi akitembea kwa miguu ndiyo mwanangu atapata mkopo wa elimu ya juu?
 
siku zote anatumiaga magari kwa hizo mita 200?
Isichukuliwe kama dhihaka! Isichukuliwe kama maskhara na furahisha genge! Bali ikupe fikra fikirishi ya huko tunakoelekea na dhana nzima ya kubana matumizi.

Akiripoti kutoka Dodoma mwandishi wa kituo cha WAPO RADIO, amesema wananchi wa Dodoma Leo wamesifu kitendo cha Waziri Mkuu cha kutembea kwa miguu UMBALI WA MITA 200 kutoka makazi yake-Ikulu ndogo ya Dodoma hadi ofisini kwake (zingatia mita 200)akiwa na walinzi wachache.

Kitendo hicho kimetajwa kama kitendo cha aina yake chenye UADILIFU kilichookoa MAMILIONI YA PESA ambayo yangetumika kwenye msafara wa magari yasiyopungua sita.
Tuupinge kwa nguvu zote huu upuuzi, mwendo wa mita 200 katika uhalisia wake mtu anaweza kupanda gari na msafara?

Je kama Leo imeonekana ni ajabu ina maana siku zote ndivyo ilivyo?
Je kutembea mita 200 ni kubana matumizi?
Ni habari za namna gani hizi jamii inapewa?
Ina maana Dodoma leo kuanzia asubuhi hakukuwa na habari nyingine zaidi ya hii?

Hii breaking news imeniacha na maswali mengi.
 
Hii serikali ya muhula huu 'imewapumbaza' wengi sana, kiasi kwamba si ajabu mtu kuita tui la nazi maziwa...

Yaani vitu very ordinary vinabatilishwa na kupewa utukufu wa extra ordinary...
 
Mshana unashangaa kuwepo maamuma wa taarifa hiyo? hii hesabu rahisi kabisa huijui? Katika kila Watanzania wanne, mmoja ni kichaa. Tanzania ina watu takribani 50,000,000. Hivyo 1/4 ya 50,000,000 ni 12,500,000. Vichaa milioni kumi na mbili na nusu😀😀😀😀😀😀...hawa ndio wanapigia vigelegele uchafu wowote ili mradi umefanywa na mabwana wakubwa
 
Kama ni mita 200 na ni msafara wenye magari 6 basi ya kijipanga tu kuaza msafara gari la kuongoza litakuwa lango kuu la kuingia ofisi ya pm

Asingetembea ingekuwa kashfa kwake.

Na washawasha!
 
Atafakari na kulinganisha umbali alotembea Nyerere akiunga mkono AZIMIO LA ARUSHA na 200m za kwake! Alikua mwalim wa sayansi kimu au hesabu!?
 
Mshana unashangaa kuwepo maamuma wa taarifa hiyo? hii hesabu rahisi kabisa huijui? Katika kila Watanzania wanne, mmoja ni kichaa. Tanzania ina watu takribani 50,000,000. Hivyo 1/4 ya 50,000,000 ni 12,500,000. Vichaa milioni kumi na mbili na nusu😀😀😀😀😀😀...hawa ndio wanapigia vigelegele uchafu wowote ili mradi umefanywa na mabwana wakubwa
Hatari! 12,500,000 wote hao? Usikute hata wakina MOTOCHINI wapo kwenye kundi hilo ndio maana hawajamuelewa mshana jr anamaanishi nini kwenye hoja hii na wanaishia kumkejeli
 
Isichukuliwe kama dhihaka! Isichukuliwe kama maskhara na furahisha genge! Bali ikupe fikra fikirishi ya huko tunakoelekea na dhana nzima ya kubana matumizi.

Akiripoti kutoka Dodoma mwandishi wa kituo cha WAPO RADIO, amesema wananchi wa Dodoma Leo wamesifu kitendo cha Waziri Mkuu cha kutembea kwa miguu UMBALI WA MITA 200 kutoka makazi yake-Ikulu ndogo ya Dodoma hadi ofisini kwake (zingatia mita 200)akiwa na walinzi wachache.

Kitendo hicho kimetajwa kama kitendo cha aina yake chenye UADILIFU kilichookoa MAMILIONI YA PESA ambayo yangetumika kwenye msafara wa magari yasiyopungua sita.
Tuupinge kwa nguvu zote huu upuuzi, mwendo wa mita 200 katika uhalisia wake mtu anaweza kupanda gari na msafara?

Je kama Leo imeonekana ni ajabu ina maana siku zote ndivyo ilivyo?
Je kutembea mita 200 ni kubana matumizi?
Ni habari za namna gani hizi jamii inapewa?
Ina maana Dodoma leo kuanzia asubuhi hakukuwa na habari nyingine zaidi ya hii?

Hii breaking news imeniacha na maswali mengi.
Hyo aliyeripot habar hyo n boya m nlodhan katembea kilo mta tan kumbe mita mia mbili? Hapo ndo kaokoa mamilion? Mfyuuuuuu mijitu mingine bana tushawachoka na kiki zenu zisizo na tija
 
Labda tungejua kuwa kaokoa milioni ngapi kwa umbali huo.
 
Ndiomaana mimi wakati mwingine sitakagi kuongea.

Sasa mtu kama katembe kutoka mwisho wa uwanja wa mpira na katembea hadi kwenye gori lingine na kuludi ndio iwe gumzo!

Issue siyo gumzo tu mkuu, eti kaokoa mamilion ya pesa, jamani hivi hata angetumia V8 sita kwa msafara wa mita 200 zingetumia petrol hata ya laki kweli kwa zote 6 ??

Upuuzi mtupu
 
Back
Top Bottom