Waziri Mkuu aokoa mamilioni, atembea kwa miguu kwenda ofisini

Wanabana matumizi alafu zilizo okolewa analipwa ProPesa afanye ziara mikoani kwangu hiki ni kichaa na kama kutembea mita 200 ni habari basi tuna safari ndefu na hawa bongo movie waliojificha kwenye uongozi wa serikali yetu.
ati nini
 
Watu mnauliza mawasli ya kitoto kweli, KWA MAZOEA YALIYOKUWEPO NIHABARI na JAMBO ZURI. Hamkusikia David Cameroon kapanda ndege low class ikawa habari jiji. Sio kwamba ni maajabu ILA HALI ILIYOKUWEPO AWARI NDIO INATENGENEZA TUKIO LA AJABU hata kama nilakawaida kiasi gani
 
Acheni ujinga mnao ikubari hiyo mita 200 ni mazoezi ya kawaida,coz uwanja wa mpira ni mita 100 so ni sawa na kwenda na kurudi kwa uwanja wa mpira,kwahiyo mechi ya wabunge wa simba na yanga taifa,walivyokuwa wanakimbiakimbia kwenye meta 100 za uwanja walikuwa wanabana matumizi,acheni ujinga mnaopenda kusifia kila kitu jamaaa walikuwa wanafanya mzoezi tu.au mnafikiri viongozi huwa awafanyi mazoezi kwa jiri ya afyaa,fyuuuu
 
Mshana jr.umejitekenya alafu unacheka mwenyewe,hii si habari mbaya wala huyo waziri mkuu hakufanya ili asifiwe ila ttzo la waandishi wa habari
 
Mita 200 hiyo inatofauti gani na kutoka ndani kwenda chooni kwa wale tunaokaa vijijini..
 
Huwa anakuwa na msafara wa magari SITA kwa mwendo wa mita 200? Imagine ulinzi wote huu kwenye "kisiwa cha amani".

Japo Salva Kiir wa South Sudan yupo kwenye state of emergency na kule kula bullet ni suala la kawaida, protection detail yake haipo extravagant namna hii.
 
Swali lingine. Je Tanzania tuko vitani mpaka waziri mkuu asindikizwe na watu sita anapotembea mita 200 kwenda ofisini kwake kutoka ofisi nyingine????
Nchi yetu imegeuka kuwa nchi gani?
 

Swali lingine. Je Tanzania tuko vitani mpaka waziri mkuu asindikizwe na watu sita anapotembea mita 200 kwenda ofisini kwake kutoka ofisi nyingine????
Nchi yetu imegeuka kuwa nchi gani?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…