LESIRIAMU
JF-Expert Member
- Feb 12, 2008
- 9,006
- 14,536
Hii taarifa ni ya kubumba na mchongo kama kesi ya Mbowe.Waziri mkuu mh Majaliwa leo amepokea orodha ya awali ya wananchi 453 walioomba kuhama kwa hiyari katika hifafhi ya Ngorongori.
Waziri mkuu amewaahidi wamasai hao kwamba serikali itawapeleka kuishi sehemu yoyote watakayoichagua wao wenyewe
Majaliwa ndio zake hizo. Haja wahi kuwa mkweli ever!
Kama hayo majina ni ya kweli hebu waende nayo pale Ngorongoro halafu kila mmoja aonyeshe makazi yake.
Ati wakazi wa Ngorongoro, kikao kimefanyikia Arusha. Kweli tuna onekana maboya kiasi hiki?